Huyu mzee wamiliki na mashabiki wakiwa serous sana hafiki Disemba, kama Klop alimamiza msimu kwa kikosi tiamaji tiamaji...Sasa yeye anarithi kikosi na hataki kukifanyia maboresho..anangoja hadi mwakani aanze na kikosi chote cha kwanza baada ya kila nafasi kuhitaji kiraka.[emoji599][emoji837] Arne Slot on Zubimendi not joining Liverpool: “I believe our squad is really strong and it’s not easy to find players who can strengthen us”.
“Zubimendi was one, yes… but unfortunately he decided not to come and we move on”.
Sent from my 23129RAA4G using JamiiForums mobile app
Tangu tuchukue Uefa na EPL na ma Yank wetu wakashadhani Klopp pekee anatosha kuamsha aluta continua kwenye kuchukua ma kombe ndio nilijua tuna ma bosi wasioelewa namna ya kukubatia fursa pindi inavyojitokeza aisee...Mwazimeni tajiri wa Chelsea kwa muda awatolee mpunga make wataalam wenu wana macho ya kuona wachezaji...tajiri wenu anaishi maisha ya kimasikini sana kwenye kuleta burudani.
Kazi ipo kikosi gani anasema kwamba kipo imara ni ngumu sana kukiboresha... Kitendo tulimaliza ligi nafasi ya 3 ni ishara tosha kwamba tuna hali mbaya..[emoji599][emoji837] Arne Slot on Zubimendi not joining Liverpool: “I believe our squad is really strong and it’s not easy to find players who can strengthen us”.
“Zubimendi was one, yes… but unfortunately he decided not to come and we move on”.
Sent from my 23129RAA4G using JamiiForums mobile app
Unless wengine wapoteana zaidi ya yetu sioni huo Ubingwa anaongelea upi apa.
hamna kocha hapa labda labda labda lakini hamna kitu hapa[emoji599][emoji837] Arne Slot on Zubimendi not joining Liverpool: “I believe our squad is really strong and it’s not easy to find players who can strengthen us”.
“Zubimendi was one, yes… but unfortunately he decided not to come and we move on”.
Sent from my 23129RAA4G using JamiiForums mobile app
Anataka ubingwa na kikosi cha watu 15...anachekesha sana, apigwe majeruhi wawili wa Left na Right backs then apigwe tena majeruhi ya kiungo kimoja...hamna kocha hapa labda labda labda lakini hamna kitu hapa
Klopp angekuwa ndio kocha wala jamaa asingewaza mara mbili, ila akiwaza CV ya kocha aliyepo anaona bora asikilizie kwanza
Kocha aliyepo hata Salah na Diaz sina hakika kama wana imani nae
Slot is a very good technical coach very tactical one.
He have my faith (80%).!!! He will still make us up there. Wengi wanaona ni mwisho wa Liverpool baada ya Klopp but but but, hey kops stay tune good things are ahead.
Uzuri wa mashabiki ni kama kinyonga, they will U-Turn, wataanza ngojera na mapambio Slotball to the sky, huyu ndiye tulikuwa tunamsubiri sasa.
Najuwa badly need to sign top no. 6 over any position, but what if his tactical will solve the problem???
Up Reds
Pia ninaimani tele na slot asee
Atatupa plan b katika game tuliyokuwa tunaikosa kwa klop
Klop ilikuwa ukiwakaba trent na robo tu,basi umemuweza
Na pia akicheza na team zinazopaki basi
Game vs brenford kila msimu walikuwa wanatumia style moja kutufunga
Slot anaongeza kitu katika uchezaji,maana hatofautiani sana na aina ya mpira wa klop hasa ile intensity football
Slot kuna muda anapenda team ikae na mpira zaidi,possesion football
Even katika kukaba,rest defence yake wakati anashambulia inakuwa ipo vzuri sana na ivyo kupunguza threat ya counter attack
Ni muda tu utakao amua japo ameonyesha aina ya soka analotaka kucheza katika mechi kadhaa za pre season,so ni wachezaji kuzizoea mbinu zake
It’s too earlySlot is a very good technical coach very tactical one.
He have my faith (80%).!!! He will still make us up there. Wengi wanaona ni mwisho wa Liverpool baada ya Klopp but but but, hey kops stay tune good things are ahead.
Uzuri wa mashabiki ni kama kinyonga, they will U-Turn, wataanza ngojera na mapambio Slotball to the sky, huyu ndiye tulikuwa tunamsubiri sasa.
Najuwa badly need to sign top no. 6 over any position, but what if his tactical will solve the problem???
Up Reds
YNWA
Tunajua vyema ni wapi penye udhaifu kutukosesha ubingwa msimu uliopita. Arsenal walikua na ukuta bora kwenye ligi lakin bado wamesajili beki kuimarisha pale nyuma na wapo mbioni kuongeza tena MF maanake no kwamba mapungufu yao wanaimarisha.Mshaanza kulalamika hata ligi haijaanza.
Hughes ni best wa Edwards ndio maana akapata hii kazi lakin pia Edwards alimkumbali tangu kitambo kwa kua baadhi ya target kadhaa waligongana na Edwards hivyo akaona jamaa ana jicho la quality players..
EPL ambayo makocha wanajifungia ndani na kukusoma hizo tactical zake haziwezi kuzidi mechi 10 kabla hawajaanza kukutoboaSlot is a very good technical coach very tactical one.
He have my faith (80%).!!! He will still make us up there. Wengi wanaona ni mwisho wa Liverpool baada ya Klopp but but but, hey kops stay tune good things are ahead.
Uzuri wa mashabiki ni kama kinyonga, they will U-Turn, wataanza ngojera na mapambio Slotball to the sky, huyu ndiye tulikuwa tunamsubiri sasa.
Najuwa badly need to sign top no. 6 over any position, but what if his tactical will solve the problem???
Up Reds
YNWA
Gravernberch na Endo wapo MkuuEPL ambayo makocha wanajifungia ndani na kukusoma hizo tactical zake haziwezi kuzidi mechi 10 kabla hawajaanza kukutoboa
Muhimu ni kutafuta DM wa maana waache ngonjera