Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naomba kuelewa kuhusu UCL ya msimu huu njia itakayotumiwa kumpata bingwa

Kama umeona standing ya CL ya sasa ilivyo maana yake, nane wa juu kutokea 1-8 hawa wanafuzu moja kwa moja. 8-24 hawa watapangwa mtoano H/A, wakipatikana washindi nane kuanzia 8-24, wataungana na wale washindi wa 1-8 jumla watakuwa 16, kuanzia hapo tunarudi kwenye traditional way H/A Knockout.
 
We
Trent wangu halinganishwi na yeyote..
Yaani Trent hana mbadala aisee...I love Trent very much.

Angalau ungesema Gakpo
Japo bado hawezi kuchukua nafasi yake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hahaha tazama tabasamu maridadi la Gravenberch hehe wewe utalegea tu n kumkacha Trent akishahamia Los Blonco haha mapema utue kwa Gravenberch 🙌🔥🔥🔥

YNWA
 
Hebu muone huyu[emoji23][emoji23]
Kwahiyo umejipa ukubwa wa kulingana na VVD[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Jiweke Kwa watoto wenzio akina Trent[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
VVD ni Baba..VVD ni kila kitu pale nyuma.

Brother yule kaniacha kidogo sana”,.

Ynwa
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hahaha tazama tabasamu maridadi la Gravenberch hehe wewe utalegea tu n kumkacha Trent akishahamia Los Blonco haha mapema utue kwa Gravenberch 🙌🔥🔥🔥

YNWA
Trent akihama nahama naye
Alipo nipo.
Hivi unaelewa kweli ninavyosema Nampenda Trent?😂😂😂
 
Trent akihama nahama naye
Alipo nipo.
Hivi unaelewa kweli ninavyosema Nampenda Trent?😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Na uhame na Liverpool nikuone 🤣🤣🤣am at peace roho safi kwa Gravenberch aka mkata umeme mwenye babyface anateleza tu na kijiji kama hayupo ujue....

YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…