Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Asante Mkuu naona The MoNA alifafanua vizuri kwenye post #143,515
 
ni injury prone
Kuwaelewa usajili wa FSG ina bidii uwe full scouser ili kale kamsemo kao... "na hili lita pita"..... Uweze kukaelewa.
Mahitaji yetu ni DM mmoja, RW mmoja na CBL mmoja lakin FSG kama FSG haoooo wametuletea kipa na LW mmoja ambao sio priority kwa sasa. Hii ndio shinda kujiona ni bora zaidi ya wengine.... Yaani katika ligi 5 bora za Europe kweli tumekosa DM mmoja anaeuzwa bei rafiki mpaka tuambiwa bla bla...

Kwa Chiesa ni maombi tu kwamba tuwe tumesajili yule Chiesa wa miaka hioo na sio huyu wa sasa mwenye Kukosa kujiamini


YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…