Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkikutana na wahuni wakazizima Counter zenu nyny ni WA kawaida sana🤠🤠...na kitawaramba soon...mwizi anafukuzwa kimyakimya

Hao wahuni wako wapi wa kutuzima ?wataje
Mbona tunaongoza ligi na hakuna kima yeyote wa kututoa😁
 
Watu wakishindwa soka hugeukia uchawi 😂😆
Sisi tunapanga hadi watoto wa Academy na wanakiwasha
 
Watu wakishindwa soka hugeukia uchawi 😂😆
Sisi tunapanga hadi watoto wa Academy na wanakiwasha
Yule Van Dijk kule nyuma ndo kikwazo🤠🤠...kule mbele yule Jota kqshakwenda na maji...mm huwa simpendi yule muhuni maana ana mpira wa kulazimisha sana...ni mara chache kupotea kwny game....sasa super Captain ateguke nyonga tufunge mahesabu...ubaya ubaya tu
 
Naona mko busy sana kutuwazia sisi, na mmeanza kuwa obsessed with us! 😂🙌
Tunatakiwa tukomae aisee. Miezi miwili iliyopita tulisahaulika kabisa. Arsenal ikaacha kutajwa katika hizi mbio. Story za mjini zikawa Liver na City tu ndiyo wako katika kinyang'anyiro. Ghafla tunaonekana tena. Tujitahidi tusipotee tena.
 
Salah hujamuona kama amerudi
Kinatoka chuma tunaingiza chuma 😂
Vvd haumii,sahau Hilo kabisa.
 
Tunatakiwa tukomae aisee. Miezi miwili iliyopita tulisahaulika kabisa. Arsenal ikaacha kutajwa katika hizi mbio. Story za mjini zikawa Liver na City tu ndiyo wako katika kinyang'anyiro. Ghafla tunaonekana tena. Tujitahidi tusipotee tena.
Ngoma ya watoto haikeshi
 
Salah hujamuona kama amerudi
Kinatoka chuma tunaingiza chuma 😂
Vvd haumii,sahau Hilo kabisa.
Salah mbio tu ndo anazozijua🤠🤠...pale juu mtatoka mtake msitake....Leo Mama Cita anashinda kiporo chake tuanze rasmi kuwafukuza.. wiki ijayo mnacheza Carling Cup sisi tunacheza Ligi tunashinda tunakaa pale juu...hamtakaa mrudi tena pale
 
Salah mbio tu ndo anazozijua🤠🤠...pale juu mtatoka mtake msitake....Leo Mama Cita anashinda kiporo chake tuanze rasmi kuwafukuza.. wiki ijayo mnacheza Carling Cup sisi tunacheza Ligi tunashinda tunakaa pale juu...hamtakaa mrudi tena pale
Tutoeni kama mnaweza
Mbona mmeshindwa,mmebaki mnapiga Domo tu

Mabingwa hatunaga maneno mengi
 
Kwa uloxhoandika kuhisu mo salah inaonesha kuukosea mpira adabu watu kama mo salah nawakumbuka ni wawili au watatu.
Alikuwepo
ruud van neestelroy
Philipe inzaghi
Javier hernandez
Na sasa tunamshuhudia salah
Hawa ni binadam waliokuwa wanajua njia za mpira kupita so usiseme salah anachojua ni mbio tuu
Ila salah ni mtu wa matokeo panapohitajika matokeo
 
Mkuu huu ni utani tu na Shangazi yetu🤠🤠...Salah ndo Liverpool yenyewe...ila mbio anazikimbia hasa....
 
Tunatakiwa tukomae aisee. Miezi miwili iliyopita tulisahaulika kabisa. Arsenal ikaacha kutajwa katika hizi mbio. Story za mjini zikawa Liver na City tu ndiyo wako katika kinyang'anyiro. Ghafla tunaonekana tena. Tujitahidi tusipotee tena.

Mechi muliyotufunga imewaboost sana
 
Mechi muliyotufunga imewaboost sana
Kweli bro. Imetupa kujiamini mjini. Ukijumlisha na tulimpelekesha City na kumfunga lile goli moja, tumejioma kama tunaweza kubishana na yeyote. Arteta anasema hata mechi tulizofungwa na Fulham na West Ham ni kwa kuwa hatukutumia nafasi zetu vizuri.
Confidence ya hivi itatusaidia kama hatutapoteza mechi na timu ndogo kizembe. Tunaweza kujikuta mwezi wa tano tunapambana vilivyo na nyie na City.
 
Salah mbio tu ndo anazozijua🤠🤠...pale juu mtatoka mtake msitake....Leo Mama Cita anashinda kiporo chake tuanze rasmi kuwafukuza.. wiki ijayo mnacheza Carling Cup sisi tunacheza Ligi tunashinda tunakaa pale juu...hamtakaa mrudi tena pale
FYI Liverpool tunacheza PL vs Luton leo na hiyo weekend nyie mtakapocheza basi hata mkishinda still mtaendelea kubakia huko huko mlipo maana mtaikuta Liverpool tayari ina points 60 kabla mcheze na Newcastle ambao sidhani kama watawaacha salama.
 
Hata tukifeli, bingwa ni city
 

Na muombe kuepushwa na injury Crisis kama tuliyokuwanayo January TAA, Robertson, Konate, Szobo, Salah, MacAllister, Endo (To Asia Cup), Jones, Thiago, Alison lakini tulifanikiwa kushinda mechi zote na kupoteza kwa Arsenal tu.

Sasa ombeni hichi kitu kisiwatokee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…