Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Aseno walikua wanatucheka mabandani
😄😀😄😀

Zamu ya city kulia nae inakuja 😀😄😀
 
Kumbe kilope ameamua kuikimbia EPL mana amechoka kuumizwa na Pep 😂 tangu amekimbizwa mchakamchaka game 10 Kwa tofauti ya pointi moja tuu kilope hana hamu na Pep na Man City yake 😂

Na sasa mambo yamejirudia tena 😂 n mwendo wa kukimbizwa na vipoint vyenu viwili mpaka City atakapochukua ubingwa, yani Pep ameamua kuharibu harusi ya kustaafu ya kilope 😂
 
  • 2013/14 Crystal Palace walizizika ndoto zetu za kubeba Ubingwa.
    • Kombe alibeba Man City.
  • 2023/24 Crystal wanazizika tena ndoto zetu za kubeba Ubingwa.
    • Ni miaka 10 imepita, Je kombe atabeba tena City? Mimi kura yangu ipo kwa Arsenal.
2013/14 sio kweli kuwa Crystal palace walizizika ndoto za kuwa bingwa Bali ni Chelsea Tena ile blunder ya Gerrard ya back pass ya Demba Ba hata Crystal palace angefungwa ubingwa ungeenda City tu
 
Liverpool mmejua kutuumiza

Ila angalau naye arsenal tuliyetegemea atupe Furaha naye ndiyo hivyo .
 
Hatuna timu mtani[emoji1783][emoji1783]...Guardiola amefanya makocha wengine wte waonekane ni vilaza....sina hamu hata ya kubishana na kina Flano...wacha nikae kimya leo tutakanwe weeee...wakishachoka watanyamaza...
Hahahaha na Pep bado yupo yupo sana, dirisha la usajili anaongeza nondo nyingine.

Liver kocha mpya kujipanga upya, Asernal kikosi kidogo wachezaji wake wanaenda wakichoka baada ya kukimbiza ubingwa mfululizo.

Man u & Chelsea kuendelea kuwa kituko
 
We are losers

Cha ajabu utashangaa mwisho wa msimu tunafanya paredi ya kushangilia carabao huku tukijisifu kuwa paredi yetu imekua bora kuliko paredi ya treble ya Man city

Hii losing mentality tuliifuga tangu tulipofanya paredi 2022 soon tuu baada ya kupoteza CL kizembe
 
Hatuna timu mtani🤠🤠...Guardiola amefanya makocha wengine wte waonekane ni vilaza....sina hamu hata ya kubishana na kina Flano...wacha nikae kimya leo tutakanwe weeee...wakishachoka watanyamaza...
Baada ya sisi kushindwa nimeamua kuwatakia baraka
Kumbe hamzitaki.
Akichukua kipara naacha kuangalia EPL
Haina mvuto tena.

Ni kama uchaguzi wa Tz usivyo na mvuto,ishibde CCM kila siku.
 
Nilidhani siwapendi mtani...nimekuja kugundua kumbe nawapenda Livakuku🤠🤠...maneno ya shombo yte nayaacha kuanzia Sasa...Villa wqmetufedhehesha sana
Baada ya sisi kushindwa nimeamua kuwatakia baraka
Kumbe hamzitaki.
Akichukua kipara naacha kuangalia EPL
Haina mvuto tena.

Ni kama uchaguzi wa Tz usivyo na mvuto,ishibde CCM kila siku.
ekuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…