Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Huyu jamaa ukute walimuwangia Salah usiku wakamnyoa kweli🤣🤣🤣🤣🤣Malafyale huyo..
YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa ukute walimuwangia Salah usiku wakamnyoa kweli🤣🤣🤣🤣🤣Malafyale huyo..
YNWA
Naomba kuelewa kuhusu UCL ya msimu huu njia itakayotumiwa kumpata bingwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hahaha tazama tabasamu maridadi la Gravenberch hehe wewe utalegea tu n kumkacha Trent akishahamia Los Blonco haha mapema utue kwa Gravenberch 🙌🔥🔥🔥We
Trent wangu halinganishwi na yeyote..
Yaani Trent hana mbadala aisee...I love Trent very much.
Angalau ungesema Gakpo
Japo bado hawezi kuchukua nafasi yake.
Hebu muone huyu[emoji23][emoji23]
Kwahiyo umejipa ukubwa wa kulingana na VVD[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Jiweke Kwa watoto wenzio akina Trent[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
VVD ni Baba..VVD ni kila kitu pale nyuma.
Trent akihama nahama naye🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hahaha tazama tabasamu maridadi la Gravenberch hehe wewe utalegea tu n kumkacha Trent akishahamia Los Blonco haha mapema utue kwa Gravenberch 🙌🔥🔥🔥
YNWA
2000.comBrother yule kaniacha kidogo sana”,.
Ynwa
Soon Miss Liverpool ana mdiss dogo Trent na kuhamia kwa mtawala dimba G baby face[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
YNWA
Anza kum follow kwenye social media accounts zake na uwe una m DM piaTrent akihama nahama naye
Alipo nipo.
Hivi unaelewa kweli ninavyosema Nampenda Trent?😂😂😂
Nimecheka kwa sauti 🤣🤣🤣🤣Huyu jamaa ukute walimuwangia Salah usiku wakamnyoa kweli
Washindwe kumpata waliye naye Anfield hukoAnza kum follow kwenye social media accounts zake na uwe una m DM pia
Uwii
Ishia kwanza hapahapa
Ushaanza kunichanganya.
Bobby leo unachekaNimecheka kwa sauti 🤣🤣🤣🤣
YNWA
Tutarudia tena hapohapo tulipoishiaBasi”,.
Tukutane kipindi kijacho”,..
‘Ynwa’
2000.com
Katika ubora wako wa kujikuza
Umekuwa msemaji wangu eeh?Tayari bado official announcement.
Watoto bwanaHeheh ndio uhalisia”,.. bibie
Na Mimi ni Mwanafunzi wako pia, shusha matilio mkuu, Dada yako nita m mention hakuna shakaBasi”,.
Tukutane kipindi kijacho”,..
‘Ynwa’
Its a matter of when not whats if..... Hahaha...Tayari bado official announcement.
🤣🤣🤣🤣🤣Na uhame na Liverpool nikuone 🤣🤣🤣am at peace roho safi kwa Gravenberch aka mkata umeme mwenye babyface anateleza tu na kijiji kama hayupo ujue....Trent akihama nahama naye
Alipo nipo.
Hivi unaelewa kweli ninavyosema Nampenda Trent?😂😂😂
That was 2010Umesema Rais anaanguka