Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
Buvac aka the Brain alikua anafanya kazi Dynamo Urusi sina hakika kama bado yupo kule ama la...I was contemplanting a while ago about the best possible replacement for Klopp. My mind couldn't even picture a single soul. But after a while this name popped up in my thoughts, Zljeko Buvac (The Brain).
What if we give the team to Pep Lijnders and Buvac? Captain Marvelous King Ngwaba MosDef The MoNA
Pep Ljinders hua anapewa sifa zote na Klopp kiasi kama huyu babu Klopp angeulizwa design kama Fergie wakati anang'oka Man Utd angesema tu Pep L anatosha pengine.. Kitendo wanaodoka wote wasaidizi wa Klopp ni kama vile kuna shavu lipo mahala aisee kama sio Real Madrid, Bayern, BVB au Barcelona ndio timu naona akitua au Timu ya Taifa Ujeremani au Brazil muda utasema ataishia wapi.
Kwa Liverpool hapa kazi ilishaanza tangu November 2023 kusaka mridhi wa Klopp hivyo tuwe na subira. Majina ni mengi sana yanatajwa naamini wanao muda wa ku profile kila mmoja na kupata atakaetupeleka mbali zaidi ki ushindi.
YNWA