Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Afadhali uanze kunifundisha.Ni vitu unavyoviangalia ila majina tu ndio tofauti.
Pressing - ni uwezo wa mchezaji kukimbia kufuata mpira kwa wapinzani pale ambapo timu yake haina mpira. Kwa kifupi ni kukaba kwa juhudi za kukimbia muda wote mkiwa hauna mpira. Good example Szobo and Jota plus Gakpo. Ukisikia good presser ni wale wasio wavivu uwanjani ni mbio mbip kuufuata mpira ulipo.
Ishi na hili kwanza.
Wewe ni miongoni mwa wateule wachache wenye miandiko yetu mizuri.Mmmh I write good I have a good handwriting
I do everything beautiful
I love playing beautiful football with my teammates
I love cooking good for my family members for my brother and sister
On my work I do good scientific works beautiful one
It's beautiful to be alive saint Anne
Wawe wanakaa na Jota awanoe kidogo ubongo.Nunez
Keep going boy, jamaa anazidi kutulia miguuni. Darwin miguu yake ipo mbele ya akili yake, anapaswa kutafuta balance. Miguu ikiwa mbele ya akili huwezi kuwa na output nzuri. Utulivu umeanza kuonekana kwake.
Goli la kwanza jana, chance created from Darwin. Within the 18 yard as ST, utawaza mambo mawili kushoot after receive the ball or kutafuta nafasi zaidi ya kufunga kwa chenga or 1,2. Alichofanya Darwin jana hakufanya papara ya ku shot zaidi ya kutafuta aliye kwenye better position (Salah) akampa pande lililozaa goli. Kudos to Darwin.
More of that to come, (Chances created, assists and goals).
Ynwaβ
Tukuyu ππ tokyoWewe ni miongoni mwa wateule wachache wenye miandiko yetu mizuri.
...
Si umesharudi bongo
Njoo Tukuyu unipikie na mimi nionje mapishi yako.
.......
Miandiko mizuri kwa madaktari ipo,ila inahesabika . .
Wachache sana.
Mapishi yangu utayaweza mkuuWewe ni miongoni mwa wateule wachache wenye miandiko yetu mizuri.
...
Si umesharudi bongo
Njoo Tukuyu unipikie na mimi nionje mapishi yako.
.......
Miandiko mizuri kwa madaktari ipo,ila inahesabika . .
Wachache sana.
Kwanini niachike?Mapishi yangu utayaweza mkuu
Utaachika ujue...
Natoa Vitu kama TAAKwanini niachike?
Yana limbwata au!?
Afadhali uanze kunifundisha.
Maana naona tu sijui double pivot
Mara tukaswitch 2 4 ngapi
Mi sijui hata..naonaga tu Kuna muda pass zinaflow,Kuna muda njia haionekani.
Shkamoo mwalimuππ₯°.Ooh okβ¦!!! Hizi formation ni idada ya wachezaji wale 10 wa ndani, unataka wakae kwenye muunod gani?? Idara ipi iwe na wachezaji wengi?
Ukiona muundo unakuwa hivi A-B-C
Maana yake:-
Kwenye A wanakaa mabeki, haijalishi ni mchezaji gani amekaa hapo ila idara hiyo wanakaa walinzi.
Kwenye B wanakaa viungo.
Kwenye C wanakaa washambuliaji.
Wakati mwingine hugeuka geuka unaweza kuta kuna
A-B-C-C, mana yake eneo la washambulizi kuna mtu wa ziada na wakati huo huo kwenye kiungo utakuta kuna mtu mwingine wa ziada anasaidia viungo na na washambuliaji wa kati na wambembeni.
Mifumo baadhi ni kama hii:-
4-4-2 huu ni mfumo mama kabisa katika mpira, kwenye nne ya kwanza ni mabeki, nne ya pili viungo hapa utakuta kuna washambuliaji wa pembeni maarufu kama wings( mawinga) mbele kuna wawili washambuliaji.
4-3β3
4-2-3-1
4-1-4-1
3-5-2
3-6-1
3-2-4-1
Na mingine mingi tu. Lakini hii inakupa muongozo wa idara gani uwanjani unataka idadi ya wachezaji iwe nyingi.
Kuna mifumo mingine inatumika wakati mechi inaendelea. Hii ni mifumo ambayo on paper ni kama haipo ila wakati wa mechi hutumika ndio hizo utasikia wame switch kutoka A kwenda B na mingine.
Kwa mf. Utakuta wakati mnakaba mnakuwa kwenye 4-2-4, wakati mnashambulia mnakuwa 3-2-5, hizi ndio hizo switch lkn, muundo huo inakuwa vile vile tu kiidara, kwa mfumo wa A-B-C. Mpira unatembezwa kiidara.
Sasa huu mfumo kubadilika kwake inategemea na role atakayopewa mchezaji.
Kwa mf. Mechi ya jana ya Bologna, kuna muda tulikaba kwa 4-4-2 ila hiyo 2 ya hapo ilikuwa ni Jota na Szobo badala ya Jota na Salah, why?? Szobo ni presser mzuri over Salah lkn Salah ni mzuri akiwa na mpira mguni kusambaza mpira akiwa wide deep, mana yake ilikuwa ni muda wa kukaa na mpira zaidi ili kubuy time.
Sasa ukiona pass zina flow, ujue basi kuna weak link ya mpinzani na wewe timu yako inakuwa na quality kwenye links baina ya mstari na mstari ya mpinzani.
Tuishi mpaka hapo.
Ynwaβ
Wacha weeNatoa Vitu kama TAA
aah shauri yako
sure kwa hakika sina presha msimu hu chini yake.
Hebu muone huyuππVvd kama mie tu hivi, mkubwa mwenzangu yule,
Emotional za wadada kwenye mpira sasa,.
Ynwa
Bora amepata huyuRyan rewarded π
Standard Chartered Player of the Month award for his exceptional performances throughout September ππ΄
Mtu na robo tatu in Saint Anne voice π€£π€£π€£
View attachment 3114408
Diaz na Gravern wamekuwa nominated kwenye mchezaji bora wa mwezi ligiBora amepata huyu
Angepata Diaz ningeshangaa
HeeDiaz na Gravern wamekuwa nominated kwenye mchezaji bora wa mwezi ligi
Hii ni tuzo ya mdhamini mkuu wa ClubHee
Nikajua ndio ile mliyopost
Kumbe ni tofauti!
OhHii ni tuzo ya mdhamini mkuu wa Club