Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwenye double pivot anaweza kukaa vizuri zaidi,.

Sema yule Paqueta mtu sana.

YNWA
Kucheza au kutokucheza kwa mchezaji kunatokana na falsafa ya mwalimu na maono yake plus mchezaji mwenyewe namna anavyofanya na kumshawishi mwalimu kwenye viwanja vya mazoezi

Japanese samurai alishatuonesha ni mchezaji wa Aina gani since last season

Kuna muda unaweza ukawa mchezaji mzuri ila mwalimu asikuelewe ila akaja kumuelewa mwingine

Slot alipokuja alikuta timu Ina struggle kwenye eneo la defensive miedfield

Lakini swali la kujiuliiza...wataru sio defensive ?

Jibu liko wazi ni defensive

Lakini swali la pili, je mwalimu anataka defensive wa Aina gani?

Siku hz walimu wengi wanapenda defensive miedfield ambae ataweza kulink na AMs pale timu inapofanya transition

Ukiangalia Ryan Ana link vizuri sana kutokea deep(eneo lake ) kwenda front with the support from szobo n macca kitu ambacho wataru Ana weakness nacho

Lakini je hatumhitaji wataru? Jibu no

Tunamhitaji sana mtu mwenye kufanya kazi chafu kwa wakati fulani.
(Rodri) pale man city anafanya kazi chafu ili kuwapa uhuru kina gundo na wenzie kuidrive timu na yye pia akiwa pembeni yao

Kuna mechi utahitaji mtu wa kazi chafu ili kuwalinda vvd na konate

Wataru hata asipoanza ila ni back up ya maana sana tulonayo benchi
 
Arne Slot on Salah, van Dijk and Mo Salah contract talks: “I’m very happy to have them in my team!”.

“Let's see what the future brings”.
 

Good observation brother.

Kwa ufupi, Slot prefer ball carriers, wenye uwezo wa kucheza with a tight space, kitu ambacho wa wataru hajakiona and hauwezi kumlaumu kocha. Gravern tunayemuona ni mtu sana kwa sasa, under previous manager alionekana ni mchezaji wa ziada tu, he was like mouse cup player, all of a sudden kwa Wataru imekuwa vs ya Gravern this season.

Slot system is not favouring Wataru’s play style. But he can play very well though.

YNWA
 
Arne Slot on Salah, van Dijk and Mo Salah contract talks: “I’m very happy to have them in my team!”.

“Let's see what the future brings”.
Wanaosubiria Salah aondoke
Wachukue viti wakae kwanza

Mtachoka😂😂😂😂😂

Salah For life❣️ YNWA
 
Anataka kupishana na goli kipa ghali duniani,au hajui kama yuko liverpool nini? hao wengine wakiwepo golini bado tunawasiwasi,kuliko allison. allison akiwepo golini tuna sema leo tupo full mkoko yoyote aje tu.
 
Anataka kupishana na goli kipa ghali duniani,au hajui kama yuko liverpool nini? hao wengine wakiwepo golini bado tunawasiwasi,kuliko allison. allison akiwepo golini tuna sema leo tupo full mkoko yoyote aje tu.
Full mkoko anapigwa magoli ya kijinga na Aseno
 
Heheh nilijua tu pole pole, inashuka ilianza bibi, ikaja mama, ikaja mama mdogo, sasa hivi mdogo wangu”,.. Tumeanza kutembea njia moja sasa, ukingoni hakupo mbali.


YNWA
Nimekuonea huruma nikupe hata udogo wangu ila bado unabisha.
Basi turudi pale pale mjukuu wangu.
 
Hili la ziada nadhani unamuonea tu Klopp. Unless hukuona kiwango cha Ryan alipokuja toka Bayern, as he had no match fitness to make him fit to be a regular starter, plus he got an injury which put him out for a while. Kwamba hukumbuki hata Ryan aliomba kuachwa national team ili atengeneze fitness??

So leo Slot anaonekana shujaaa kama vile kamuibua Ryan??🤣🤣🤣 Tunasahau tu kwamba he had Zubimendi as his choice over what he saw in Ryan. So kama si failure ya usajili wa Zubimendi, now tungekuwa tunasemaje?? Kwamba Ryan angecheza mbele ya Zubimendi na Macca??

Nadhani tushukuru tu kwamba Ryan worked hard on his fitness during pre season and gave the coach what he wanted from Zubimendi. Maana Slot mwenyewe hakuona huo ubora wa Ryan kama kiungo wa chini no wonder he went for Zubimendi, alipomkosa akaamua kutumia resources alizo nazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…