Haya huenda wakarudisha...Mpira mpaka kipenga cha mwisho mazee!!
Haya huenda wakarudisha...
Haya huenda wakarudisha...
Hawa Liverpool mwaka huu wao, hata nafasi ya 4 wanaweza kuikosa. Kama mwendo utakuwa huu watamaliza wa 6 au 7. Hali hiyo itawakimbiza akina Tores. Pole sana wapinzani.
Sikuwa napenda Steve G aondoke lakini naona sasa wakati umewadia he has to move on awache Hicksna Purslow wacheze wao. Ila namshauri abaki EPL maana akienda Spain yatamkuta ya Owen na BeckhamHawa Liverpool mwaka huu wao, hata nafasi ya 4 wanaweza kuikosa. Kama mwendo utakuwa huu watamaliza wa 6 au 7. Hali hiyo itawakimbiza akina Tores. Pole sana wapinzani.
Yaani huu msimu acha tu Rafa kaishiwa kabisaPoleni wakuu naona hapa hali imeishakuwa tete..
Poleni wakuu naona hapa hali imeishakuwa tete..
Asante, maana nasi tumepingwa 3 zero. Si kawaida mechi ya 18 kufungwa gemu 5. Nawatakia kheri Arsenal na Chelsea.
Sikuwa napenda Steve G aondoke lakini naona sasa wakati umewadia he has to move on awache Hicksna Purslow wacheze wao. Ila namshauri abaki EPL maana akienda Spain yatamkuta ya Owen na Beckham
Yaani huu msimu acha tu Rafa kaishiwa kabisa
timu zina drop points kinoma nyinyi wenyewe tu mda mnao wa ku-turn around lakini huyo benitez kama ataendelea kuwapiga bench watu wamaana kama benayoun na ngog mtaendelea tu kuwa wasindikizaji.Yaani ningekuwa na bunduki ningekwenda kuwachapa wachezaji kwanza, haiwezekani wacheze vibaya wakati wanalipwa mishahara!!! I think ni kiburi tu, maana sasa kama hata kukimbiza mpira unasingizia owners wakati hawajawahi kukosa mishahara inaniudhi
I am very down but not out!!
Sikuwa napenda Steve G aondoke lakini naona sasa wakati umewadia he has to move on awache Hicksna Purslow wacheze wao. Ila namshauri abaki EPL maana akienda Spain yatamkuta ya Owen na Beckham
Yaani huu msimu acha tu Rafa kaishiwa kabisa
timu zina drop points kinoma nyinyi wenyewe tu mda mnao wa ku-turn around lakini huyo benitez kama ataendelea kuwapiga bench watu wamaana kama benayoun na ngog mtaendelea tu kuwa wasindikizaji.
mmerizika kwenda europa league soon mtaanza kuona championship nayo powa.
Ikiwa kila chizi anapoamka huwaza aanze na jalala lipi?
Teh teh natamani kujua Benitez akiamka huwaza kuanza na kitu gani?
- Duh! noma kichizi, sasa dawa mimi ni kutafuta timu mpya maana hii aibu haikubaliki wala haizoeleki!
- Simply noma!
Respect.
FMEs!