Hatuna keeper kaka,Mignolet ni janga la kitaifa!Tungekuwa na keeper mzuri tungeshinda game hii
Hamna kipa
Hamna beki
Hamna viungo
Hamna striker
Hamna kocha
Y N W A
Mkuu umeenda mbali sana ha ha ha kwangu naona tatizo ni mwalimu tu na isha kula kwakeHamna kipa
Hamna beki
Hamna viungo
Hamna striker
Hamna kocha
Y N W A
Kesho ugenini kwa Lugo sidhani kama tutapata maximum points!
Kwa upangaji wa BR tukijitahidi sana ni sare!!
Mkuu umechukua mikoba ya sheikh yahya nn?
Hapana mkuu,bali naijua Liverpool yangu ikiwa kwenye peak na naijua ikiwa hovyo kama hivi sasa!!
Jumamosi na Stoke City kama atampa SG free role,thenMoreno na Manquillo pembeni, Lambert na Kolo waanze badala ya Lovren na Balo TUNASHINDA kiurahisi tu!!
Lkn yy atamrudisha Lovren,Balo na anaweza hata akamuanzisha tena GJ na hapo tukijitahidi sana ni sare
Balo hachrzi kesho
hajapona
Akimpa free role SG na kolo acheze na Skrtel tunashinda kiurahisi tu leo
Stoke wagumu sana, wakubwa na wana nguvu, and our team wana wachezaji wengi small and easily bullied
Tunahitaji Emre acheze instead of Je Allen and Lucas aanze na Emre Hendo aende namba nane, Gerro namba kumi and Lambert au Borini
I would start Cou on the bench
sijui kwanini anampanga GJPembeni Manquillo na Moreno!!
Aachane kabisa na GJ
sijui kwanini anampanga GJ
But one thing for sure, SG alimpanga GJ kama his best/most favourite team mates, so huwezi juwa, maybe SG kama captain ana role ya kumweka GJ
GJ mpe mechi zenye noisy kama ya Man U week ijayo!
GJ bana daaah!Dakika 90 no tackle no cross no bambi
noisy neibaz watatupiga tu
Sidhani!Nao hao neibaz wapo hovyo tu kama sisi
position yao kwenye EPL ni ipi?
Mkuu mshindi wa 4 na wa 12 tofauti points 5 tu