Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
Kila tukikutana na City huwa nina hofu kidogo🤣 🤣 🤣 Ndio hivyo huoni vijana wanavyojituma mpaka Big stage Wembley...
YNWA
Kama timu yako haitumii pesa mungeweza kununuaChelsea na Man City zitoe kwenye Klabu zenye thamani ingawa inasomeka hivyo.
Chelsea tokea iliponunuliwa na Abramovic mpaka sasa hivi kwa yule Miluzi haijawahi kujiendesha wenyewe bali inaendeshwa na Mfuko wa Tajiri anatoa hela zake mfukoni kuingiza kwenye Timu. Hivyo Utajiri wake ni wa kudanganya.
Man City ndiyo kabisa Tapele hana hata Worldwide Fanbase wala hana Mikataba mikubwa bali mwarabu anaingiza hela zake mwenyewe kwa mikataba fake ili aipandishe thamani akwepe rungu la Fainancial Fair Play.
Uongo wao umewafanya kuwa na Makosa 115 ya FFP.
Timu kama Liverpool, Arsenal na Manure ndiyo zinazojiendesha wenyewe kujipandisha thamani zao.
Mbona umeandika kama mama mwenye mimba ya miezi miwili(acha gubu).Kama timu yako haitumii pesa mungeweza kununua
VVD -85million
Allison- 75 million moste expensive goalkeeper
Nunez mmetoa -100million
Jota ,gapko ,Diaz ,....Hao wote mmetoa kuanzia 50million + ....
Hakuna club inayoendeshwa Kwa fanbase ,hizo gate collection haziwezi nunua hata wachezaji wawili WA Liverpool..
Saizi Ni modern football,kama mnaendelea kuishi maisha ya miaka 90 ndio maana mpaka sasa mna 1PL ,,,yaani toka 1992 mmekuja kuchukua pl mwaka 2020 [emoji23]....
Zunguka mtaani kama utapata shabiki WA Liverpool,hii Ni timu ya zamani before Jesus Christ , ndio maana makombe yenu mengi Ni ya miaka 1880 ,means hata wewe utakuwa Babu WA miaka 80+ unless otherwise nambie Ni Kwa nin umeanza kushanikia Liverpool team ambayo Ni mid table team toka 1996 nazaliwa mpaka 2020 mnachukua PL ndio maana mnamashabiki ulaya Tena wazee ,hauwezi Kuta mashabiki WA Liverpool hii Africa kama unabisha leta stats ....it's either Arsenal ,cheslea ,man U au city ,, Liverpool utakutana na wazee huko kwenye kahawa na penyewe haifuatilii Tena maana ishakufa kitambo ,Klopp ndio kaifufua ...
Hio man utd unayosema imekuwa ikipigana kuleta waarabu ,this is modern football more investment,sio mpira WA Giza WA miaka 1700 huko mlizokuwa mnashinda mataji Bila FFP,Goal line technology,VAR ,social media to expose robbed team ...
Liverpool yenyewe inatamani waarabu ,kama huamin subiri Klopp anaondoka na Salah anaondoka ,you aree going to be stock city bro I promise ....
Kama unafikili mpira Ni oyaaa oyaaa za mashabiki ,sijui fanbase keep watching...
Hio Arsenal yenyewe wameinvest heavy ..
United wanatumia billion of money kuzidi hata city ..
Nyie Liverpool mnaificha kwenye kivuli ati hamtumi pesa what fu***K mnanunua hadi wachezaji WA 100m mnasema hamtumii pesa ...
Nikiisema utaje kikosi cha city chote na pesa iliyotumika kununua Hao wachezaji my friend utaumbuka bure ndio maana hata PL hawajui la kufanya mpaka sasa ,ndio maana Everton , Nottingham Forest waliadhibiwa mapema kabisa ushahidi ulimwagika wakapunguzwa point ila Kwa city ,mpaka sasa hawajui kosa liko wapi hesabu kwenye vitabu zote ziko sawa ila haters kama huyu boya huku jf analopoka kama Kakalia dushe tumebreach FFP ,kama pL wanajiamin wangeshatoa adhabu mapema kama walivotoa Kwa Everton ndani ya siku 5 tu .....
Ake ,akanji ,Dias ,stone ,Haaland ,doku ,ederson ,bernado Silva, Foden ...Hao wote Hakuna aliyenunuliwa Kwa 70m Ni 65m kwenda chini .....very average player kabisa [emoji23] hapo ukitoa Haaland wengine wote Ni WA kawaida ...pep system inawabeba ...but MTU unakuta anasema city anatumia pesa .....
Real Madrid ambayo ndio club kubwa Dunia inatumia pesa kuzid team zote ,lakin Hakuna anayesema oil money ,wako wanaweka 250m kumchukua mbappe Hakuna anayesema ,lakin ingekuwa city ungesikia oil money [emoji23]...
Nyie endeleeni kuishi maisha ya 1800 huko ambapo team zilikuwa haitumii pesa muone kama hamjashuka daraja ,kuwa masikin sio sifa [emoji23],yaani kusema wewe hutumii pesa sio sifa Mzee amka ,top tema zote zinatumia pesa Tena kubwa Sana .,..
Huyo Klopp kaamua kukimbia joto la pep sio kwamba kakosa pesa ,mbinu Hana ,....
Kama Klopp ana mbinu ,atafute club yenye pesa wampe then tumuone " he is running out of energy,mbinu zimeisha mbele ya pep " .......
Am dropping the mike ....
Team la zamani huko hata yesu hajazaliwa,mnakuja kutamba mbele ya watoto WA mjini city boys ,kitawalamba ..
Acha nye nye nye nye nye....Kama timu yako haitumii pesa mungeweza kununua
VVD -85million
Allison- 75 million moste expensive goalkeeper
Nunez mmetoa -100million
Jota ,gapko ,Diaz ,....Hao wote mmetoa kuanzia 50million + ....
Hakuna club inayoendeshwa Kwa fanbase ,hizo gate collection haziwezi nunua hata wachezaji wawili WA Liverpool..
Saizi Ni modern football,kama mnaendelea kuishi maisha ya miaka 90 ndio maana mpaka sasa mna 1PL ,,,yaani toka 1992 mmekuja kuchukua pl mwaka 2020 [emoji23]....
Zunguka mtaani kama utapata shabiki WA Liverpool,hii Ni timu ya zamani before Jesus Christ , ndio maana makombe yenu mengi Ni ya miaka 1880 ,means hata wewe utakuwa Babu WA miaka 80+ unless otherwise nambie Ni Kwa nin umeanza kushanikia Liverpool team ambayo Ni mid table team toka 1996 nazaliwa mpaka 2020 mnachukua PL ndio maana mnamashabiki ulaya Tena wazee ,hauwezi Kuta mashabiki WA Liverpool hii Africa kama unabisha leta stats ....it's either Arsenal ,cheslea ,man U au city ,, Liverpool utakutana na wazee huko kwenye kahawa na penyewe haifuatilii Tena maana ishakufa kitambo ,Klopp ndio kaifufua ...
Hio man utd unayosema imekuwa ikipigana kuleta waarabu ,this is modern football more investment,sio mpira WA Giza WA miaka 1700 huko mlizokuwa mnashinda mataji Bila FFP,Goal line technology,VAR ,social media to expose robbed team ...
Liverpool yenyewe inatamani waarabu ,kama huamin subiri Klopp anaondoka na Salah anaondoka ,you aree going to be stock city bro I promise ....
Kama unafikili mpira Ni oyaaa oyaaa za mashabiki ,sijui fanbase keep watching...
Hio Arsenal yenyewe wameinvest heavy ..
United wanatumia billion of money kuzidi hata city ..
Nyie Liverpool mnaificha kwenye kivuli ati hamtumi pesa what fu***K mnanunua hadi wachezaji WA 100m mnasema hamtumii pesa ...
Nikiisema utaje kikosi cha city chote na pesa iliyotumika kununua Hao wachezaji my friend utaumbuka bure ndio maana hata PL hawajui la kufanya mpaka sasa ,ndio maana Everton , Nottingham Forest waliadhibiwa mapema kabisa ushahidi ulimwagika wakapunguzwa point ila Kwa city ,mpaka sasa hawajui kosa liko wapi hesabu kwenye vitabu zote ziko sawa ila haters kama huyu boya huku jf analopoka kama Kakalia dushe tumebreach FFP ,kama pL wanajiamin wangeshatoa adhabu mapema kama walivotoa Kwa Everton ndani ya siku 5 tu .....
Ake ,akanji ,Dias ,stone ,Haaland ,doku ,ederson ,bernado Silva, Foden ...Hao wote Hakuna aliyenunuliwa Kwa 70m Ni 65m kwenda chini .....very average player kabisa [emoji23] hapo ukitoa Haaland wengine wote Ni WA kawaida ...pep system inawabeba ...but MTU unakuta anasema city anatumia pesa .....
Real Madrid ambayo ndio club kubwa Dunia inatumia pesa kuzid team zote ,lakin Hakuna anayesema oil money ,wako wanaweka 250m kumchukua mbappe Hakuna anayesema ,lakin ingekuwa city ungesikia oil money [emoji23]...
Nyie endeleeni kuishi maisha ya 1800 huko ambapo team zilikuwa haitumii pesa muone kama hamjashuka daraja ,kuwa masikin sio sifa [emoji23],yaani kusema wewe hutumii pesa sio sifa Mzee amka ,top tema zote zinatumia pesa Tena kubwa Sana .,..
Huyo Klopp kaamua kukimbia joto la pep sio kwamba kakosa pesa ,mbinu Hana ,....
Kama Klopp ana mbinu ,atafute club yenye pesa wampe then tumuone " he is running out of energy,mbinu zimeisha mbele ya pep " .......
Am dropping the mike ....
Team la zamani huko hata yesu hajazaliwa,mnakuja kutamba mbele ya watoto WA mjini city boys ,kitawalamba ..
maneno na tambo kama hizo walikuja nazo barcelona ila wanajua kichowakutaBREAKING NEWS: Erling Haaland sends warning to Liverpool ahead of Sunday’s clash [emoji3544] [emoji2955]
'Scoring goals against Premier League Clubs is nothing to me. Imagine scoring hattrick against Liverpool when we play Sunday; that's when they'll realize they're average teams.' Man City Star Erling Haaland gives his thoughts on Liverpool's title challenge against Manchester City.
kwani unaumia kutoka wapi mdau mafanikio ya liverpool yanakuumiza?Kama timu yako haitumii pesa mungeweza kununua
VVD -85million
Allison- 75 million moste expensive goalkeeper
Nunez mmetoa -100million
Jota ,gapko ,Diaz ,....Hao wote mmetoa kuanzia 50million + ....
Hakuna club inayoendeshwa Kwa fanbase ,hizo gate collection haziwezi nunua hata wachezaji wawili WA Liverpool..
Saizi Ni modern football,kama mnaendelea kuishi maisha ya miaka 90 ndio maana mpaka sasa mna 1PL ,,,yaani toka 1992 mmekuja kuchukua pl mwaka 2020 [emoji23]....
Zunguka mtaani kama utapata shabiki WA Liverpool,hii Ni timu ya zamani before Jesus Christ , ndio maana makombe yenu mengi Ni ya miaka 1880 ,means hata wewe utakuwa Babu WA miaka 80+ unless otherwise nambie Ni Kwa nin umeanza kushanikia Liverpool team ambayo Ni mid table team toka 1996 nazaliwa mpaka 2020 mnachukua PL ndio maana mnamashabiki ulaya Tena wazee ,hauwezi Kuta mashabiki WA Liverpool hii Africa kama unabisha leta stats ....it's either Arsenal ,cheslea ,man U au city ,, Liverpool utakutana na wazee huko kwenye kahawa na penyewe haifuatilii Tena maana ishakufa kitambo ,Klopp ndio kaifufua ...
Hio man utd unayosema imekuwa ikipigana kuleta waarabu ,this is modern football more investment,sio mpira WA Giza WA miaka 1700 huko mlizokuwa mnashinda mataji Bila FFP,Goal line technology,VAR ,social media to expose robbed team ...
Liverpool yenyewe inatamani waarabu ,kama huamin subiri Klopp anaondoka na Salah anaondoka ,you aree going to be stock city bro I promise ....
Kama unafikili mpira Ni oyaaa oyaaa za mashabiki ,sijui fanbase keep watching...
Hio Arsenal yenyewe wameinvest heavy ..
United wanatumia billion of money kuzidi hata city ..
Nyie Liverpool mnaificha kwenye kivuli ati hamtumi pesa what fu***K mnanunua hadi wachezaji WA 100m mnasema hamtumii pesa ...
Nikiisema utaje kikosi cha city chote na pesa iliyotumika kununua Hao wachezaji my friend utaumbuka bure ndio maana hata PL hawajui la kufanya mpaka sasa ,ndio maana Everton , Nottingham Forest waliadhibiwa mapema kabisa ushahidi ulimwagika wakapunguzwa point ila Kwa city ,mpaka sasa hawajui kosa liko wapi hesabu kwenye vitabu zote ziko sawa ila haters kama huyu boya huku jf analopoka kama Kakalia dushe tumebreach FFP ,kama pL wanajiamin wangeshatoa adhabu mapema kama walivotoa Kwa Everton ndani ya siku 5 tu .....
Ake ,akanji ,Dias ,stone ,Haaland ,doku ,ederson ,bernado Silva, Foden ...Hao wote Hakuna aliyenunuliwa Kwa 70m Ni 65m kwenda chini .....very average player kabisa [emoji23] hapo ukitoa Haaland wengine wote Ni WA kawaida ...pep system inawabeba ...but MTU unakuta anasema city anatumia pesa .....
Real Madrid ambayo ndio club kubwa Dunia inatumia pesa kuzid team zote ,lakin Hakuna anayesema oil money ,wako wanaweka 250m kumchukua mbappe Hakuna anayesema ,lakin ingekuwa city ungesikia oil money [emoji23]...
Nyie endeleeni kuishi maisha ya 1800 huko ambapo team zilikuwa haitumii pesa muone kama hamjashuka daraja ,kuwa masikin sio sifa [emoji23],yaani kusema wewe hutumii pesa sio sifa Mzee amka ,top tema zote zinatumia pesa Tena kubwa Sana .,..
Huyo Klopp kaamua kukimbia joto la pep sio kwamba kakosa pesa ,mbinu Hana ,....
Kama Klopp ana mbinu ,atafute club yenye pesa wampe then tumuone " he is running out of energy,mbinu zimeisha mbele ya pep " .......
Am dropping the mike ....
Team la zamani huko hata yesu hajazaliwa,mnakuja kutamba mbele ya watoto WA mjini city boys ,kitawalamba ..
Najaribu kumuonesha Huyo mzee anayesema city inanunua mafanikio ....kwani unaumia kutoka wapi mdau mafanikio ya liverpool yanakuumiza?
Bring him back ASAPMichael Edwards would be expected to head the recruitment and analytics departments. He would lead the appointments of any new sporting director and Liverpool’s manager, with Xabi Alonso the front-runner to succeed Klopp. [@AHunterGuardian]
This will be massive. Naona kama FSG wakiweza kumshawishi Michael Edwards kurudi na kama hii tetesi ya Klopp kufikiria kubaki ikawa kweli basi kurudi kwa ME kunaweza kumshawishi zaidi Klopp.BREAKING NEWS: coming live from Fabrizio Romano, " I have an amazing team (smiles) honestly this team has made to start having a rethink about the future whenever I watch them play i feel like its not yet time to leave". Jürgen Klopp has hinted that he may rethink his decision to leave Liverpool, after an "inspiring" team performance against Sparta Prague. The Reds boss had been expected to leave Anfield at the end of the season, but he may now be tempted to stay on after seeing his team's potential. Klopp praised his players for their "total commitment" and said that they had "proved that they can compete" with the best teams in Europe. This could be a huge. Jürgen Klopp Hints at U-Turn on Future After 'Inspiring' Liverpool Team Performance - 'We've Proved We Can Compete".
This news has gotten the Liverpool fans delighted. Klopp please stay we need you❤️🙀🙀
FULL STORY:
BREAKING NEWS: coming live from Fabrizio Romano, ” I have an amazing team (smiles) honestly this team has made to start having a rethink about the future whenever I watch them play i feel like its not yet time to leave”. Jürgen Klopp has hinted that
Jurgen Klopp remains steadfast in his belief that Darwin Nunez's promising journey with Liverpool is far from reaching its peak.The striker showcased his prowess by netting a brace to propel the Reds to a resounding 5-1 victory over Sparta Prague, afootballwave.com.ng
Huna hoja Wewe unaleta utoto na viroja tu Man up young ManNajaribu kumuonesha Huyo mzee anayesema city inanunua mafanikio ....
Kama Liverpool hainunui mafanikio kwanin inanunua wachezaji,kwanin wanalipa mishahara wachezaji ....
Siku ambayo itakuwa inachukua wachezaji bure na kuwachezesha Bila kuwalipa ndio nitakubali kuwa hainunui mafanikio ...
Team inaingia sokoni kununua mchezaji na 100million bado wanasema hawatumii pesa what f***K going on ....
SkySports wanasema hii issue itakuwa confirmed next week.Liverpool are now close to complete agreement to bring Michael Edwards back to the club. It’s IMMINENT, with the club now very confident.
Richard Hughes is ready to accept offer and join Edwards as part of new Liverpool structure.
[@FabrizioRomano]
🤣 🤣 🤣 Karata dume I like that... Huyu dogo ni fearless hana uoga hata kiduchu na hili limempa platform ya kucheza hizi levo...Kila tukikutana na City huwa nina hofu kidogo
Lakini kwa mechi hii wala hata sina chembe ya hofu
Karata dume inayonipa ujasiri ni Bradley
Citizens waje tu