Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]klop alikua sahihi kuondoka!
hawa kina Edwards ndio tulikua tunawasifia[emoji23][emoji23][emoji23]
Last week walianza offensive chants...Ila wazungu bhana, unaikataa Liverpool ili ubaki Sociedad๐ณ๐ณ
Waliweka sell on clause ama?๐๐๐
Aisee kweli hata Solanke kasajiliwa Spurs kutokea Bournemouth Nasikia watavuta paund 9 million
Pale epl hamna timu yenye wamiliki wabahili kama liverpoolPale Barca kuna De Jong na wanataka wamuuze kwa sababu ya mshahaara mkubwa
Liverpool yangu huwa inaniumiza sana kwa hilo la kubania hela, peleka hela pale Barca, una kocha wa kiholanzi na wachezaji wa kiholanzi wamejazana tumia hiyo kama fursa ya ushawishi?
Mbona wanacheza vema tu chemistry ipo poa?? Kila mtu yuko tayari kwa arne slot eraHivi hii timu ipo serious kweli na ligi msimu ujao
Hakuna kitu palePale Barca kuna De Jong na wanataka wamuuze kwa sababu ya mshahaara mkubwa
Liverpool yangu huwa inaniumiza sana kwa hilo la kubania hela, peleka hela pale Barca, una kocha wa kiholanzi na wachezaji wa kiholanzi wamejazana tumia hiyo kama fursa ya ushawishi?
De jong mbele ya Szobo au Macca? Tuache utani hana quality hiyo kwa sasaHakuna kitu pale
Bora hatq Henderson
De jong?๐๐๐๐
Aliwakatalia Arsenal na Man U, Liverpool walipoonekana kumhitaji, Sociedad wakaweka ka ugumu kwa Zubi wakamfunga atoe pesa ya kutrigger his buy out clause ambayo ni 51m. Hii pesa anatoa na atarejeshewa na timu. Sasa hii buy out clause maana yake mchezaji ndio umeamua kuachana na klabu kiasi cha kujilipia pesa ya uhamisho hii inapelekea kuchukiwa na klabu husika kwamba sisi Club tulimuhitaji ila yeye ametukataa. Liverpool wapo tayari ku trigger release clause ila ishu imebaki kwa Zubi kujivunjisha yeye.Waliweka sell on clause ama?
Boya kabisaDe jong mbele ya Szobo au Macca? Tuache utani hana quality hiyo kwa sasa
๐๐๐ ila tuache utani Henderson sikuwahi kumuelewa hata siku mojaHakuna kitu pale
Bora hatq Henderson
De jong?๐๐๐๐
Hapana jamaa yangu tujipange kuwa wa tatuHivi hii timu ipo serious kweli na ligi msimu ujao
huu utakuwa ni utani
Mashabiki wa Liverpool walioko Uingereza ndio wanatuangusha
Boya lile๐๐๐ ila tuache utani Henderson sikuwahi kumuelewa hata siku moja