Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mona.

At the time wakati Klopp anakuwa appointed (October 8, 2015), Edwards was working as a Technical Director, ambapo his main duties ilikuwa ni kusimamia business/image & economic-development status ya Club.

Edwards, alikuja LFC mwaka 2011, akitokea Spurs, alikuwa hired kama Chief Anaylst, 2013 nadhani (siko sure sana) akahamishiwa kwenye offices za Methodology, akiwa ni head wa hiyo area, na hii ni baada ya formation ya Transfer Committee (TC) in 2013. baada ya hapo ndiyo akapanda daraja na kuwa Technical Director at the club.

Kipindi hiki, DOF wa club alikuwa Ian Ayre, na nadhani unajua kazi/roles za Ian Ayre, na huyu ndiyo alimsainisha mkataba wa ajira Klopp at LFC.

Na, pia tukiwa tunaongelea LFC & FSG, mara nyingi sana tunamuongelea John W. Henry, na ni sawa kwasababu ni major Shareholder & owner wa FSG at large, but kuna mtu anaitwa MIKE GORDON, huyo ndiyo roho ya FSG, huyu ndiyo roho ya LFC.

At, FSG, huyu ndiyo yupo tasked na ku-manage kila kitu kinachohusiana na LFC, wakati Klopp yupo, na sahiv wakati hayupo, hawa kina Edwards wote wana-report to him, na ukisikia FSG wamewarudisha kina Edwards at LFC, ujue ni Gordon, ukisikia kuwa FSG kuwa hawataki kutoa kiasi flani kwa mchezaji, ujue ni Gordon.

Kwa mfano, watakachokifanya kina Edwards now kuhusu, Salah/VVD/Trent contracts, ni kukaa mezani na players, na ku-exchange terms, wakifikia makubaliano, wanatoa report kwa Gordon, Gordon akifanya assessment na kuona offers zilizotolewa siyo sustainable kwa Club, ANAPIGA chini, kwahyo ni kazi ya kina Edwqrds kuhakikisha mikataba mipya au mazungumzo ya mkataba huu yanaendana na kile anachokihitaji Gordon, waki-fail, ni kuwa wame-fail at their jobs.

Now, turudi kwa appointment ya Klopp, kwanza mwaka 2015, Klopp alikuwa ni one of the few biggest names kwenye football industry, Klopp alikuwa na msimu mbaya sana wa 2014/15, na baada ya ule msimu akaamua kupumzika (sabbatical leave), ikumbukwe kuwa, mpaka kufikia hapo, Man Utd & Madrid walishajaribu na kuwa turned down, (Fergie mwenyewe had multiple dinners with Klopp kujaribu kumconvince aende Utd, na ni tangu 2013), Sasa kipindi tunamfukuza Rodgers ile 2015, Klopp was a free agent, so jina lake lilikuwa linaimbwa na kila shabiki wa LFC, but deal ilikuwa inaonekana ngumu kwasababu Klopp alikuwa anataka kupumzika kwa mwaka mmoja, hence tukaanza ku-sound out his camp taratibu, lakini mara zote hatukupata majibu, na ndiyo maana tukaruka ruka mpaka kwa kina Carlo ambapo tulipigwa chini, lakini deep down, FSG wenyewe walikuwa wanajua hakuna better coach kwa LFC kama Klopp, ironically, sisi tulicopy model ya Dortmund kipindi kile, so kila FSG walikuwa wakiwaza, wanaona Klopp ndiyo anafaa, ndiyo Gordon akapewa task rasmi sasa ya kuhakikisha Klopp anatua LFC, na alifanikiwa, na ndiyo maana ni mtu anayekuwa CREDITED kwa kumleta Klopp, LFC.

Ian Graham, kipindi kile wakati ndiyo kaajiriwa kama DIRECTOR OF RESEARCH, alipewa task ya kufatilia insights za Klopp, aina yake ya mpira na wachezaji gani wata-fit kwenye mfumo wa klopp na kwa kiasi gani utakuwa sustainable in the long run, na pia Ian Graham ndiye alipewa kazi ya kuhakikisha anaisimamia department ya Data & football science katika kufanya kazi sambamba na Klopp (unataka kucheka? kabla ya hapo Ian Graham alikuwa mpiga poroho The Times, kama sisi tu, sahiv ana firm kubwa ya Data, na sasa anazunguka kumsema vibaya Klopp kwenye medias, life is so funny, isnt it?).

Suala la Klopp lilikuwa ni la FSG, Mike Gordon, pamoja na Ian Ayre aliyekuwa DOF kipindi kile, but haku-play big part kama mtaalam, MIKE GORDON (funny thing is, huwezi kumsikia popote, BUT siku akipiga chini LFC, tumeenda na maji, siyo hawa watoto wadogo kina Edwards).

Nilikuwa sitaki kusema hii, but ni Mike Gordon huwa ana-close down complicated deals (VVD, Keita, Szobo, etc), hence nipo calm sana kuhusu Trent, kama Trent asipo-sign new contract na kwenda Madrid, jua kuwa Gordon hakukubaliana na matakwa ya Trent & Edwards & Hughes wameshindwa kumpa Gordon a Clear path ya kumtuliza Trent at LFC, lakini kama Trent aki-sign new contract, jua tu Mike Gordon amekaa nae mwenyewe kwenye meza ya mazungumzo. maana lets be real mpaka sasa hii ishu ya Trent imeanza kuwa ngumu.

Klopp, alivyosema anaondoka, Gordon flew to Liverpool, aliongea na Klopp for 2 days straight, but alishindwa kum-convince abaki, alivyorudisha majibu kwa kina John & Werner, wakamwambia wapo tayari ku-offer a huge PAY RISE, but Gordon akawaambia haina haja, kama nimefail kwa kuongea nae, hakuna chochote kitam-bakiza.

But, looking back, ni kuwa Klopp aliona anakolekea atatuangusha, maana baada ya 22/23, aliamua kuwekeza nguvu zake zote kwenye msimu uliofata, ili atuache tukiwa tupo Champion league na tuna kikosi kizuri, sidhani angeweza kuendelea, nakumbuka mimi na kina Ngwaba, Don etc tulikuww tunamkalia kooni Klopp kwa kutokuwa selfish & ruthless enough, guess what? kutokuwa kwake Selfish, kumetusaidia sana, team haipo shimoni, team ipo kwenye good shape.

Na, utagundua alichokifanya, Gordon, ni kurudisha ile Spine iliyofanya kazi kwa mafanikio na Klopp, ili kubakiza na kulinda ile blueprint ambayo Klopp ameitengeneza kwa miaka TISA, na kwa kufanya hivyo lazima waje watu ambao wanaijua na wameiishi kwa mafanikio, you see, zamani tulikuwa tunaishi na ile blueprint ya Shankly, na ndiyo ilimpa mafanikio makubwa sana Paisley, na ikaja kumpa mafanikio pia Daglish (akiwa coach), lakini baada ya kuwa shaked sana, tukaiacha, hence tulipata tabu mno, LFC ilikuwa ni ya vipindi (joto na baridi) kwa miaka mingi sana, mpaka tumekuja kuipata blueprint hii aliyoiweka Klopp, na ninachompendea zaidi SLOT amekuja na ku-embrace hii BLUEPRINT, na ndiyo maana ameanza kwa mafanikio makubwa sana.



Now, fast forward, Klopp kaondoka, LFC, a world class coach, unahitaji young coach wa kum-replace, as at this time, siyo rodgers aliyeondoka, ni Klopp, so unahitaji Coach makini wa kum-replace, mwenye kila njia/personality ya Klopp ili kuweza kuiishi hii blueprint, hapo ndiyo Gordon anampigia simu Edwards, na kumuuliza, WILLIAM SPEARMAN anasemaje? Edwards anamwambia Gordon, Spearman kanipa majina matatu, (Alonso, Amorim & Slot), Gordon lazima aliuliza Slot? as Alonso haitaji utambulisho & Amorim was already making noises in europe, Edwards nae atakuwa alimwambia Gordon, Yeah ni Slot hata mimi niliuliza kama wewe, but Spearman kasema yeyote kati ya hawa wanafaa at LFC, then, Gordon atakuwa alimwambia Edwards it must be easy? au nije? Edwards atakuwa alimwambiwa "No, I GOT THIS MATE" & achana na Alonso ambaye we went direct mezani & got rejected, but Amorim & Slot walifanya interviews, wote wali-pass, something went wrong with Amorim, but it took just ONE call kwa Slot kukubali a move to LFC, unajua ile ya unakubali kazi kwanza bila hata ya kujua mshahara, haha. and unajua Slot hata hakujali kuwa maybe alikuwa ni third choice, au Alonso ndiyo ilikuwa our go-to target, au mashabiki washenzi wazungu kuanza kum-doubt kabla hajaanza hata kufundisha at LFC, alikubali move, akijua ni big challenge, na ndiyo maana hata Klopp alivyoongea nae baada ya kuwa appointed, Klopp fell in love with him mapema sana. Slot ni klopp to the core, ndiyo maana sina wasiwasi nae, atashinda kila kombe at LFC, he loves our club man, he loves this club so much.


And, who is William Spearman? ni LFC's LEAD DATA SCIENTIST, & he is main reason, ARNE SLOT is at the Club right now.
Uendelee kuwepo man
 
How do I sound like?
Naonekana kama nyie eeh watoto wa 99[emoji13]

Mie bwana nina roho nyepesi sana wakati wa mpira huwa nalia kabisa
Iwe Kwa machungu au furaha.

Na huwa narusha miguu mikono kichwa
Wakati hata danadana sijui kupiga.

Dah.!! Unanikabia juu sanaaa, 99??

Una sound kama mtoto wa alfu mbili hivi,
 
Sana
Kwamba Klopp alikuwa hajitambui
Huyu mtoto bwana😂😂
Amshukuru Klopp sana kwa kumnoa hadi hapo alipofika.
Klopp hajitambui kweli unafikiri dogo anadanganya ukitaka uamini klopp ajitambui ni kukaa miaka 9 EPL 1 na Kila siku anafanya makosa yale Yale anakosa ubingwa mwishoni Bora uishie namba 10 timu Yako ijulikane ni mbovu kuliko kukosa ubingwa mwishoni Kwa kujirudia rudia na kingine kushindwa kuifunga Madrid kwenye mechi zote alizokutana nayo yaani Madrid imechukua UEFA 2 mbele yake Moja Madrid ilikua na kikosi dhaifu sana kwahiyo huyo dogo yupo sahihi klopp hajitambui Bora alivyosepa
 
Klopp hajitambui kweli unafikiri dogo anadanganya ukitaka uamini klopp ajitambui ni kukaa miaka 9 EPL 1 na Kila siku anafanya makosa yale Yale anakosa ubingwa mwishoni Bora uishie namba 10 timu Yako ijulikane ni mbovu kuliko kukosa ubingwa mwishoni Kwa kujirudia rudia na kingine kushindwa kuifunga Madrid kwenye mechi zote alizokutana nayo yaani Madrid imechukua UEFA 2 mbele yake Moja Madrid ilikua na kikosi dhaifu sana kwahiyo huyo dogo yupo sahihi klopp hajitambui Bora alivyosepa
Ukitoa PEP ambaye matajiri wanamwaga pesa za kutosh,je,makocha wa timu nyingine wana EPL, UEFA ngapi ndani ya miaka hiyo 9?
 
Klopp hajitambui kweli unafikiri dogo anadanganya ukitaka uamini klopp ajitambui ni kukaa miaka 9 EPL 1 na Kila siku anafanya makosa yale Yale anakosa ubingwa mwishoni Bora uishie namba 10 timu Yako ijulikane ni mbovu kuliko kukosa ubingwa mwishoni Kwa kujirudia rudia na kingine kushindwa kuifunga Madrid kwenye mechi zote alizokutana nayo yaani Madrid imechukua UEFA 2 mbele yake Moja Madrid ilikua na kikosi dhaifu sana kwahiyo huyo dogo yupo sahihi klopp hajitambui Bora alivyosepa
As much as i believe that Klopp needed to be more flexible ila hii comment yako ni disrespect kwake kwa kweli. 1 EPL in 9 years? unasahau kuwa hiyo ndo the only EPL title we have in 30+ years, he took charge wakati timu ikiwa ni proper mid-table team.

He dragged us from being mid table team to title contenders, he consistently made players punch way above their weights i.e. Coutinho, Salah & Mane (from good to world class players), Firmino (he was just another CAM but under Klopp he became the best false 9 in the world), Wijnaldum (from a good CAM to one of the best CM in the world), Robbo (from an average to world class player) etc.

Klopp amejenga foundation na new structure ya Liverpool, ni wachache wanaoweza kufanya kazi aliyoifanya yeye! ... anayefuata anapaswa kufanya finishing na tutamsifia kwa kazi yake nzuri lakini kamwe hatutambeza aliyenyanyua kuta.
 
WE dogo akili yako ya mtoto wa miaka 14
Huwa huwezi kutengeneza hoja kabisa.
Bora uwe dogo mwenye miaka 14 na akili za kitoto sio uwe kama wewe kubwa jinga unamiaka 57 huna kitu kichwani umejaa umasikini tu maana hapo hamna kibaya nilichoandika ila umekurupuka kwakua ni masikini unanjaa unaona kushobokea wanaume mtandaoni ndio njaa zako zitaisha
 
Back
Top Bottom