The MoNA unaielezea vipi hii
tactic mpya ya Arne Slot
Again, ukiangalia kwenye hiyo picha kuna triangle mbili hivi zinaonekana, its a combination play. Tofauti na few seasons huko nyuma, hatukuwa na ukaribu ukaribu baina ya mchezaji mmoja na mwingine, ndio mana highline imetuhathiri kwa kupata injury sana, pressing high all the time imetuumiza sana, kwa sababu ni kukimbizana throttle full 90 min, na mpo mbali mbali kiasi, squad ndogo na mambo kama hayo.
Unajua Slot bado haja inject his Philosophy fully, why? Anajua kuondoa hiyo mentality waliyokuwa nayo over the past 4-6 yrs sio rahisi hivyo ina implement his philosophy gradually.
Issue inakuja je una hao wachezaji wa kuuchezea mpira, yes wapo Gravern, Szobo, Macca good MF, you have Jones (ila utoto mwingi), Elliot, Endo thats why unaona timu ina flow nzuri japo not to the fullest.
We need to add reliable MF’s (DM & CAM) and LCB…
YNWA.