Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,339
- 30,439
All the best kwake.🔴⚪️ Official, confirmed. Bobby Clark leaves Liverpool to join Pep Lijnders at RB Salzburg.
Fee £10m and 17.5% sell-on clause as package — as #LFC will also have right of first refusal.
Japo Nunez strong aspect hua ni kucheza lone 9 na sikumbuki kama Klopp hili alijaribu angalau kumpa hio nafasi lakini hata mfumo mwingine alikua incorporated vyema tu na nafasi za kutosha bila kufunga magoli, ni wenge mwingi sana kutaka ku prove a point, na ile price tag played a key role kwake... Sitegemei msimu huu awe kama last season maana itakua nafasi ya mwisho kwake aisee... Pazuri ni kwanba Nunez amekua sasa mchezeshaji akitoa nafasi kwa wengine..Dr. Ian Graham alikuja pale toka 2013 ndipo alianza maisha na Liverpool.
Of course yes Nunez na Bobby ni two different players in term of style of playing, calmness, composure yake na jinsi anaweza kujimiliki.
Kwa mujibu Graham ni kama kulikuwa na mvutano hivi kuna wa Nunez na Martinez ila mwisho wakaamua kwa Nunez, ni chaguo sahihi sana kama tu kulikuwa na idea ya kubadili mfumo kwa ajili ya kupata ubora wa Nunez ili kuisaidia timu. Kwa idea ya Nunez kucheza kama Bobby ni ngumu sana let Pastor Bobby be Bobby, Salah & Mane enjoyed having this dude. Kama City kutoka kwa Aguero to Halaand ilibidi tu Pep abadilike kidogo kwa ajili yake, and it paid him, kwa Nunez it was about himself not a coach issue.
Finishing mbovu ya Nunez ndio imefanya ionekane kama it was a wrong move, binafsi it was a right move, he has that quality for sure.
Ipo tangu klabuni 1882 na nembo ya jiji tangu 1200 na ikasajiliwa mwaka 1797... Wataifanyia majojo lakin itabaki ivyo ivyo...Wakuu naombeni msaada wa hili swali Sasa hivi Liverpool hii liverbid ndio nembo kuu au itabadilika naombeni kujua
Sema full nembo ndio Kali hii ya liverbird peke yake sio KaliIpo tangu klabuni 1882 na nembo ya jiji tangu 1200 na ikasajiliwa mwaka 1797... Wataifanyia majojo lakin itabaki ivyo ivyo...
YNWA
Weee jamaa huwa nakuelewa sana
We are doomed mate... Simpo as ABC ni sell, sign, retain where necessary bila kuangaliana usoni... Imagine Klopp alitaka Kieta, Matip wabakie klabuni yaani 2 injury prone dudes wanashikilia nafasi na wages za wengine wapya if necessary...
Shankly spirit is lost kwa hawa FSG maana Shankly aliamini nguzo moja tu na ambayo ni.... Wa kwanza ni wa kwanza tu wengine hamna 'kitu'... 1st is 1st second 3rd etc is nothing...
Kwa sasa FSG wanapambana na kikosi cha champions league wakisubiri muujiza wa Slot maana ku challenge Mansour oil powered machine ya Pep need a proper team sio mediocre one like ours for now....
YNWA
[emoji837][emoji836]️ Official, confirmed. Bobby Clark leaves Liverpool to join Pep Lijnders at RB Salzburg.
Fee £10m and 17.5% sell-on clause as package — as #LFC will also have right of first refusal.
Japo Nunez strong aspect hua ni kucheza lone 9 na sikumbuki kama Klopp hili alijaribu angalau kumpa hio nafasi lakini hata mfumo mwingine alikua incorporated vyema tu na nafasi za kutosha bila kufunga magoli, ni wenge mwingi sana kutaka ku prove a point, na ile price tag played a key role kwake... Sitegemei msimu huu awe kama last season maana itakua nafasi ya mwisho kwake aisee... Pazuri ni kwanba Nunez amekua sasa mchezeshaji akitoa nafasi kwa wengine..
To be fair i I'll pick Martinez any day of week kwa mfumo wetu chini ya Klopp maana he is more of a complete player kuliko Nunez... Ana vi element vya Firmino.. Ukitazama yake na Lukaku back then utaona.
YNWA
Sijafuatilia kwa Kina lakin kwa nionavyo Allison kwa miguu sio mzuri ki vile wote tuna kumbukumbu kadhaa ametuchomesha na hayo mambo ya play from the back....Wataalam nisaidieni hilo swali hapo juu nimeukuta huo mjadala Sky Sport kati ya Gary Neville na Carragher.
King Ngwaba
The MoNA
Captain Marvelous
Na Wana Liverpool wengine
Baada ya kukumbuka kutoka 2017 mpaka 2022 tumesaini MF wanne Fabby mzima na hawa watatu wagonjwa yaani Ox, Thiago na Keita nimemstuka kwamba hata hii idara ya scouting ipo overrated kabisaa maana end product ni ushindi murwa wa EPL na UCL lakini tazama tu tumeshinda 2 huku tuking'ang'ania wachezaji mizigo...Keita,
Matip
Milner
Bobby
Hawa Klopp alitaka kuendelea nao, ndio mahali FSG ety wakaingilia kati wakasema waondoke.
Mtu kama Thiago na Ox dah.!!! Sikatai kuwa FSG ni bahili ila kuna ubahili wenye tija.
Kwa mujibu wa Dr. Ian Graham tuna super Scouting na hili nakubaliana nae, ila wengi hawafunguki zaidi kwa nini deals zetu zinafeli licha ya kuwaona wachezaji wazuri kwa jicho la kiufundi.
Kwanye miundo mbinu ya klabu FSG wanafanya poa sana ila ndani ya uwanja ni kipengele sana. Na kama kuna wamiliki wenye bahati basi ni hawa FSG.
Kwa sababu ya ustaarabu ya mashabiki wa LFC timu haina pressure kubwa ila pressure wanajitafutia wenyewe.
Kuna wachezaji wazuri wengi tu wa £35m-£60m suala la kufungua pochi tu na kulegeza pochi.
This season nimechagua upande wa kutojipa pressure kubwa na matarajio makubwa.
Tumeipenda wenyewe mkuu hatuna namna aisee.Kumuweka fit Konate bench dhidi ya Quansah ni kumkosea heshima Konate
False hopers wa Nunez tunaelekea mwaka wa 3 huu bado mnaamini atabadilika
Miaka 10+ ya FSG na Epl 1 tuu sio bahati mbaya
Konate naye anatatanishaKumuweka fit Konate bench dhidi ya Quansah ni kumkosea heshima Konate
False hopers wa Nunez tunaelekea mwaka wa 3 huu bado mnaamini atabadilika
Miaka 10+ ya FSG na Epl 1 tuu sio bahati mbaya
wamemuuza Sep Berg kwenda brentford kwa 20....
hawa wanakusanya visenti vifike 50 wanunue kiungo
Sijafuatilia kwa Kina lakin kwa nionavyo Allison kwa miguu sio mzuri ki vile wote tuna kumbukumbu kadhaa ametuchomesha na hayo mambo ya play from the back....
Mpaka gemu ya kumi hivi nitaku update vyema kwamba ni mbinu zake ama ni sadfa.
YNWA