Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Naomba huo ujumbe Mkuu hata screenshot yake.
Nunez ni wa kuombewa kwa kweli kuna clear chance aliikosa sijui alidhani yuko offside?
Na camera zikaelekezwa kwa Slot na Slot alionekana kuchukia
Wachezaji wapo zaidi ya 20 ukiweka na vijama wa Academy sasa huyu Trent ananuna nini wakati hizi sub zina manufaa kwa wote. Yeye atulie tuli Slot haangalii jina anataka mfumo ueleweke na utekelezwe bila bla bla...
Henderson, Salah, Milner, Mane hawa wote wakipewa sub enzi ya Klopp ilikua muda mwingine ni aibu maana wana react kama mwisho wa dunia...
Slot mapema asome hii picha ili kuwatuliza vichwa hawa wachezaji...
Nina imani na Slot.
YNWA
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Yaani FSG na akina Gillett ni full vimeo aisee ni balaa sijui ni nuksi ipi ... Ipo hivi team ikiwa kwenye peak ndio wamiliki hua wanacheki vipaji na kuongezea nguvu wale waliopo klabuni , ukijiuliza kwa nini Barcelona, Real Madrid, Manchester City, Bayern nk hawachezi mbali na makombe ni kwa sababu wanajicho la vipaji kwa bei yoyote kusudi kuwe na continuity uwanjani.. Tulikua kwenye peak 2019 na 2020 yaani pale ilifaa FSG kuingia sokoni full throttle kusudi sasa kua kikosi kipana sana cha kutetea UCL na EPL lakini FSG walidhani miujiza ya Klopp inatosha kuleta ubingwa na mwishowe tupo hapa Klopp hoi kaona kisha nini kupata ma presha na Yankees akasepa na sasa ni Slot.
Bila uwekezaji kikosini ubingwa tutausikia kwa wengine...
Angalau naona kidogo Slot anaweza kubadili huu upepo japo sijui kama atapata huo muda. Nimeona ameanza kwa kuona kuna kesho bila Allison akichoka yafaa kuwe na mbadala wake na naona kipa wa Valencia wanasepa nae mazima dogo Giorgi Mamardashvili. Haya ndio kilio chetu kwamba mapema kuwe na like for like ili kua na kikosi cha kuleta ushindani mashindano tofauti...
Wangekua wana react mapema wale usingemuona Mjapan Liverpool [emoji3][emoji3]lakini kwa kua hua ni zima moto tegemea kuona akina Mjapan wengi wengi... I mean unauza aje injini ya timu Fabihno bila kua mbadala wake aisee...
Hao unaosema vipaji mmh dirisha nilo wameuzwa haswa tena kwa faida kubwa tu lakini kusajili ndio wanajifanya eti hakuna wachezaji wenye ubora zaidi ya tulionao yaani wanatuona kama hatuna macho...
Hivi dokta unaamini kabisa FSG wangetoa 110m+ kwa Caicedo, hii ni mbinu tu ya kibiashara kutuaminisha kwamba they tried lakin hakuna kilichowezekana[emoji1787][emoji1787]hii ni moja ya mbinu FSG hutumia sana case study Valverde wa Real Madrid, Mbappe, Caicedo, nk nk...
YNWA
Binafsi niliona baada ya kutua Klopp tulikua bora kileleni kwa kulinganisha ta ulipokua especially enzi ya Fergie yupo moto fire yaaani kwa Klopp kutua na tukawa hatuchezi mbali na ubingwa aa the feeling was good at least... Ishu tu FSG hawakujua how lucky kua na yule Kocha klabuni kwani Klopp ni Mwalimu ni brand pia yupo muliti talented..
Hawa ma cult heroes wa Klopp ilikua wanatembelea nyota ya wengine.. Ukihitaji kutaja wachezaji wenye bahati duniani lazima Henderson awe wa kwanza.
YNWA
Lastborn wa Klopp
Bebe wangu Trent
Anune apasuke
slot shikilia hapohapo
Hakuna kubembeleza mtu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kavuruge halafu kasitolewe
Slot baba kipara
We wakizingua
Weka bench
Hakuna mwenye hatimiliki ya namba
Pale lastborn wanaenda kuwa watoto wa kambo[emoji23]
Wenzie wanatikisa nyavu
Nyie bado mnamsemea kumtetea kwa kadi ya miaka na miaka
Slot Stat.... No wonder ma Yankees wanatulia tuli.
YNWA
Upo sahihi Edwards hua ana staili yake ya kusaka wachezaji lakini tutakumbaliana hio staili yake ina favour zaidi FSG kuliko sisi Mashabiki maana tuna EPL moja ndugu tangu atue Klopp, tupime ubora wake kwa makombe anayoleta klabuni na si vinginevyo ndugu, nakua na maoni tofauti kidogo nikilinganisha tulipo kwa kucheki EPL na UCL nk inanipa ugumu sana kuona kama kweli tulistahili tu kupata kombe moja epl chini ya Klopp na kwa mwendo huu wa usajili naona Slot akipita mule mule kwa Klopp aisee. Ni kweli sio kila changamoto inakua solved na usajili lakini tazama asubuhi ya leo unaamka kusoma Morton na Bajetic wapo mbioni kusepa Liverpool wakiwa angalau ndio pekee wenye vi element ya uDm ndani yao maana Edo sitegemei atupe gemu za kutosha huku Gravenberch akiwa ndio makeshift wa Slot.. May we be lucky aisee otherwise its real danger gemu zikianza kuchanganya sioni tukikwepa ya Atlanta.Hata kwa Gillette na Hinks baada ya kuwa kwenye top form na karabia kabisa kuchallange major trophies…!!!
Ndio tukaona Alonso, Mascherano, Arbeloa, wakaondoka msimu ambao tulihitaji walau 2-3 players tuingie miguu yote kuchallange, na ndipo likawa Anguko rasmi mpaka alipokuja Klopp kututoa huko shimino.!!!
Mkuu ukiangalia Edward namkubali sana toka alipokubaliwa na Klopp kuwa Sporting director, deals zake ni za muda mrefu.
Ukiangalia Origi tulimchukua tukamuacha huko whole season akaja msimu unaofuata, maana yake unawapa room wenye timu kutafuta mbadala, same kwa Keita, injury zilizima ubora wake kuonekana with LFC jersey, we waited VVD msimu mzima ili kumpata. Hizi ni deals anazozipenda Edward. Klopp alipohitaji mchezaji Edward alihusika juu chini kumleta. Wameanza na Georgi Mamardashvili good GK kwenye saves ni mzuri sana ila weakness yake ni kama ya beckor akiwa na mpira mguuni (footwork) he is young 23yrs anaweza kudevelope. Ngoja tuone mipango ya CB’s na Salah replacements.
Caicedo for 115m mhhh, sidhani kama tulikuwa willing, ila tungemsajili hopefully for installment hata ya 3 yrs. Caicedo mwenyewe aliongea kuhusu deal lile last week tu hapo. Jamaa anachosema ilikuwa ngumu kuikataa Chelsea kwenda LFC, japo alikuwa pia yupo tayari kwenda LFC.
Agent wake alicheza karata ya tamaa sana kwa Caicedo.
Ninaamini tuna Scouting Department bora zaidi barani Ulaya kwa sababu.
1.Huwezi kuwa na scouting team mbovu ukasajili wachezaji 10 na katika yao 9 wakawa successful.
2.Huwezi kuwa na scouting mbovu ukasajili wachezaji ambao bei zao ni almost nusu ya bei za soko na wakakupa kiwango zaidi ya wale walionunuliwa kwa bei kubwa.
Tuna scouting team bora sana Ulaya ndo maana tumekuwa very successful sokoni kwa zaidi ya 90%.
Tujiulize [emoji848]
1.Scouts waliomuona Robo unasemaje wabovu??
2.Scouts waliomuona Salah wanakuwaje hawajui
3.Scouts waliomuona Sobo au Macca wanakuwaje wabovu??
4.Scouts waliomsajili Tsimikas wanamuwaje wabovu?
5.Scouts waliomuona Slot over all big name coaches wanakuwaje hawajui kazi??
6.Scouts waliomwambia Klopp asubiri deal la VVD na si beki mwingine, wanakuwaje wabovu??
7.Nani alimjua Jota tunayemsifia kama aiyo hao scouts ambao hawajui??
8.Scouts hawa waliomuona Konate over all big names defenders??
9.Scouts hawa waliochungulia kipaji cha Bajcetic kule Spain akiwa ni beki wa kati akaja kubadilishwa kuwa kiungo, hawa waliomuona Elliot pale Fulham, leo ni mmoja wa wachezaji bora vijana Uingereza.
Scouts ambao so far wanaifanya Liverpool kupata quality ya kushindana kwenye ligi na timu tajiri zikiwa zimenunua kwa bei ghali lkn tumekuwa kwenye ushindani kwa miaka 10 mfululizo.
Tsimikas nae ana ubora?😳😳Slot gari lake nilipanda toka pre season ila sijui tutaishia wapi season hii nahitaji mechi 6 zijazo nitaona mwelekeo. Its early to predict but
Slotball to the Sky.
Huyu amekuja kutatua changamoto zilizomuangusha Klopp,. Ikiwemo kubembeleza wachezaji, kuwaonea aibu, na moja ambayo ni nzuri zaidi ni SPACE & TIME,.. matumizi ya muda na nafasi. No wonder hizo touches kwenye opponent box kuwa nyingi na kukamilisha pasi nyingi vs Brentford hapo ni matumizi ya NAFASI & MUDA, ambayo inatokana na kuwa na Combination plays (patterns, individual brilliance), kwa system hii unahitaji wachezaji mafundi sana hasa kwenye eneo la kiungo. No wonder why Graven anafanya vizuri kwenye hiyo role ya double pivot. Graven huyu huyu kwenye Klopp system angeshaogeshwa matusi…!!! Mambo ya Space and Time yana mbeba sana, hapo ndipo kipaji chake kilipo.
Nilisema moja ya wachezaji watakaofanya vzur under slot ni pamoja na
Graven,
Szobo,
Elliot,
Gakpo
Diaz,
Quansah,
Bradley
Wanaweza kupata game time ya kutosha
Wengine wataendeleza ubora wao tu kama tuujuavyo
Trent
Vvd
Konate
Salah
Robbo
Tsimi
Beckor
Up red YNWA
The MoNA
MosDef
Captain Marvelous
Kwanini huwa tunachelewa sana kumalizia deals na huwa tunavizia sana kwenye suala la bei? Hii mnaionaje maana nyinyi ni wafuatiliaji sana na mna sources nyingi za uhakika
Dah umenikumbusha Aquillan yule nae alipuyanga tu duh magarasa yamepita mengi sana, kipindi hicho nilikuwa naipenda Liverpool kufa kuzikanaSina jibu la uhakika ila kuna sababu kadhaa wa kadhaa kwa nini iko hivi;-
1. Utamaduni.
Tumekuwa na ka utamaduni ka kutokuwa na kikosi kikubwa chukulia tu kwa Klopp miaka yake tisa aliyokaa, tumekuwa na wachezaje wale wale baada ya kuijenga timu yake aliyoitaka.
Beckor
Trent
Vvd
Matip
Robbo
Miaka yake ya mafanikio amekuwa na hawa mpaka sasa ni mmoja tu ameondoka.
60% ya aliokuwa nao miaka 4-6 iliyopita ndio ilimalizika kuondoka msimu juzi.
Gini, Fabinho, Henderson, Milner, Ox, Keita, waka na ingizo jipya.
Hivyo tunaona pride kuwa na wachezaji wale wale for years wenye nia ya kupigania jersey ya timu.
Kwa LFC mchezaji akishaipenda timu ngumu sana asichezeshwe. All this years nafasi ya Henderson ililindwa kwa kutosajiliwa kiungo mwingine, why?? Scouser ameshakubaliwa kwenye tamaduni hapo.
Front three same Mane, Bobby and Salah ilidumu almost 5-7 years bila kuwa challanged na like to like signing, baada ya Mane kuondoka ndipo akaja Diaz na Jota na baadae Nunez kuchukua viatu vya Bobby. Bafikiri tumekua hivi miaka mingi sasa. Hata LFC ya Benitez ilikuwa hivi hivi season in season out Gerrard, Alonso, Mascerano, Kuyt, Torres, Tunachezea humo humo na atleast 15 quality players.
2.Pride
Tunapenda mchezaji mwenye nia ya dhati kabisa ya kupigania timu bila kuangalia maslahi binafsi kwanza. Ndio maana unaona hatulazimishi signings endapo mchezaji hataonesha nia yoyote ya kuichezea klabu.
3. Cash
Hapa ndipo penyewe kuna vitu vingi vinawekwa kwenye mkataba hasa vinavyohusu sell back on clause na player bonuses, hii ni negotiation ambayo unahitaji oil money au mtu kama perez ambaya hafikiri mengi zaidi ya mafanikio ya timu ndani ya uwanja kwanza.
Kwenye Era ya Gillette na Hinks
Nakumbuka Benitez alipendekeza Gareth Barry kutoka Villa aje LFC kuchukua no. ya Alonso ambaye alishaondoka klabuni, kwenda Madrid kwa £30M. Gareth angetugharimu only £10m tukaenda na msimamo wa £8m Villa wakakataa msimu uliofuata akaenda City kwa £12m. It was 2009 hili deal lilitusumbua. Baada ya kumkosa Barry tukaenda kwa Aquillani for £20m. Tukamkoaa Barry for £10m tukaenda kwa Aquillani for £20m na hakuwa chaguo sahihi. Hapo kocha akiwa Benitez.
It has been this way years labda LFC ile ya miaka 70’s 80’s and 90’s..!! Ambayo wengi hatujaishuhudia vyema.
We care alot about team pride than players, LIVERPOOL its a cult, ndio maana Kops wanamsemo its not a football club its a FAMILY.
Angalia City walibeba four EPL consecutively, lakini Klopp’s farewell ceremony ilitazamwa na watu zaidi kuliko City’s Triump..!!!
Angalia LFC akibeba FA & Carabao wanaweka parade jiji zima la Liverpool linakuwa red in colour.
Hata wenye mamlaka wanafuata nyayo hizo,.
Price,
Pride,
Culture, katika selection ya wachezaji.
Up red YNWA
Asante sana mkuu na hapo namba 3 je ina relate na policy inayoitwa money ball utawaelewa inayitumiwa na FSG ?Sina jibu la uhakika ila kuna sababu kadhaa wa kadhaa kwa nini iko hivi;-
1. Utamaduni.
Tumekuwa na ka utamaduni ka kutokuwa na kikosi kikubwa chukulia tu kwa Klopp miaka yake tisa aliyokaa, tumekuwa na wachezaje wale wale baada ya kuijenga timu yake aliyoitaka.
Beckor
Trent
Vvd
Matip
Robbo
Miaka yake ya mafanikio amekuwa na hawa mpaka sasa ni mmoja tu ameondoka.
60% ya aliokuwa nao miaka 4-6 iliyopita ndio ilimalizika kuondoka msimu juzi.
Gini, Fabinho, Henderson, Milner, Ox, Keita, waka na ingizo jipya.
Hivyo tunaona pride kuwa na wachezaji wale wale for years wenye nia ya kupigania jersey ya timu.
Kwa LFC mchezaji akishaipenda timu ngumu sana asichezeshwe. All this years nafasi ya Henderson ililindwa kwa kutosajiliwa kiungo mwingine, why?? Scouser ameshakubaliwa kwenye tamaduni hapo.
Front three same Mane, Bobby and Salah ilidumu almost 5-7 years bila kuwa challanged na like to like signing, baada ya Mane kuondoka ndipo akaja Diaz na Jota na baadae Nunez kuchukua viatu vya Bobby. Bafikiri tumekua hivi miaka mingi sasa. Hata LFC ya Benitez ilikuwa hivi hivi season in season out Gerrard, Alonso, Mascerano, Kuyt, Torres, Tunachezea humo humo na atleast 15 quality players.
2.Pride
Tunapenda mchezaji mwenye nia ya dhati kabisa ya kupigania timu bila kuangalia maslahi binafsi kwanza. Ndio maana unaona hatulazimishi signings endapo mchezaji hataonesha nia yoyote ya kuichezea klabu.
3. Cash
Hapa ndipo penyewe kuna vitu vingi vinawekwa kwenye mkataba hasa vinavyohusu sell back on clause na player bonuses, hii ni negotiation ambayo unahitaji oil money au mtu kama perez ambaya hafikiri mengi zaidi ya mafanikio ya timu ndani ya uwanja kwanza.
Kwenye Era ya Gillette na Hinks
Nakumbuka Benitez alipendekeza Gareth Barry kutoka Villa aje LFC kuchukua no. ya Alonso ambaye alishaondoka klabuni, kwenda Madrid kwa £30M. Gareth angetugharimu only £10m tukaenda na msimamo wa £8m Villa wakakataa msimu uliofuata akaenda City kwa £12m. It was 2009 hili deal lilitusumbua. Baada ya kumkosa Barry tukaenda kwa Aquillani for £20m. Tukamkoaa Barry for £10m tukaenda kwa Aquillani for £20m na hakuwa chaguo sahihi. Hapo kocha akiwa Benitez.
It has been this way years labda LFC ile ya miaka 70’s 80’s and 90’s..!! Ambayo wengi hatujaishuhudia vyema.
We care alot about team pride than players, LIVERPOOL its a cult, ndio maana Kops wanamsemo its not a football club its a FAMILY.
Angalia City walibeba four EPL consecutively, lakini Klopp’s farewell ceremony ilitazamwa na watu zaidi kuliko City’s Triump..!!!
Angalia LFC akibeba FA & Carabao wanaweka parade jiji zima la Liverpool linakuwa red in colour.
Hata wenye mamlaka wanafuata nyayo hizo,.
Price,
Pride,
Culture, katika selection ya wachezaji.
Up red YNWA
Upo sahihi Edwards hua ana staili yake ya kusaka wachezaji lakini tutakumbaliana hio staili yake ina favour zaidi FSG kuliko sisi Mashabiki maana tuna EPL moja ndugu tangu atue Klopp, tupime ubora wake kwa makombe anayoleta klabuni na si vinginevyo ndugu, nakua na maoni tofauti kidogo nikilinganisha tulipo kwa kucheki EPL na UCL nk inanipa ugumu sana kuona kama kweli tulistahili tu kupata kombe moja epl chini ya Klopp na kwa mwendo huu wa usajili naona Slot akipita mule mule kwa Klopp aisee. Ni kweli sio kila changamoto inakua solved na usajili lakini tazama asubuhi ya leo unaamka kusoma Morton na Bajetic wapo mbioni kusepa Liverpool wakiwa angalau ndio pekee wenye vi element ya uDm ndani yao maana Edo sitegemei atupe gemu za kutosha huku Gravenberch akiwa ndio makeshift wa Slot.. May we be lucky aisee otherwise its real danger gemu zikianza kuchanganya sioni tukikwepa ya Atlanta.
Kuna Ederson pale Atlanta alikua Upgrade ya hawa wa kwetu lakin utasikia Liverpool hainunui ili mradi kununua na hapo Kipara anasaka EPL ya tano hatanii aisee...
Tukumbali kua wasidikizaji hakuna namna.
Soon Slot atapewa wake up call ataelewa why Klopp had to quit akiwa na the so called complete squad.. Maana kama kweli kikosi ni complete iweje tumalize nafasi ya 3 na kakombe kamoja huku tukikosa mengine matatu...
Kuna mahala Klopp alipishana na Edwards maana iweje Edwards alivyorejea na Klopp akasepa labda Klopp aliona mambo yakusubiri usajili mwaka yanarejea na alishachoka.
YNWA