Saint Anne hatakuwa kajipiga ban kweli?Kukulism niaje ππ€£
View attachment 2961188
hahaha Saint Anne na Manyanza bado Wana muamini crop cultivation ππ€£Saint Anne hatakuwa kajipiga ban kweli?
Hua nafarijika sana kuona wachezaji wakichagua Liverpool kubaki na kuhamia. Hii yote ni kwa sababu ya Klopp mojo.Kitu kimoja kikubwa alichokifanya Klopp kwa Liverpool ni kugeuza ile mentality ya ma yankees na wachezaji kuwa liverpool is no longer a selling club kama ilivokua zamani
Ilikua mpaka Arsenal eti wanatutishia nyau kutuchukulia our top players
Away vs WesthamHii GD na Arsenal inatakiwa ianze kupunguzwa kuanzia leo. Jamaa katuzid goal 9. Easy leo tukipunguza hata 2 au tatu.
Kipara is bad news... Klopp angekua na nusu ya moyo wa Kipara alivyo kauzu walahi ubingwa EPL ni zaid ya mara 3 hivi lakin Klopp anatanguliza utu sana, hana kuweka utu pembeni kwa mafanikio makubwa ya klabu.. Pep yeye anakuchana laivu bila kupepesa maneno utasikia Grealish hana kiwango cha kuingia 1st eleven ama fulani kwa sasa apambane huko mazoezini kwanza ndio atapata namba yaan yupo brutal mno n his methods delivers ndio maana anatuburuzaaaa.Naona uko sahihi.
Klopp kapambana kinoma ingawa kuna vitu alikuwa anazingua. Ukichanganya na kuwa kuna Kipara kwenye ligi, ambae ni vigumu kupamba naye kama hauko vizuri kila idara, amejitahidi sana.
Kipara ameonyesha ulimwengu kuwa yuko vizuri kimbinu na akiwa na timu bora zenye pesa ndiyo kabisaa hashikwwa na hili amefanya kila nchi aliyopitia. Apewe maua yake, na waliojituma kwa kila namna wawezayo kukabiliana nae, nao wapongezwe (baba ubaya, klopp, Arteta a.k.a mpokea kijiti cha Pep, na wengine)
Wale ambao wanamjua Gerrard ni kocha lakini hawajui kama amewahi kuichezea Liverpool πππ
Mzee usipende ligi sana kwenye kila jambo ukizingatia hii ni open forum kila mtu anamaoni tofauti, Vingine utakuwa unajichosha unaacha vinapita.Ngoja niangalie kuhusu mjadala mmoja wa kitoto sana wa wale wanaosema angekuepo Jota tungemfunga Manure.
Kuna hii michezo 4 yote Jota amecheza ambayo 3 kati yao Jota ameanza na mmoja amecheza kwa dakika 45 za kipindi kizima cha pili.
Kwanini hatukushinda kama kweli mechi akicheza Jota lazima tushinde?
Ilikuwaje tukafungwa michezo miwili kati ya minne?
Kwanini iwe ajabu kwa Manure tu na kuleta habari za kufikirika kwamba akicheza Jota ushindi lazima?
Vijana fuatilieni mpira kwa umakini mutajifunza mengi baadae kwasababu mpira si one man show ni team work.
Game ikishakataa Jota pekee hana uwezo wa kubadilisha chochote kama tunavyoona hapo Arsenal alitupia mikwaju 3 ya maana huku yeye akiwa anarukaruka tu kama senene. π
View attachment 2962847
View attachment 2962848
View attachment 2962849
View attachment 2962850
Kuna wafungaji halafu kuna Isak ukimuacha one against one ni killerNunez ni mchezaji ghali wa muda wote liverpool , Benifica walipiga β¬100 kwa liverpoolView attachment 2962214
Anapenda ligi sana mwamba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzee usipende ligi sana kwenye kila jambo ukizingatia hii ni open forum kila mtu anamaoni tofauti, Vingine utakuwa unajichosha unaacha vinapita.
Ukimtoa salah hakuna best finisher zaid ya jota, tena ata salah anamzid jota sababu ya kutopata majeruhi mara kwa mara,apo ndo watu wanataman jota awepo uwanjan kwa mechi ambayo tulitengeneza nafasi za kufunga zaid ya tisa..NB elewa neno BEST FINISHERNgoja niangalie kuhusu mjadala mmoja wa kitoto sana wa wale wanaosema angekuepo Jota tungemfunga Manure.
Kuna hii michezo 4 yote Jota amecheza ambayo 3 kati yao Jota ameanza na mmoja amecheza kwa dakika 45 za kipindi kizima cha pili.
Kwanini hatukushinda kama kweli mechi akicheza Jota lazima tushinde?
Ilikuwaje tukafungwa michezo miwili kati ya minne?
Kwanini iwe ajabu kwa Manure tu na kuleta habari za kufikirika kwamba akicheza Jota ushindi lazima?
Vijana fuatilieni mpira kwa umakini mutajifunza mengi baadae kwasababu mpira si one man show ni team work.
Game ikishakataa Jota pekee hana uwezo wa kubadilisha chochote kama tunavyoona hapo Arsenal alitupia mikwaju 3 ya maana huku yeye akiwa anarukaruka tu kama senene. π
View attachment 2962847
View attachment 2962848
View attachment 2962849
View attachment 2962850
Huyo jamaa ndio anatakaga mawazo yako yasikilizwe hahahaaaaaUkimtoa salah hakuna best finisher zaid ya jota, tena ata salah anamzid jota sababu ya kutopata majeruhi mara kwa mara,apo ndo watu wanataman jota awepo uwanjan kwa mechi ambayo tulitengeneza nafasi za kufunga zaid ya tisa..NB elewa neno BEST FINISHER
Mzee usipende ligi sana kwenye kila jambo ukizingatia hii ni open forum kila mtu anamaoni tofauti, Vingine utakuwa unajichosha unaacha vinapita.
Ukimtoa salah hakuna best finisher zaid ya jota, tena ata salah anamzid jota sababu ya kutopata majeruhi mara kwa mara,apo ndo watu wanataman jota awepo uwanjan kwa mechi ambayo tulitengeneza nafasi za kufunga zaid ya tisa..NB elewa neno BEST FINISHER
Haya endeleza ligi Afsa.Sio kwamba napenda ligi ila makataa myth wakati based facts zipo.
Huwezi tu kuniletea myth za kuwa angekuwepo fulani tungeshinda wakati alikuwepo tukafungwa halafu niwe yes boss.