Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
Too much kosa kosa kwa Nunez, Salah, Gapko, Jota, Diaz yaani aidha wanaacha shooting boots nyumbani ama wamechoka tu na hii ni tatizo.Kwahiyo Nunez hafundishiki tena!ama unamaanisha nini?
Mbele kipara? Ligi ishaisha brother, just wapresent tuu kombe kwa City
Sisi tujipange kwa msimu ujao with new manager with new vision
Aondoe matakataka ya klop yasiyojua kuua msimu vizuri kila mara
Yanachojua ni kutupa hopes tuu then dakika za mwisho yanatuumiza
Niliposema haya maneno baada ya kupoteza mchezo wa leo watu walinicheka lakini mimi nasimamia haya maneno mpaka game ya mwisho ya 38.
Huu msimu tunabeba Kombe la EPL naendelea kusisitiza.
Saint Anne bado unawasiwasi na Ubingwa?
ilitakiwa ikuume mechi ya Chelsea ya 2-0 sio ya palace, uache kuumia mechi ya Chelsea uumie ya palace kweli? wakati timu ilikuwa ishaloose hopeIlikua karibu mno kubeba ule ubingwa.
naona mipasho mingi na Maneno ya kihuniUnajua maana ya kuzika? Au umekuja kucomment tu hapa?
Hebu rudi kijijini kwenu wakakufundishe kati ya kufa na kuzika kipi kinakuja mwanzo then utapata majibu nani aliyeuwa ndoto za Ubingwa kati ya Chelsea na Crystal Palace na nani aliyekuja kuzika ndoto za Ubingwa kati ya Chelsea na Crystal Palace.
Uchukue kombe lipi?Tunachukua mwaka huu
Imani yangu ipo hivyo bado
YNWA[emoji91][emoji91][emoji91]
Huwezi amini unamaliza ligi na carabao TU ππππ
Uchukue kombe lipi?
Wakati FA jana imewapa City Advance ya pesa ushindi wa Kombe.
Nunez si tumpe muda tuToo much kosa kosa kwa Nunez, Salah, Gapko, Jota, Diaz yaani aidha wanaacha shooting boots nyumbani ama wamechoka tu na hii ni tatizo.
YNWA
Nimejibu kwa muktadha wa maoni ya mdau juu ya Crystal palace.ilitakiwa ikuume mechi ya Chelsea ya 2-0 sio ya palace, uache kuumia mechi ya Chelsea uumie ya palace kweli? wakati timu ilikuwa ishaloose hope
Tunachukua mwaka huu
Imani yangu ipo hivyo bado
YNWAπ₯π₯π₯
Huwezi amini unamaliza ligi na carabao TU ππππ
Mm sina ubingwa msimu huu, nilishautema kitambo ,,, hujambo lakini mwanadada ?Wewe ubingwa wako unausikilizia wapi?
Unatusimanga wakati hata Koroboi cup hunaπMm sina ubingwa msimu huu, nilishautema kitambo ,,, hujambo lakini mwanadada ?
Unaanza maombi kama ya Malafyale sasa π,#PamojaTunashindaEPL2024
Hahahaha Mkuu CITY wameshapewa advance ya Kombe EPL 2024.#PamojaTunashindaEPL2024