Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

So Jumapili tupo na Manchester City Anfied....
Haya waleteee hakuna namna to be the best we beat the best..

YNWA
Hawa mamacita msiwaachie aisee. Mkishindwa kabisa kuwapiga basi waambulie ka sare . Actually sare ni nzuri kwetu Arsenal, especially kama tukishinda leo na jumamosi...ila potelea mbali, nyuka sana hao wahuni.
 
Huyo Fabinho sasa,. [emoji81] hata kukimbia hawezi
Kwa ufupi wameenda kula maisha na sio kucheza mpira.

Macca as a DM baada kurudi injury alikuwa vizuri ali improve mno, alikuja kucheza na Endo akasogea juu tumeona ndani ya mechi 5 goli 1 na assist 3.

Nafikiri Gomez ukuta wa nyuma kaumaliza wote. Last match alipiga. LB, CB, RB and DM ndani ya mechi moja.

Yule Doucore kwa £80m tungepigwa he is good ila not in that value. Bora tuliopt na kumchukua Endo kwa bei che na kazi inapigwa. Goli la juzi yeye ali intercept vizuri japo wengi hawakuiona au hawaipiti credit ya kutosha kabla mpira haujanfikia Macca.

YNWA
Mane ndio kaisha kabisa, yaani mpira haupo tena mguuni
Neymar ana kitambi hadi cha kufutia ipad
 
Kinachowauma Chelsea siyo kufungwa na Liver
Bali kufungwa na liver iliyojaa watoto tupu
Kipindi cha february kilikuwa kigumu kitimu ila kimatokeo sote tumefurahia. Monster mentality pia inasaidia kukupa matokeo. Nimeona tumepata 22 points kutokans na dk za mwisho ama ushindi au sare.

Subs zetu bado zinaendeleaa kuwa na mchango mkubwa msimu huu.

Licha ya ubovu wa Chelsea, ilikuwa ngumu bila mwanasaikolojia kuhusika kuwaaminisha kina Clark, Danns, Mac Connel na wengine kwamba bila ya Nunez/Salah/Szobo/Trent bado unaweza kufanya maajabu, bado ni mchezaji unayetemewa. Kumbuka ni Wembley and its a final, na sio kwamba majamaa wapo bench wapo juu huko.

Hapo ndipo kina Thiago, Adrian wanaingia kuhusiks kuamsha amsha.
YNWA.
 
Sisemi kwamba hajui ila style yake dah

Unajua mpira burudani style yake hainiburudishi
Kama ambavyo style yake haikuburudishi
Vivyohivyo style ya Nunez kuna watu haiwabirudishi

Kwa hiyo hili ni suala la preference tu .
Unampenda Nunez/Diaz kuliko Gakpo, wengine twampenda Gakpo kuliko Nunez.
 
Huu uzi si walijaa marasta FC wakichabanga madomo yao mara ooh caesido sijui side tumemkosa
Oh mara eti tumewaiga Enzo,sisi tumeleta mkorea Endo ..tumebadili herufi kati
Blah blah kibao na madomo yao Sasahivi kiko wapi?!?
Siyo huyo side wala nani yake aliyetamba mbele ya watoto wetu akina Nyoni.
Mwanzoni mwa msimu comments za humu zilikuwa za kinyongenyonge ila sasa zimekuwa za kibabebabe.

Nadhani kila mtu angefurahi kuona kitu kinatokea kwenye ligi cha kufanya comments zirudi kama hapo awali, japo hata kwa mwezi tu.
 
We will Miss alot Jota and Jone’s services. Ila MF ya Endo, Macca & Szobo itakuwa poa sana. Good thing we have Bradley. Pep alichanga karate zake upande wa Trent this time around tuone ataamua kupitia wapi.

If Salah is fit kuelekea mechi hiyo, aanzie bench no need to risk much. Return inaonesha 10/3

I think our line up will be

Kelleher
Bradley
Konate
Vvd
Robbo
Endo
Macca
Szobo
Nunez
Diaz
Gakpo/Elliot

Kama Salah atacheza dk zozote on thursday basi j’2 ataanza
mwamba nimekubali na nafasi ya Mos D nakupatia wewe

Hili ni li line-up la ushindi

Trent mzembe wa kukaba, mzuri wa kushambulia.

Bradley mzuri kote

Tuone kipara atapita wapi
 
Kama ambavyo style yake haikuburudishi
Vivyohivyo style ya Nunez kuna watu haiwabirudishi

Kwa hiyo hili ni suala la preference tu .
Unampenda Nunez/Diaz kuliko Gakpo, wengine twampenda Gakpo kuliko Nunez.
Ahahahah acha kunichekesha

Nunez anakimbia kumzidi Gakpo

Nunez anakaba kuliko Gakpo

Kwenye kufunga wakipewa muda sawa wanalingana

Mpaka hapo kwangu mimi Nunez akiwamo uwanjani huwa ananiburudisha sana kuliko Gakpo
 
Mwanzoni mwa msimu comments za humu zilikuwa za kinyongenyonge ila sasa zimekuwa za kibabebabe.

Nadhani kila mtu angefurahi kuona kitu kinatokea kwenye ligi cha kufanya comments zirudi kama hapo awali, japo hata kwa mwezi tu.

Nisalimie hamis77 mwambie nimekumbuka zile chambuzi zake za Ten Hag kuwa ni tapeli sasa nimeanza kuamini yule Kipara kama meza ya Kamari ni Tapeli kweli
 
Nyie washikaji mna mpaka mwanasaikolojia? Duuh. Watu kwenye ugomvi wa visu mnaleta bunduki 😄😄😄

Angalau sisi tulinunua kimbwa tukakiita 'Win' na chenyewe eti ndiyo ki stress relief companion cha team yetu. Imagine wahuni kama kina Gabriel wakiwa na stress eti wapetipeti kimbwa. At least hiyo haitupi advantage. Ila nyie sasa. Mwanasaikolojia kabisa? Daah! Kweli mnataka Klopp amalize na angalau ka treble.
images (2).jpeg

Huyu hapa anaitwa Yvie Ryan 😄
 
Hawa mamacita msiwaachie aisee. Mkishindwa kabisa kuwapiga basi waambulie ka sare . Actually sare ni nzuri kwetu Arsenal, especially kama tukishinda leo na jumamosi...ila potelea mbali, nyuka sana hao wahuni.
🤣 🤣 🤣 Kuna kale kamsemo kila mmoja ashinde mechi zake lakin tulipofikia sasa kwa kuachana hizi pointi inafika mahala na kuombea wengine ukame wa ushindi na vipigo..
Tutacheza kusaka ushindi kadri tuwezavyo na Kipara nae atacheza kusaka ushindi hivyo na bahati iwe kwetu maana kumzuia kipara dakika 90+ sio powa kabisa unless wapigwe zaidi ya goli 2 ndio hua wanakosa majibu Anfield na ni kitambo sana hatujawaweza vyema Anfied hivyo waje itajulikana niaje niaje...

Wewe pambana ndugu kwa sasa una rhythm powa sana Rice naona ndio alikua missing link ya timu yake na he is worth every penny jamaa.

YNWA
 
🤣 🤣 🤣 Kuna kale kamsemo kila mmoja ashinde mechi zake lakin tulipofikia sasa kwa kuachana hizi pointi inafika mahala na kuombea wengine ukame wa ushindi na vipigo..
Tutacheza kusaka ushindi kadri tuwezavyo na Kipara nae atacheza kusaka ushindi hivyo na bahati iwe kwetu maana kumzuia kipara dakika 90+ sio powa kabisa unless wapigwe zaidi ya goli 2 ndio hua wanakosa majibu Anfield na ni kitambo sana hatujawaweza vyema Anfied hivyo waje itajulikana niaje niaje...

Wewe pambana ndugu kwa sasa una rhythm powa sana Rice naona ndio alikua missing link ya timu yake na he is worth every penny jamaa.

YNWA
Mimi nawapa advantage nyie kwa kweli.
Msiwaachie wapafanye Anfield kama sisi tulivyopafanya Stamford Bridge. Nawaaminia. Sisi hatuna beef na nyie. Hata mkibeba kikombe sisi kwetu poa tu.

Naona sasa tuko half-time na Sheffield na tunawaongoza 0-5. Itapendeza tukieaongezea ila itatuletea matatizo na timu zingine. Mechi zilizobaki timu zitagoma kuingia uwanjani.
 
Back
Top Bottom