View attachment 2922982nimempa like na kukimbia
Tukiwaambia hivyo ni kwamba tumamaanisha! Tatizo la vijana mlioingia kwenye mpira karibuni ndilo hilo, ujuaji mwingi halafu mnahadithiwa na wachambuzi wenu feki waliojaa kwenye media.
hapo nimekuonyesha makala ya Football 365 inayoonyesha namba ya academy players ambao klopp kawapa senior debut halafu wewe unaleta habari ya eti Messi na Ronaldinho are you serious?
unafahamu Breakthrough ya Lionel Messi kweli wewe?
kwa taarifa yako Messi hajawahi kimuweka benchi Ronaldinho, Messi kapewa nafasi na Frank Rijkard from youth ranks from 2004/05 lakini kwa mechi chache ila breakthrough season ikawa 2006/07 ambapo Frank Rijkard akawa anawaanzisha front three trio Ronaldinho,Etoo na Messi,na Messi akawa anatokea pembeni LW baada ya kuwa Ludovic Giuly kuanza kupoteza Kasi
Ni Pep Guardiola aliyemturn Messi huyo unayemuona leo,na hiyo ilikuwa baada ya Gaucho kupewa mlango wa kwaheri msimu wake wa kwanza Pep 08/09
So sio kweli kuwa Messi alipata namba mbele ya Gaucho! ni kuwa Frank Rijkard aliloose influence kwenye Dressing Room na ndio ikawa sababu ya kufurushwa Nou Camp.
Pep alipoanza na senior team kutoka team B aliyokuwa akifundisha aliwaoffload a number of senior players akiwemo Gaucho na ikawa ndio turning point ya kina Messi,Bosquet na wengineo kudeliver kulingana na mfumo wake.
Hivyo kusema kuwa Messi alipata namba kwa Ronaldinho ni sign ya kwamba you know nothing about that,na ikiwa unaamini kuwa Klopp hawapi nafasi juniors kwenye ranks za First team your total wrong! na ushahidi nimekuwekea hiyo collum ya Football 365
So no Datta no right to speak, otherwise humjui klopp ambaye since Mainz05 mpaka Dortmund ni muumin wa kuwapa opportunities juniors na hiyo sometimes imetucost mpaka Liverpool,kwa kuwaamini kina Curtis Jones,Harvey Elliot na Rhiam Brewster kuwa replacement ya kina Fabinho,Hendo na Kina Salah ! na kwa kukumbusha ni Klopp huyohuyo ambaye alikuwa akimkisoa Guardiola na makocha wengine wanaopendq kuspend heavily while wanaweza kutumia cheap resources kwa big result!
kusema kuwa Klopp hawapi nafasi academy graduates ni either hujui unachokisema au umekengeuka, Nothing else.