Hawa mamacita msiwaachie aisee. Mkishindwa kabisa kuwapiga basi waambulie ka sare . Actually sare ni nzuri kwetu Arsenal, especially kama tukishinda leo na jumamosi...ila potelea mbali, nyuka sana hao wahuni.So Jumapili tupo na Manchester City Anfied....
Haya waleteee hakuna namna to be the best we beat the best..
YNWA
City watafungwa goli na watu wasiotarajiwa[emoji81][emoji81] suala la muda another banger goal vs City then BOOM, Nunez mr chaos El panthera the saviour
Goli la juzi japo amefunga ila la kubebwa tuCome back vs Newcastle
Win vs Nottingham
Bado watamlaumu tu. Hapo bado hajakaa vizuri.
Mane ndio kaisha kabisa, yaani mpira haupo tena mguuniHuyo Fabinho sasa,. [emoji81] hata kukimbia hawezi
Kwa ufupi wameenda kula maisha na sio kucheza mpira.
Macca as a DM baada kurudi injury alikuwa vizuri ali improve mno, alikuja kucheza na Endo akasogea juu tumeona ndani ya mechi 5 goli 1 na assist 3.
Nafikiri Gomez ukuta wa nyuma kaumaliza wote. Last match alipiga. LB, CB, RB and DM ndani ya mechi moja.
Yule Doucore kwa Β£80m tungepigwa he is good ila not in that value. Bora tuliopt na kumchukua Endo kwa bei che na kazi inapigwa. Goli la juzi yeye ali intercept vizuri japo wengi hawakuiona au hawaipiti credit ya kutosha kabla mpira haujanfikia Macca.
YNWA
Kipindi cha february kilikuwa kigumu kitimu ila kimatokeo sote tumefurahia. Monster mentality pia inasaidia kukupa matokeo. Nimeona tumepata 22 points kutokans na dk za mwisho ama ushindi au sare.
Subs zetu bado zinaendeleaa kuwa na mchango mkubwa msimu huu.
Licha ya ubovu wa Chelsea, ilikuwa ngumu bila mwanasaikolojia kuhusika kuwaaminisha kina Clark, Danns, Mac Connel na wengine kwamba bila ya Nunez/Salah/Szobo/Trent bado unaweza kufanya maajabu, bado ni mchezaji unayetemewa. Kumbuka ni Wembley and its a final, na sio kwamba majamaa wapo bench wapo juu huko.
Hapo ndipo kina Thiago, Adrian wanaingia kuhusiks kuamsha amsha.
YNWA.
Kama ambavyo style yake haikuburudishiSisemi kwamba hajui ila style yake dah
Unajua mpira burudani style yake hainiburudishi
Mwanzoni mwa msimu comments za humu zilikuwa za kinyongenyonge ila sasa zimekuwa za kibabebabe.
Nadhani kila mtu angefurahi kuona kitu kinatokea kwenye ligi cha kufanya comments zirudi kama hapo awali, japo hata kwa mwezi tu.
mwamba nimekubali na nafasi ya Mos D nakupatia weweWe will Miss alot Jota and Joneβs services. Ila MF ya Endo, Macca & Szobo itakuwa poa sana. Good thing we have Bradley. Pep alichanga karate zake upande wa Trent this time around tuone ataamua kupitia wapi.
If Salah is fit kuelekea mechi hiyo, aanzie bench no need to risk much. Return inaonesha 10/3
I think our line up will be
Kelleher
Bradley
Konate
Vvd
Robbo
Endo
Macca
Szobo
Nunez
Diaz
Gakpo/Elliot
Kama Salah atacheza dk zozote on thursday basi jβ2 ataanza
Sasa wewe ulifikiri madogo wetu ni kama wa kwenu?Wakuu, kwa hiyo akina Mwasiti wakija hapo maghetoni, ni full mkoko au madogo?
Ahahahah acha kunichekeshaKama ambavyo style yake haikuburudishi
Vivyohivyo style ya Nunez kuna watu haiwabirudishi
Kwa hiyo hili ni suala la preference tu .
Unampenda Nunez/Diaz kuliko Gakpo, wengine twampenda Gakpo kuliko Nunez.
Mwanzoni mwa msimu comments za humu zilikuwa za kinyongenyonge ila sasa zimekuwa za kibabebabe.
Nadhani kila mtu angefurahi kuona kitu kinatokea kwenye ligi cha kufanya comments zirudi kama hapo awali, japo hata kwa mwezi tu.
La kwangu hapana.
Lipo kwa Salah tu, na Jota kidogo.
Diaz kipindi anafika almanusura nimuamini.. angeniingiza choo cha kiume.
Nyie washikaji mna mpaka mwanasaikolojia? Duuh. Watu kwenye ugomvi wa visu mnaleta bunduki πππ
Angalau sisi tulinunua kimbwa tukakiita 'Win' na chenyewe eti ndiyo ki stress relief companion cha team yetu. Imagine wahuni kama kina Gabriel wakiwa na stress eti wapetipeti kimbwa. At least hiyo haitupi advantage. Ila nyie sasa. Mwanasaikolojia kabisa? Daah! Kweli mnataka Klopp amalize na angalau ka treble.
Halafu pisi kali. Kuna wachezaji wahuni watakuwa wanajipeleka kwake kila nafasi wanayopata.View attachment 2924584
Huyu hapa anaitwa Yvie Ryan π
π€£ π€£ π€£ Kuna kale kamsemo kila mmoja ashinde mechi zake lakin tulipofikia sasa kwa kuachana hizi pointi inafika mahala na kuombea wengine ukame wa ushindi na vipigo..Hawa mamacita msiwaachie aisee. Mkishindwa kabisa kuwapiga basi waambulie ka sare . Actually sare ni nzuri kwetu Arsenal, especially kama tukishinda leo na jumamosi...ila potelea mbali, nyuka sana hao wahuni.
Kelleher anasubir EPL medal mwezi wa tano hakuna kingine...Na kama taarifa itakuwa hivyo, basi naona Kelleher akizidi kujiamini zaidi
Mimi nawapa advantage nyie kwa kweli.π€£ π€£ π€£ Kuna kale kamsemo kila mmoja ashinde mechi zake lakin tulipofikia sasa kwa kuachana hizi pointi inafika mahala na kuombea wengine ukame wa ushindi na vipigo..
Tutacheza kusaka ushindi kadri tuwezavyo na Kipara nae atacheza kusaka ushindi hivyo na bahati iwe kwetu maana kumzuia kipara dakika 90+ sio powa kabisa unless wapigwe zaidi ya goli 2 ndio hua wanakosa majibu Anfield na ni kitambo sana hatujawaweza vyema Anfied hivyo waje itajulikana niaje niaje...
Wewe pambana ndugu kwa sasa una rhythm powa sana Rice naona ndio alikua missing link ya timu yake na he is worth every penny jamaa.
YNWA
Mkuu keptain mavalaz hebu naomba uchambue kidogo game yetu na city tunatoboa kweli na hawa madogo...?Kelleher anasubir EPL medal mwezi wa tano hakuna kingine...
Anacheza kama ndio Liverpool nambari 1 wakati wote kumbe ni back up...
YNWA