Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Madrid popote wanapocheza wspigwe kipigo cha mbwa koko
Wakisumbua sana,tengua pua ya Mbappe
Wasishinde chochote
 

Nafikiria Media zinataka kutengeneza ligi kati ya Slot na Kloppโ€,. Ukitazama mechi zetu hata commentators utawasikia tu โ€œhatukuwahi kuona hili kipindi cha Kloppโ€, โ€œhatukuwahi kuona LFC ikicheza mpira huu under Kloppโ€ kuna vibiashara vinaundwa undwa hapo kupitia โ€œKLOPP vs SLOTโ€,.

Thats sijamlaumu Gravern easily naelewa kinachoendelea, na hiyo ni kazi ya media kutafuta headlines za kichokochoko ili kuchokoza hisia za watu its a normal thing.

Remember Sub ya Quansah at First half vs Ipswich, โ€œWe havenโ€™t seen this beforeโ€, wakasema jamaa ana criticize wachezaji hadhari tofauti na alivyokuwa Klopp hawakuwahi kuona hili. Trentโ€™s sub last two matches,.

Dr. Ian Graham anachodai Nunez ni chaguo la Klopp sio la wao kama scout na wachambua data, wao walimtaka L. Martinez over Nunez kama ni suala la kumrithi Bobby, of which is true technically otherwise mfumo ulipaswa kuchange ili kumuwezesha Nunez kucheza natural position with natural role but things went ndivyo sivyo Nunez akatuvua taulo mashabiki na watetezi wake.

Its a normal thing kwenye mpira, fikiria mchezaji anayekuja kuchukua mikoba ya Salah pressure atakayoibeba, fikiria mrithi wa VVD itakuwaje?? Mambo ya A vs B hayakwepeki ila mapro wanayategua fresh kama VVD & Salah walivyohojiwa kuhusu Contracts.

YNWA
 

Last 3-4 years atleast naweza kusema tumekuwa na impressive academy. Ukiwekeza kwenye academy yes huwezi kuwapata kina Trent year in year out, but unazalisha kwa ajili ya akina Brentford, Southampton na ndugu zao wengine.

Tulikuwa na worse academy aisee, atleast sasa hivi tunaringa kiasi,.

Morton can cook if he stays full fit and game time.
 

Hapo nahisi bonus ndio zitashiba zaidi, Salah can play 1-3 seasons kwa alivyo ndio wale few players wanastaafu na mpira wao..!!!

Na kocha kama Slot anayeitafuta CV lazima akae na World class players atleast 2 seasons kabla haja establish wa kwake



YNWA
 
Wametudhalilisha sanaโ€,. Tumekuwa wanyonge wao kiwepesi sana.

Kwa kuwa Mungu ni wetu sote, tutavunja uteja mwaka huu.

YNWA
Wapigwe popote wanapokanyaga hawa wajinga๐Ÿคฃ

Mimi na Salah tunasubiri kulipa kisasi labda this time tutaweza
 
Hata hao Ethad Elite Squad wameweza kuzalisha serial 1st squad member ni Foden tu then akina Bob wanachipukia sana sana wameuza list ni ndefu Laiva, Sancho, Palmer, Ienacho, Delap, Brahim Diaz, Trafford nk nk...

YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ