Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


I was very close to ready Klopp’s mind.

Injury ya Konate [emoji777]

Gomez ameanza LB[emoji777]
Klopp naona atamtumia Gomez kuingia ndani kwenye kiungo ili kumruhusu Endo atembee na Rodri ( jamaa ndiye link ya City) ku close gap hilo. Gomez as an Inverted LB. Klopp kawa impressed sana na Gomez na majority tunaweza kukubaliana nae he is in a good form.

Nilitoa option mbili ya Elliot or Gakpo. Klopp kaanza na Elliot (he is good, quick and has right decision).

Bradley atacheza RHS pure unlike akiwa Trent anaingia ndani wakati wa kushambulia.

Salah ameachwa as precaution nadhani kwa sababu mbili
1./ hajawa 100% fit kucheza mikiki mikiki.
2./ international break hiyo hapo, na Klopp amerisk ili asiitwe NT.

A well balanced team though.
Tactical subs without enforcement of cards injuries or/and bad performance.

Bradley for Robbo
Salah for Szobo
Gakpo for Diaz

Wengine itategemea na matokeo na performance ya City pia.

Best of luck to the boys no injury concern anymore God forbid.

Liverpool win/draw.

YNWA
 
Tunashinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…