Bhana weeee ManCity ina mashabiki hapa Bongo? Hao wote ni Mashabiki wa Manjesta sema wanajilazimisha tu kuhamia huko mjini ManjestaWapo wawili tu😂
Yeye, na Pain Killer.
Asipokuwepo pain Killer ndio basi tena jukwaa halina mchambuzi 🤣🤣
Herzog usikae kinyonge,njoo tupige domo mdogo angu😂
Njoo chama kubwa uenjoy uchambuzi wa mpira..huku kuna hadi watu wanaishi Anfield akina Bobby hao na Def..bahati iliyoje.. tunapata hadi stori mbichi mbichi za ndani.
Kule mama Cita hivi vitu hakuna
Manyanza boy unafikiri kila mtu ni kikongwe brother 🤣🤣🤣 joking.Bhana weeee ManCity ina mashabiki hapa Bongo? Hao wote ni Mashabiki wa Manjesta sema wanajilazimisha tu kuhamia huko mjini Manjesta
Sasa kama timu haibebi makombe lazima mpigiane soga kujipoza moyo.Wapo wawili tu😂
Yeye, na Pain Killer.
Asipokuwepo pain Killer ndio basi tena jukwaa halina mchambuzi 🤣🤣
Herzog usikae kinyonge,njoo tupige domo mdogo angu😂
Njoo chama kubwa uenjoy uchambuzi wa mpira..huku kuna hadi watu wanaishi Anfield akina Bobby hao na Def..bahati iliyoje.. tunapata hadi stori mbichi mbichi za ndani.
Kule mama Cita hivi vitu hakuna
Timu imejaa watoto wa ShuleSasa kama timu haibebi makombe lazima mpigiane soga kujipoza moyo.
Mabingwa siku zote huwa hawana maneno mengi, kazikazi.
False hopers sasa 🤣🤣🤣
ManCity haina shabiki hapa Bongo.Manyanza boy unafikiri kila mtu ni kikongwe brother 🤣🤣🤣 joking.
Mkuu mashabiki wapo na mashabiki wenyewe ndio sisi japo ni wachache nakubali.ManCity haina shabiki hapa Bongo.
Timu zenye Washabiki ni
Arsenal
LFC
MAN U
CHELSEA ( Tena Chelsea imeanza kupata mashabiki miaka ya 2003)
Na Mzee Jakaya Kikwete ni shabiki wa Newcastle nakupa kama bonus
🤣🤣🤣🤣 daah hebu mtuache, ngoja nifungashe virago vyangu humu eboo.Timu imejaa watoto wa Shule
Wote wapo hostel,hawamiliki simu 😂😂
Una habari golikipa wenu ametoboka paja?
Hata wa kuwaletea habari hayupo.
Jukwaa limepooza kama uji wa mgonjwa.
Unaenda wapi sasa dogo 😂🤣🤣🤣🤣 daah hebu mtuache, ngoja nifungashe virago vyangu humu eboo.
Ukimtoa Pain killer unabaki mwenyeweMkuu mashabiki wapo na mashabiki wenyewe ndio sisi japo ni wachache nakubali.
Au Shabiki inabidi akidhi vigezo gani ili awe shabiki wa timu fulani kiasi kwamba hakuna yeyote mwenye hivyo vigezo vya kuwa shabiki wa city hapa bongo.
🤣🤣🤣😃 Yani kipara kakaza kila angle kiasi kwamba ili mjipoze machungu ya kuwa anawapokonya makombe mmeamua ku assume kwamba hata hivyo timu yenyewe haina mashabiki 🤣🤣🤣😂Ukimtoa Pain killer unabaki mwenyewe
Au mnamtegea cocastic 😂
KaCoca na Mpira wapi na wapi
Coca wake udaku
Ngoja nikaanze kuteremsha updates, nikampe kampani ndugu yangu bwana panadol uzi usije ukabanduliwa pale juu.Unaenda wapi sasa dogo 😂
Unataka ukakae jukwaani kwako mkiwa😂😂😂😂
Ubanduliwe mara ngapi😂Ngoja nikaanze kuteremsha updates, nikampe kampani ndugu yangu bwana panadol uzi usije ukabanduliwa pale juu.
Macho yako yanafanya kazi sawasawa au nikuazime mawani?🤣🤣🤣😃 Yani kipara kakaza kila angle kiasi kwamba ili mjipoze machungu ya kuwa anawapokonya makombe mmeamua ku assume kwamba hata hivyo timu yenyewe haina mashabiki 🤣🤣🤣😂
Nakwambia hivii bado hamjasemaa, mpaka msemee.
Mnatuacha point mbili na ligi tunaanza February halafu unawaza ubingwa si kituko hiki.Macho yako yanafanya kazi sawasawa au nikuazime mawani?
Msimamo wa league unaujua?
Pole sana mdogo etuMnatuacha point mbili na ligi tunaanza February halafu unawaza ubingwa si kituko hiki.
Muulize mwenzio arsenyani akwambie...nyie wenyewe ni victims wetu pia sio arsenyani tu ko mnaelewa vizuri sana tu, we endelea kufurahia point 2 wakati tulikua warm up.
Mona hujambo?
Ile shkamoo yangu uliyoitunza unipe[emoji1787]
Leo siendi
Bobby ataniombea nina Imani.
Acha siasa MonaUmri ni namba tu si unajua hili eeh?? Kama Eva alitoka kwenye mfupa wa Eva maana yake umri wa Eva na Adam ni sawa kwani mfupa wake ulimtoa mtu.
MAMBO Miss Liverpool.
Anyway Shikamoo madam,