[emoji23] [emoji23] Na Salah kwani anaodoka na Klopp....
Well sleep on its dogo...
We have been through worse scenarios kuliko hii..
Nina imani kwamba misingi ipo na FSG kuna kitu wamejifunza kutoka kwa Klopp hivyo wako prepared zaidi kutoleta kocha wa majaribio design kama Rodgers...
YNWA
Noted. Kiukweli sijahuzunika kuondoka kwa klopp. Kashajitahidi kwa uwezo wake wote. Kaleta vikombe ucl, epl, nk. Tukubali changamoto nyingine. 8 yrs imetosha. Liverpool will remain the same without klopp.
D ah leo nimevurugwa na hii taarifa basi tuu wadau sielewi hapa
kabisa ila vipi huu msimu si amesema anaumaliz ndio aondoke?Wengi tulivurugwa balaa. Mie niliingia matandaoni ndio nakuta post in 1 min aisee kama naota vile. In way ni vile imekuwa ghafla.
But we are safe bado tupo salama sana, na tutaendelea kuwa salama pia. Thats football. Shughuli ni kumpata kocha mwenye bond na fans na LFC community overall. Wapo wazuri na this time FSG wamekomaa kwenye sekta hii natumai selection zitakuwa nzuri tofauti na miaka ile wanaanza kuendesha timu
Kama si Alonso basi ni yule wa Brighton. Nafikiri ni Robarto Ze Greb.
kabisa ila vipi huu msimu si amesema anaumaliz ndio aondoke?
Salah
Klopp
Na hao viongozi.
Aseee hii lzm myumbe
Bila umakini mnakuwa kama United after Ferguson.
Lkn ni km mnapishana na united, historia inaeleza
Hajalogwa. As a human being like you Klopp ana maamuzi yake pia for the sake of many things (family, health, reputation e.t.c).Kumbe ni kweli 😭😭😭😭😭
Jamani😭😭😭😭😭
Klopp nani kamroga kwani? 😭
Kumbe ni kweli [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Klopp nani kamroga kwani? [emoji24]
Kwamba hukutuamini?? Thats life maam’ its a process too.
Tukubali kuanza maisha bila yeye next season and its possible. Kizuri ametuacha pazuri
pole mama yatapita haya[emoji16][emoji16][emoji16] ila roho imeniuma zile 7 zetu hatujaziludisha.Kumbe ni kweli [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Jamani[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Klopp nani kamroga kwani? [emoji24]
Mm ni ww kabisa [emoji24][emoji24]D ah leo nimevurugwa na hii taarifa basi tuu wadau sielewi hapa
Sina uhakika km Buvac the brain atabadilisha msimamo wake alioutoa wakati ule anaondokaI was contemplanting a while ago about the best possible replacement for Klopp. My mind couldn't even picture a single soul. But after a while this name popped up in my thoughts, Zljeko Buvac (The Brain).
What if we give the team to Pep Lijnders and Buvac? Captain Marvelous King Ngwaba MosDef The MoNA
Buvac kuondoka kwake ilikuja kujulikana ni kutokubaliana katika baadhi ya mambo kati yake na Klopp.Sina uhakika km Buvac the brain atabadilisha msimamo wake alioutoa wakati ule anaondoka