😂😂😂
◼️ Alexis Mac Allister 🇦🇷 ana kastori kake ka kusisimua
Ameshinda World Cup na Copa America kabla hata haja cheza michuano ya UEFA Champions League,
Ndani ya msimu wake wa kwanza katika michuano ya UEFA Champions League ni msimu huu ambao ana itumikia Liverpool
Mpaka sasa Amecheza michezo yake miwili ya UEFA Champions League katika maisha yake ya mpira na hatimae ndani ya michezo hio hii leo amefunga goli lake la kwanza kabisa katika michuano hio.
◾Made in Liverpool
Actually Macca tangu aje Liverpool anacheza out of position... Mtazame Argentina ndio utaelewa tu nakosa nini dogo kutocheza near opposition box...
YNWA
Kwahiyo unatafuta backup kwa Bobby[emoji16]
Sasa mtoto umri wa kina Gakpo kweli tuanze kushindana!?
Ona sasa
Unaanza kumjaza Bobby maneno
Hee
Kumbe kuna hela nyingi hivi na hamsemi!
Trent inabidi tuanze kugawana naye anazopata.
Never ask a woman her weight, Never ask a man his salary. Never ask Liverpool fans what happened on January 26 at 10:36.
View attachment 3114620
View attachment 3114622
Mtazame Macca wa Brighton ni balaaa.
Mtazame Szoboszlai wa Red Bull yaani ni tishio.... Haya mambo ya kuwahamisha namba walizozoea yanatunyima sana burudani
YNWA
He is still a young boy akitulia Liverpool nina imani DM mwenye namba yake akitua we have our very own KDB in Macca..... Time will tell.Pale 10 ndio pake. Utapata ubora wa Macca,. Attribute alizonazo za kukaba umpeleke offensively pale no. 10 utapata balance nzuri sana.
Ynwa’
Hughes hana uwezo kwa kweli... Angekaa na data team haya mambo wala tusingefika huku kama Zubimendi aligoma basi wangetua kaa Ederson wa Atlanta na Unapata almost same output actual with small wage....Szobo anacheza pale 10 ila role yake inaongezewa kitu kingine inaya mlimit ubora wake, Macca ndio kabisaa karudishwa nyuma hatua moja nyuma from his natural position. Ila kumkosa natural no.6 the animal, beast one ndio chanzo cha haya mambo.
Ynwa’
Kumbe!Kwenye contract, kuna sehemu za bonuses, hapo ndipo wanapopigiga hela za kubeti na za weekend,
Ynwa’
Mcheki huyu dogo jamaniWakubwa tunajuana haina haja ya kujazana”,.
Sasa ukijiona unajilinganisha na akina Gakpo sijui VVD,ujue we ni kinda.Wewe huyu Gakpo kakuacha kama mitatu hivi na mie ni mkubwa kwake”,..
Ynwa’
Si unatafuta msaada wa BobbyNajitetea mwenyewe mbona”,.
Baby wangu analia JamaniNever ask a woman her weight, Never ask a man his salary. Never ask Liverpool fans what happened on January 26 at 10:36.
View attachment 3114620
Asante sana Mkuu.Kama umeona standing ya CL ya sasa ilivyo maana yake, nane wa juu kutokea 1-8 hawa wanafuzu moja kwa moja. 8-24 hawa watapangwa mtoano H/A, wakipatikana washindi nane kuanzia 8-24, wataungana na wale washindi wa 1-8 jumla watakuwa 16, kuanzia hapo tunarudi kwenye traditional way H/A Knockout.
Hughes hana uwezo kwa kweli... Angekaa na data team haya mambo wala tusingefika huku kama Zubimendi aligoma basi wangetua kaa Ederson wa Atlanta na Unapata almost same output actual with small wage....
YNWA