arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,166
- 4,005
Uzeni hyu fala anakula hela ya bure....mchezaji gani mechi moja anacheza then wiki Tano yupo wodiniBREAKING: Jurgen Klopp confirms Diogo Jota is out for two weeks with an injury he picked up against Fulham [emoji777]
TumepigwaYani mpaka sasahivi hakuna anayeweza kutoa facts za kueleweka kuhusu overrated Amorim.
Huyu Kocha kama anakuja aje tu atengeneze career yake hapa Liverpool lakini sio kumpa hype kupita kiasi.
Iwapo atakuwa supported kifedha na akapatiwa Wachezaji wanaoendana na Mfumo wake basi akiwa makini atafanikiwa ndani ya Liverpool.
Lakini kwasasa hana mafanikio na ubora wowote anaosifiwa nao.
Kastaafu mpira 2018?Nk nk
YNWA
Kama anajua, anajua tu. Acha aje.Kastaafu mpira 2018?
Na tayari ni kocha na Liverpool tunamchukua kuwa kocha Mkuu [emoji15]
Mbona bado hana uzoefu wa kutosha?
Sawa na Gerrard tu mliyesema bado ni kinda kushika timu kubwa kama Liverpool.
Haya ngoja tuone..
Lolote baya liwakute leo Hawa ndugu zetu....hakunaga urafiki wa kusindikizana kwny mafanikioKampeni yetu ni ile ile.
Sisi tumefanya yetu jana (wale kenge sijui walikuwa wanatuchukuliaje? Walidhani tumesahau kupiga mikono au?).
Leo na nyie mfanye yenu. Wote tukigawa dozi kwa maboya mpaka msimu uishe sisi tutakuwa mabingwa na nyie mtakuwa makamu bingwa. Tukiteleza sisi, nyie mnabeba.
Mbele kwa mbele. Kono la nyani FC aka wababe wa ligi, wakisindikizwa na Livakuku kumletea Kipara angalau kaushindani.
Failure wa aston villaGerrard apewe hii timu haraka sana
Adidas is home
Tunawahitaji hawa kuku boss. Na wao wanatuhitaji. Bila hivyo, Kipara na 115 FC yake atatusumbua mpaka atakapostaafu. Labda huyo kocha mpya wa kuku aje kufanya maajabu.Lolote baya liwakute leo Hawa ndugu zetu....hakunaga urafiki wa kusindikizana kwny mafanikio
Hakuna cha kama anajua anajua tuKama anajua, anajua tu. Acha aje.
Kwani si anaanza na kukua na timu taratibu? Anakuta timu nzuri tayari hivyo hachukui hata miaka miwili. Wenzake wamekuta timu ziko hovyo zaidi na wametumia miaka mpaka minne kuzifikisha level za ushindani mzuri.Hakuna cha kama anajua anajua tu
Na uzoefu pia unamata
View attachment 2972156
Wataalam King Ngwaba, The MoNA, Captain Marvelous munaweza kutupatia ufafanuzi kidogo hapa
Tumepigwa
Huyu kocha wa maporini tumepigwa
Heri hata angekuja Tuchel
Tuchel ninfaded copy ya maurinyo, na ni one season wonderHapo Kocha ni Tuchel na Emery tu
Hao wengine wote ni Ramli tu kama Ramli nyengine.
Mnamkwepa sana Thiago - mjaza choo maarufuHuyu nayeye anaenda kuwa New Version ya Keita na Matip.
Game 1 uwanjani, 5 nje.
Kwani wamemuokota wapi huyu jamaa?
Tuchel ni bonge la kocha yuleTuchel ninfaded copy ya maurinyo, na ni one season wonder
We don’t need hizo toxins kabisa