Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hatimae Musialosky kaongezwa na yupo mwaka wa mwisho huu itakua mitihani wake wa mwisho huu kama anataka kuongezwa au aachwe mazima
 
Journalist: "Mr Klopp, it's a pleasure to ask you a question."

Klopp: "Let's see if it's a pleasure to answer it." πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Klopp when asked about players ahead of City match:

β€œYou might be surprised, we don’t talk about line ups in this conference.”
 
Nimesikiliza pressers za Klopp kidogo, Arteta kidogo na Pep kidogo. Naona standards za maswali ni hovyo ila majibu ya managers ndiyo yanachangamsha.
 
Nimesikiliza pressers za Klopp kidogo, Arteta kidogo na Pep kidogo. Naona standards za maswali ni hovyo ila majibu ya managers ndiyo yanachangamsha.
Sometimes journalists huwa wanauliza tu provocative questions ili kupata headlines kwenye majibu ya makocha.

Ila wakikutana na makocha wanaojua psychology ya journalism huwa wanaambulia kuaibika.
 
Sometimes journalists huwa wanauliza tu provocative questions ili kupata headlines kwenye majibu ya makocha.

Ila wakikutana na makocha wanaojua psychology ya journalism huwa wanaambulia kuaibika.
Kweli kabisa. Wahuni sana journalists wa mpira. Tushukuru tu mpira ni burudani isiyotakiwa kuchukuliwa seriously sana.
 
Hapa naona Klopp anataka Nunez afunge funge aonekane anajua boli ili kina Saint Anne wamkubali. Ila sisi tunataka apumzike ili Jumapili asumbue mabeki wa mamacita. Kulikuwa hakuna haja ya kuwawekea full mkoko hawa vibonde kutoka Prague.
 
salah, szobo......

jumapili city ajipange, tutamchapa vibaya sana!
Amecheza mechi zake za karibuni kwa mpangilio Sanaa nimeona mechi ya united alivo wapelekea moto na jana kampumzisha mtu 6 kwa ajili ya hii mechi kazi tunayo.

Kipara hatanii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…