Gravenberch hana uwezo wowote wa kumuweka nje ENDO.
Szbo hana chochote cha maana cha kumuweka nje JONES na ELLIOT.
Kuna post, iliwahi kuuliza why Klopp hakumchezesha Grav at 6, jibu langu ni kuwa Klopp prefres ku-operate na lone 6, hence Grav asingweza kucheza as a 6 chini ya Klopp.
Kwenye shape ya Slot, Grav anacheza vizuri deeper kwasababu ana inter-change na Alexis in a pivot, so huwa wanategemeana na Alexis kwenye Pivot.
Grav was fine at 6 mpaka ile sub ya Alexis (ambayo imetu-cost game leo).
What was the reason ya kumpeleka Trent in the midfield? at what point we needed Bradley at RB today? game-state yetu ilikuwa mbovu leo, but tulikuwa vizuri sana kwenye ku-defend transitions, na ndiyo tulikuwa bado tupo mchezoni, pamoja na ku-fail kabisa kuivunja/haribu defensive-shape/structure ya Forest.
Trent was doing good at RB kwenye upande wa transitions, Grav+Alexis were doing good kuzuia transitions and counter-pressing za Forest in the middle, kumtoa Alexis, na kumuweka Trent in the middle was suicide, Bradley come on and failed to cope with the occassion, as Grav and Trent ilikuwa ni mis-match pale katikati, we started to eat up transitions for fun, job ikawa ngumu kwa Bradley, Forest were cutting us open for fun, bacause hakukuwa na strong-MF base katikati (baada ya Alexis kutoka)
Kama, unamtoa Alexis, put Endo or Jones katikati alongside Grav, maintain the same balance, just add flair kwenye our attacking patterns.
Baada ya ile sub na Trent kwenda katikati, we conceded a goal, ambalo lilitokana na kile ambacho tulifanikiwa sana kuki-control (transitions), then baada ya ku-concede, subs got worse, kocha ana-panic, game ya Nne.
You cant blame Grav, he was good, mpaka baada ya zile subs, he's not a 6, but mpaka sasa he has held his own, hayo maneno unayosema hapo hukuyasema when he was bossing Casemiro & Mainoo at OT, na nilisema kuwa kuna kipindi Grav atakutana na games ngumu na hatacheza vizuri bacause he's not a natural 6, but this wasnt the game, he was good, tujifunze kuwa open katika kumkosoa Kocha akifanya blunder.
Slot anasema players failed to play/connect the ball with passes (overheat & underheat passes), but after international breaks, kulikuwa na haja gani ya kuanza na baadhi ya players ambao wame-play a lot of minutes kwenye internationals? then games tatu zilizopita kuna players hawajapata nafasi kubwa kabisa (Nunez/Gakpo/Endo/Jones/Kostas) etc, why cant you tweak the starting line-up? tulikuwa tunacheza na Forest, for gods sake.
This loss is on Slot.