Man am really shocked bro why on earth are we signing GK or LW and leaving the DM empty to the extent sending Bajetic and probably Morton on loan.
Nerds sijui wana beti Manchester City bingwa ama maana this is ridiculous at the highest level
YNWA
Captain.
Juzi hapa nadhani ulimuona ndugu yako Ian Graham wakati anazunguka ku-market his baseless book, (ambacho sidhani kama angepata hata maneno ya kuandika bila Klopp), kwenye interviews zake zote alikuwa anam-sneak attack Klopp sana.
Hawa watu (Edwards/Graham & Later Ward) walikuwepo at LFC kabla ya Klopp & DID NOTHING, WON NOTHING, they were NOBODIES, unakumbuka kina Edwards walivyokuwa memes of LFC social media platforms kipindi kile? Klopp came in a CHANGED everything, aliamua kufanya nao kazi, when the world was laughing at them, unakumbuka the same LFC fans walikuwa wanapiga kelele FSG waajiri DOFs? majina yakiwa ni Zorc & Monchi? unakumbuka FSG walivyomu-approach LVG for the DOF role? Klopp refused to work with LVG, he chose Edwards ambaye at that time he was just a data/computer nerd (kama mimi tu) and still very young, na unakumbuka blunders za awali za Edwards? mpaka akawa meme kwenye world football? but Klopp na his approch ya "father to son/brother to brother" decides to stick na Edwards, mpaka tunakuja kukamilisha first major signing chini ya Klopp (Mane) alikuwa kishaharibu few deals (kama Hughes tu now), but hakukatiwa tamaa, but now Klopp anakuwa sneak-dissed, na funny thing is kuna watu wanaamini.
It was klopp who told the Data/scout department to look at Mane/Matip/VVD/Fabinho & Gini. unakumbuka fiasco ya Blackpool? Klopp alivyobambwa na VVD kwenye mgahawa akifanya tapping-up? unakumbuka ishu ya Robertson? Alikuwa relegated na Hull City walikuwa wameruhusu goals si chini ya 80, jina lake lilivyoletwa na Scouts, kina Graham walimkataa, it was Klopp who said I WANT HIM, look at Roberston now.
Kina Edwards walivyoondoka LFC, wakajua tuta-struggle kwenye signings, wakisahau kuwa it was Klopp who made these signings possible, Klopp went on and signed Konate, Jota, Diaz, Szobo, Gravenberch, Alexis, Gakpo, Nunez etc, Wachezaji ambao Slot mwenyewe anasema ni hard sana kutafuta upgrades kwenye market.
Then Klopp signed Nyoni (Slot loves him so much), Klopp signed VDB & Fabio ambao leo hii kina Edwards wamepata pleasure ya kuwauza kwa BIG MARGINS, Klopp kakuza kids ambao leo hii wametolewa kwa BIG MARGINS. now Bradley, Quansah na Harvey ni first squad players, kina Eswards wanapata kiburi cha kukataa bids kubwa za Kelleher (who made Kelleher?) the club thinks he's worth ยฃ30-45m, again who made HIM?
Transfer window imekuwa ni DISASTER, na aliyekuwa anabeba LAWAMA zote za FSG na management, hayupo.
Can you blame FSG for this window? i hate FSG but ni big NO.
Club ilifanikiwa ku-accumulate ยฃ71m kwa kuuza youngsters tu, na ingeweza kufika ยฃ100M kasoro kama wangekubali bid ya jioni ya Forest kwa Kelleher, bids za Nat, Gomez, Endo & Kostas.
ยฃ71m gets you DM yeyote ambaye alikuwa kwenye market this season, kuanzia Zubi (ยฃ51m) mpaka kina Varela (ยฃ55m), na CHIESA (ยฃ12M). but after Klopp kupata a stop gap (Endo) last season, nerds walitakiwa kujua umuhimu wa DM, na nina uhakika Klopp aliacha list ya his desired DMs aliokuwa anasubiria wawe available, na funny thing is, hii window ndiyo ambayo Zubimendi alionesha indications za kutaka kuondoka Sociedad, utakumbuka kuwa we tried last summer and he was not interested, TW hii umepata nafasi, mchezaji kakupa go-ahead ya kuongea na his Club, then unaanza ku-negotiate a BUY-OUT clause, kweli? tena kwa installments 4, huyu ni mchezaji ambaye ameshazikataa Barcelona/Arsenal/Bayern etc, what is LFC? umepewa chance itumie, Zubi aliongea mpaka na Slot, Slot masikini akamtolea foot-map yake yote na jinsi gani atakavyomtumia, then unaenda kuharibu deal.
Na, kinachoumiza, Slot asked for a DM and CB, but aliomba sana kupata DM, maana aliona kwa style yake atahitaji muda sana na Endo, ambaye pia kibaya zaidi umri umeenda, sasa Kocha anakuja, hakupi mzigo, na anataka tu 1-2 players, unashindwa kumpa, then baadae yanaanza mambo yale yale kuwa hakuna DM wa ku-elevate team, for Gods sake, our natural DM ni Endo, unashindwaje kutafuta an upgrade on Endo kwa miezi mitatu?na unajiita transfer guru?
We missed the boat on Tchou in 2022, but then in 2023 we tried on Caicedo & Lavia na ku-fail, then asked for Zubimendi na hakukuwa na majibu mazuri, FSG refused to sunction deal ya Palhinha, Guimaraes had RC ya ยฃ100m, so we had to settle for a stop gap, (Endo) who did so well in my opinion, now anakuwa new gaffer, anaomba umpe tu DM, just a single DM, unaangalia list aliyoacha Klopp unakutana na Zubimendi, unamuuliza Slot anakwambia anafaa sana kwa his style, unauliza kwa his agent, agent ana-communicate na his Player, wanakuomba uende Spain, unafika Spain, mnafanya a good meeting, mchezaji anakubali kuja LFC, unatoka kwenye meeting ukiwa umepata tu a verbal YES, unaamua ku-brief medias about the deal, then unarudi kwa waajiri, (baada ya kuambiwa na agent kuwa buy-out ya player ni ยฃ51m) unaenda kuanza kutela ujanja wa kizamani kutaka ku-negotiate a buy-out, kwa kuwa tu player kakupa YES ya mdomo.
Sasa, imagine kama kwenye deal ya Zubi, Slot angekuwa na power ya maamuzi? ingekuwa tu, ni pay the RC, ni kama Klopp alivyowaambia FSG, pay RC ya Szobo hakuna room ya kunegotiate, FSG mpaka wakatumia third party (mkopo) kulipa ile RC (nahisi John Henry hakulala week hii, atakuwa aliumia sana), now umeuza youngsters ambao hawahitaji hata kuwa replaced, una ยฃ71m, why cant you pay the RC? unaenda kumsajili Mamar, wa nini? who needs a keeper now? mtu mwenyewe unayemsajili kuja kucheza ni mpaka Alli aondoke 2026 (Well, i think Alli will leave), ยฃ29m for a keeper, for what?
Mtu yeyote ambaye ata-spin hii transfer window kuwa ni positive, siyo LFC fan.
Slot amekuwa let down, but i believe in his coaching, kwa side ya pili, he has inherited one of the best squads in the league, na naamini players wata-show up for him. he deserves it.