Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mi huwa kuna wachezaji nikishawaona tu kwenye line-up mzuka wa kuangalia game huwa unapotea. Baada ya game ya Madrid nilijua tu Super Rodgers lazima akivuruge kikosi tena, ndio maana hii game sikuwa naifikiria sana na ndicho kilichotokea.
 
Mi huwa kuna wachezaji nikishawaona tu kwenye line-up mzuka wa kuangalia game huwa unapotea. Baada ya game ya Madrid nilijua tu Super Rodgers lazima akivuruge kikosi tena, ndio maana hii game sikuwa naifikiria sana na ndicho kilichotokea.

Hapana mkuu tumecheza vyema na refa katunyima point leo
 
hujanielewa, sterring alitakiwa kupata second yellow baada ya kumvuta Hazard.
Ref amefanya makosa kwa kiasi fulani,ila huwezi kusema ndio sababu Liverpool kutokufanya vizuri msimu huu.
sometimes inabidi ukubali km timu yako sio nzuri.

out of 11 e.p.l matches this season mmshapoteza 5, draw 2 na win 4
something need to be done kubadili huo mwenendo

Yellow card haitoki kila wakati unapomshika mtu, la ingekuwa ni hivyo then hakuna mpira ambao ungemaliza dakika zote 90+

When you look on the incidence (Sterling & hazard) hakukuwa na move yeyote ambayo raheem aliivunja while edin alikuwa anaupaka mpira mafuta. But kiwiko cha ramirez kilistahili adhabu

Ukiangalia post yangu utagundua kwamba nakubaliana na wewe kwamba timu yetu inacheza hovyo
 
Ni kweli team yetu ina matatizo na haiko poa!!!Hongereni sana Chelsea
ILA ubovu wa team yetu isiwe sababu ya kufunika ubovu wa referee, Naye alifanya poor decisions vilevile.
 
Wakifungwa wanakuwa na maneno mazuri wanatupa had hongera TUNA SHUKURU SIYE
 
Asitafutwe mchawi, timu ilikuwa mbovu na itaendelea kuwa mbovu.

Mkuu mbona co kama mwana sport? liver ni mbovu lakin c kwa mechi ya leo, yelow card ya Raheem, goli la costa mpira ulisha toka, penalty cahil mpira aliucheza kwa mkono kwa makusudi.
 
Ni kweli team yetu ina matatizo na haiko poa!!!Hongereni sana Chelsea
ILA ubovu wa team yetu isiwe sababu ya kufunika ubovu wa referee, Naye alifanya poor decisions vilevile.

Yale maamuzi kama yangefanywa kwa upande wa chelsea angepiga kelele dunia nzima ingejua
 
We're Shit..

absolutely shit...watu wamekomaa na refa wakati hawana kocha wala strikers! Nipo safarini sijaangalia game though...Mungu endelea kukubali sala zangu,tupoteze au kufungwa ten consecutive games...ili huyu bw.ege aliyevmia Euro 213 kununua utumbo awajibishwe kwa mujibu wa sheria...na kama FSG watamtimua BR wakamuacha Ayre aendelee kufanya deals za usajili,ni kazibure
 
Mkuu mbona co kama mwana sport? liver ni mbovu lakin c kwa mechi ya leo, yelow card ya Raheem, goli la costa mpira ulisha toka, penalty cahil mpira aliucheza kwa mkono kwa makusudi.

Mi nadhani tunge focus zaidi kwenye performance ya timu kwa ujumla kuliko kutafuta excuses ambazo hazitasaidia, ingawa zinasaidia kwenye kujifariji.


Goli la pili ni sahihi kabisa, ule mpira haukutoka nje wote (jaribu kuangalia tena highlight). Wakulaumiwa ni Johson ambaye hakuwepo kabisa kwenye eneo lake, ingawa Coutinho alishindwa kumkaba vizuri Az.

Ile kadi ya njano ya Raheem sina uhakika sana, ila nilichokiona RS alim block Ramires kwa mbele ingawa Ramires alikuja kumpa kiwiko RS.

Penati ilikuwa ni "clear" penati, ingawa tungeweza kupewa hiyo penati na kuikosa pia.

Mwisho wa siku kwa tulivyocheza leo tulikuwa hatuna uwezo wowote wa kumfunga Chelsea, ingawa wote tulicheza mpira mbovu.

Sijajua kwa nini Borini hakuanza, Sub ya Coutinho, Sub ya Can, Sub ya Lambert, RS kumaliza dk 90, Lalana kutocheza. Af Moreno bado sana kwenye kuzuia, ndio maana namkubali sana Jose.
 
Oooh Lord please make sterring sick even for one week oooh no just a month

Huyu mtoto BR sijui anampendea nini hasa! Pamoja na kuzingua msimu huu dogo anajua sana kukaba kuliko. Wasiwasi wangu ni Coutinho kama
ataendelea kukaa Anfield kwa kipindi kirefu.
 
Mi nadhani tunge focus zaidi kwenye performance ya timu kwa ujumla kuliko kutafuta excuses ambazo hazitasaidia, ingawa zinasaidia kwenye kujifariji.


Goli la pili ni sahihi kabisa, ule mpira haukutoka nje wote (jaribu kuangalia tena highlight). Wakulaumiwa ni Johson ambaye hakuwepo kabisa kwenye eneo lake, ingawa Coutinho alishindwa kumkaba vizuri Az.

Ile kadi ya njano ya Raheem sina uhakika sana, ila nilichokiona RS alim block Ramires kwa mbele ingawa Ramires alikuja kumpa kiwiko RS.

Penati ilikuwa ni "clear" penati, ingawa tungeweza kupewa hiyo penati na kuikosa pia.

Mwisho wa siku kwa tulivyocheza leo tulikuwa hatuna uwezo wowote wa kumfunga Chelsea, ingawa wote tulicheza mpira mbovu.

Sijajua kwa nini Borini hakuanza, Sub ya Coutinho, Sub ya Can, Sub ya Lambert, RS kumaliza dk 90, Lalana kutocheza. Af Moreno bado sana kwenye kuzuia, ndio maana namkubali sana Jose.
Poleni sana
cc Pazi
 
Last edited by a moderator:
1;sterling c alimzuia Ram njia ? That's y akapewa kadi
2;mpira aukutoka ulikua bado upo on the line ,tafuta marudio uangalie
3;Je ile hand ball ya Liverpool mbna uizungumzii?
4;pole Sana kwa kutobolewa mfululizo 😱😱😱

Wewe ulikuwa unaangalia au ulikuwa unasimliwa?
 
Huyu mtoto BR sijui anampendea nini hasa! Pamoja na kuzingua msimu huu dogo anajua sana kukaba kuliko. Wasiwasi wangu ni Coutinho kama
ataendelea kukaa Anfield kwa kipindi kirefu.

Siku hizi confidence anakosa kabisa akifika karibu na goli I hate sterring now days....

Coutinho nahisi dirisha dogo anaweza tutingisha na BR akimfanyia hivi hivi msimu ukiisha PC ataondoka anfield na ndipo tutakapozidi kupotea. PC he got football brain, itakuwa aibu iwapo ataondoka
 
Mkuu mbona co kama mwana sport? liver ni mbovu lakin c kwa mechi ya leo, yelow card ya Raheem, goli la costa mpira ulisha toka, penalty cahil mpira aliucheza kwa mkono kwa makusudi.

wee umeangalia mechi nyingine siyo tuliyoangalia liver ndiyo ya kumfunga chese kwa mpira gani waliocheza visingizio vyote mna mpatia referee, baloteri,sterling, gerrard etc wamecheza mpira gani wakuiwezesha tim yao ishinde umebaki kulilia pernat au upande wa chese ile haikuwa penati mchezaji wako aliposhika
 
Siku hizi confidence anakosa kabisa akifika karibu na goli I hate sterring now days....

Coutinho nahisi dirisha dogo anaweza tutingisha na BR akimfanyia hivi hivi msimu ukiisha PC ataondoka anfield na ndipo tutakapozidi kupotea. PC he got football brain, itakuwa aibu iwapo ataondoka

SG uwa hamsaada wowote atakama tuzidiweje af BR ndokakomaa nae apige DM,,Hii gemu angepiga lucas nafas ya SG af markovic ya raheem af borin ya balotel daah tungekua tunazungumza mengine saiv but BR kala yamin na mfumo wake
 
Back
Top Bottom