zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,075
- 9,263
We have to believe our managementsHatutakuja kuwa a seriuos club again. NON AMBITIOUS.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We have to believe our managementsHatutakuja kuwa a seriuos club again. NON AMBITIOUS.
Ndio ndio.
Arne Slot ni aina ya kocha anayeishi na wachezaji wake kama watoto wake, hivyo hutumia njia ya mazungumzo ya upendo kuwaelewesha vijana wake.
Lakini sio kwamba player akizingua hawezi kumkoromea.
While I understand the excitement surrounding the Chiesa signing, comparing his situation to that of Melo is not entirely inaccurate. Both players were facing uncertainty at their previous clubs due to managerial changes and limited playing time.
Furthermore, Chiesa's injury history should not be completely dismissed. While he did play a significant number of minutes last season, his injury record over the past few years raises some concerns. It's important to consider his long-term durability, especially given the physical demands of Premier League football.
While Chiesa is a talented player, it's too early to definitively say whether he will be a success at Liverpool. His adaptation to a new league and his ability to perform consistently at the highest level will be key factors in determining his impact on the team.
Uzi umenoga sasa Chambuzi zilizoshiba madini MosDef uwe unapita mara kwa mara mkuu.
Man am really shocked bro why on earth are we signing GK or LW and leaving the DM empty to the extent sending Bajetic and probably Morton on loan.
Nerds sijui wana beti Manchester City bingwa ama maana this is ridiculous at the highest level
YNWA
If he can unlock the Beast Nunez we have ride to enjoy... Captain Chaos will be on 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥.
Still positive mate if this bald gaffer get proper backing all shall be well.
YNWA
HahahaDef amekuja pameanza kuchangamka
Wewe kaka unajua kuandika sana
A tanzanian kid
How Old are you Def?
Issue ya DM liverpool imekua kama kipind flan cha Arsene Wenger na kusajil striker.
Ivi pale anfield hakuna ULTRAS?
Samahani
Naomba kuuliza
Hapo Kipara alikuwa wapi?
Watoto wa dot-com hatuna D mbili
Hatuelewi
Hatutakuja kuwa a seriuos club again. NON AMBITIOUS.
Mapema mno kusema kwakweli, Klop amenifundisha ku BELIEVE, ametuondoa kuleeee........... #Doubters to Believers#
Bajcetic to RB Salzburg season Loan
Nat phillips to Derby Count season Loan
Ben Doak to Middlesbrough season Loan
Marcelo Pitaluga to Livingstone Season Loan
Sijajua kwa nini Nat Philips hauzwi na the guy he is 27 yrs old. Ilikuja ofa ya 4M kutoka Trabzaspor ya Turkey ikachomolewa.
Kwa umri huu haujapata bado nafasi kwenye kikosi cha kwanza ni nadra sana kuingia kwenye timu. Nat anapokea 65k/pw 5k/pe less than Konate, while kuna kina Diaz wanapokea 55k/pw, Jones 15k/pw, Kelleher 10k/pe though are the contractual issues but they need to fix these things.
Taja rika lako nijue kama mwanangu au mdogo wangu😂😂😂😂Hahaha
JF ni chaka ya kujificha ndugu yangu, so tunajificha ficha sana.
Am just a young kid, ndugu yangu.
KumbeSlot was at PEC Zwolle
VVD was at Groningen.
League ya Uholanzi (Eredivisie).