Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Na lile goli mlilopata ulikuwa ni ujinga wa Saliba na Raya kutegeana...mechi nzima hamjapata on target hata moja halafu mnamlaumu Alisson kwa lipi Sasa....kubalini tu kwmba mlipigwa Kabali ya mbao mkashindwa kufurukuta🤠🤠🤠
Kwanini asizuie vizuri tutoke na clean sheet hata kama hatukufanikiwa kufunga goli lolote.
Ni heri tungetoka draw bila goli.
 
Huyu kibongo bongo hana tofauti na kina Alhmed Ally,Ally Kaamwe na Manara

Anapiga domo
Mswahili sana.
Bila shaka jamaa ni pacha wake na Manara.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sio Corona Fc wala Matumaini Hewa Fc atakae chukua Epl msimu huu.
Pep ameshaigeuza Epl kua kama shamba la bibi, hio jumapili Mancity anaenda kufikisha points65 na kuongoza ligi huku zikiwa zimebaki mechi 10 tu ligi kuisha.
Uzuri wenyewe wote mnajua kua kipindi hiki Pep anakua tayari ameshafungulia Turbo haijalishi kama kuna mlima au mteremko mbele yake.
Inauma sana kuona Guardiola jinsi alivyoigeuza Epl kua Farmers League ila ndio hatuna jinsi, kilichobaki ni kumuomba tu na yeye afuate nyayo za Klopp ili walau na Epl nayo ipumue.
 
Umeongea ukweli mwingi mno ila lazima matumaini yawepo. Huyu Kipara lazima adhibitiwe, hata kwa kushambuliwa. Nyie mliamua kumuachia ila sisi tunapaswa kumkazia. 😀😀
 
Kwanini asizuie vizuri tutoke na clean sheet hata kama hatukufanikiwa kufunga goli lolote.
Ni heri tungetoka draw bila goli.
Goli la 1 ulitaka afanye nn...haya la 2 uzembe wake...na la 3 nalo ni tobo angefanya nn....halafu na sisi tusingefanya uzembe kale kagoli kenu ile mechi ingeisha 2 kwa mtungi ukitoa Boko la Alisson...kwhyo tunarudi palepale...mlipigwa ngumi ndoige majirani🤠🤠...jikazeni j2 msifanywe vbaya...maana za chinichini Guardiola anataka amuage Klopp kama alivyoagwa na Arteta pale Imarate🤠🤠
 
Umeongea ukweli mwingi mno ila lazima matumaini yawepo. Huyu Kipara lazima adhibitiwe, hata kwa kushambuliwa. Nyie mliamua kumuachia ila sisi tunapaswa kumkazia. 😀😀
Walau Liverpool kidogo anaweza akaenda nae toe to toe ingawa kombe hatopata, ila nyie Arsenyau kila nikiangalia mechi zenu 7 za mwisho nabaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We jamaa timu yenu ishajifia na yule tapeli wenu 7Hag anawapeleka matoepeni basi mnaona kila mtu hawezi.


Hili kombe tunabeba mchana kweupee
Tusipobeba sisi wanaibeba wale tembo arse8
 
We jamaa timu yenu ishajifia na yule tapeli wenu 7Hag anawapeleka matoepeni basi mnaona kila mtu hawezi.


Hili kombe tunabeba mchana kweupee
Tusipobeba sisi wanaibeba wale tembo arse8
Msitusemee sisi...kwny ushindani hakuna ushirikiano...hyo Henry 14 anawajaza tu🤠🤠...kwny nafsi yake anaomba j2 Ngoma isimame kati yy apite hapohapo katikati yenu...kikubwa nyny hakikisheni yule msanii wenu wa Egypt anakuwa fiti maana ndo kete yenu ya ushindi....Hawa wachezaji wengine hawana mapafu ya kwnda sawa na Kipara Pep....kama Nottingham waliwasumbua vile....mkikaa vbaya Kipara atawapaka mafuta
 
We jamaa timu yenu ishajifia na yule tapeli wenu 7Hag anawapeleka matoepeni basi mnaona kila mtu hawezi.


Hili kombe tunabeba mchana kweupee
Tusipobeba sisi wanaibeba wale tembo arse8
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Uzuri Man Utd na ubovu wake wote lakini msimu ujao utaikuta na yenyewe ipo Uefa, hapo mi ndio hua mpaka naishangaa hii timu yangu aiseeee, yaani timu bovu na pira lake la papatu papatu lakini mwisho wa msimu lazima aungane na ma Giants wengine kwenye Uefa.
Kwa hili pira letu tunalocheza ingekua ni Livapuli au Asenyau sasa hivi iko matopeni huko kwenye nafasi ya 10 kurudi nyuma.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Haaland kashawaambia tayari kuwa kichupa cha mafuta ya upako anacho yeye, anasubiria tu hio jumapili ifike aanze kuwapaka mmoja mmoja na kaweka wazi kua wa kwanza kupakwa atakua ni VVU aaahhh nimekosea ni VVD.
 
Labda tuzingue sana kama kawaida yetu ila ni program laini sana hiyo. Tunatakiwa kuwa mabingwa kwenye mechi ya Tottenham hapo.
 
Labda tuzingue sana kama kawaida yetu ila ni program laini sana hiyo. Tunatakiwa kuwa mabingwa kwenye mechi ya Tottenham hapo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio kwa Asani-nyau huyu ninaemjua mimi.
 
Halafu nimeona Kuna habari beki kisiki ustaadh Ibrahima Konate amepata matatizo ya misuli kwny mechi Yao jana...Sasa mm binafsi naomba wampige hata ganzi hiyo j2 awepo maana asipokuwepo hatari itazidi kuwa kubwa...VVD anaonekana mzuri kwa sababu ya yule kijana...maana huwa yy anamtuma tu Konate kaba yule kimbia kule halafu yy anamalizia....Sasa kama ustaadh hayupo mtakuja kumlaumu bure Mr Captain bure🤠🤠
 
Daah. Ndiyo maana jana sikutaka tuweke full mkoko vile. Ona sasa hatuna Konate.
Klopp aondoke tu hata kesho. Hovyo kabisa.
😡😡😡
 

Vvd yupo vizuri kwa sababu ya yule kijana.

The Beauty of football.
Ok sawa.

YNWA
 
ahahah duh nimepapenda hapo mwisho
 
Hatimaye tumeingia top 10. Bado tunasafari ndefu kuwafikia Liverpool na United.

Kwa kawaida Makocha wana impact kubwa sana kuraise hizi values za Timu.
Nakumbuka kipindi cha Arsen Wenger aliifanya Arsenal the second most valuable club pale UK na 4 nyuma ya Real, Manure na Bayern München.
Baada ya kuondoka Wenger tu thamani ya Arsenal ikaporomoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…