Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

BR wala hajui anachokifanya hapa!Suarez na Dan kwa maarifa yao binafsi ndiyo walitupa nafasi ya 2 mwaka jana!

Kwa kiwango hiki Stoke hatuwezi mfunga hata refa awe Daglish
 
Mbona hewa nzito mno humu ndani!! Mmevundika panya watani??
 
Hatujacheza vizuri na ni ushindi wa bahati tu!!

Bojan Krkic kagongesha mwamba na Diouf katukosa sana!

Bao letu ni ushujaa wake binafsi beki GJ
 
Pole gj tunashukuru umetupunguzia aibu!

Nimekuwa nikisema na nitaendelea kusema....usajili wa rookies Moreno & Manquillo bado si mbadala wa full backs tulio nao in G Johnson na J Enrique. Kama hawa wakiwa fit (pamoja na Flano), always nitawachezesha
 
Nimekuwa nikisema na nitaendelea kusema....usajili wa rookies Moreno & Manquillo bado si mbadala wa full backs tulio nao in G Johnson na J Enrique. Kama hawa wakiwa fit (pamoja na Flano), always nitawachezesha

Manquillo is OK

Moreno ana mengi sana ya kujifunza maana ana tu cost sana!!
 
Nimekuwa nikisema na nitaendelea kusema....usajili wa rookies Moreno & Manquillo bado si mbadala wa full backs tulio nao in G Johnson na J Enrique. Kama hawa wakiwa fit (pamoja na Flano), always nitawachezesha

Mkuu beki line ya leo BR mwenyewe kajitukuna kwamba kasajili takataka make defenders wa leo wote ni wa last seasons.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…