Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Commentetor anasema that is real poor defending.

Fabinho alikuwa anaficha madhaifu mengi sana na difence yetu.
 
Rasmi tumetoa kwenye mbio, amebaki AssAnal na sisi friends of Man City
 
Nawaombea mfunge ht goli moja ili ionekane mmebakwa ila kwa mbinde Sana ๐Ÿ˜‚
 
Friends of West Ham tupo kwenye mazoezi ya kumaliza kazi ya Livernyeto ๐Ÿ˜‚
 
Hii team ikifungwa washabiki wake wanapandisha kisukari cha kingereza ๐Ÿ˜‡๐Ÿ˜‡๐Ÿ˜‡,sukari yao ikipanda wahudumu wa afya wawe makini kusiliza ni mwendo wa yai tu
 
Nitajisikia vibaya sana kama Livernyeto wasipofunga goli hata moja, mana bila hvy watasema wamebakwa ila kwa mbinde sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ