Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
◾Luis Diaz 🇨🇴 na Cody Gakpo 🇳🇱 hawa ndio wachezaji wanao muumiza kichwa kocha wa Liverpool Arne Slot 🇳🇱 mpaka sasa.
Yani anae anza ana stahili kuanza na anae subiri nje pia nae ana staili kuanza pia kwakuwa uwezo nimkubwa pia.
Kazi kwake Bwana Arne Slot, kitu pekee mashabiki wana penda ni matokeo sahihi tu.
▪️Made in Liverpool
Yani anae anza ana stahili kuanza na anae subiri nje pia nae ana staili kuanza pia kwakuwa uwezo nimkubwa pia.
Kazi kwake Bwana Arne Slot, kitu pekee mashabiki wana penda ni matokeo sahihi tu.
▪️Made in Liverpool