The MoNA mkuu vipi mbona huyu Szobo amekuwa na kigugumizi sana kwenye kufanya maamuzi ?
Na game analysis mkuu tunaomba
10 wins in his first 11 games.
No manager in Liverpool history has had a better start than Arne Slot. #lfc
The MoNA basi la Slot nilishalipanda zamani sana
View attachment 3131096
Mkuu huoni Kama Szobo Akipunguza runs kuna shida tutapata???. Huyu nadhani ni workhouse wa Slot na anaifanya vyema kazi yake ya kwanza. Hii ya pili anahitaji utulivu tu akipata nafasiNafikiri ni jukumu la Slot pia hilo, apunguzie runs na kumfanya aongeze namba (goals & assists).. amfanye aenjoy kucheza as our 10 not just run and run and run with 0 goals & 0 assist.
Szobo wa Hungary na LFC ni wachezaji tofauti in term of number, sijajua anatumikaje kule kwani sijaangalia game zao, ila no zinakuonesha.
Ynwa
NdipMambo vip Kopps?
Kutoka pwani ya africa mashariki Naitakia LIVERPOOL ushindi mwema dhidi ya rent boys.
Nawapata vizuri hapo studio za Liverpool halisi Saint Anne Captain Marvelous Manyanza
zumbemkuu
Tupo pamoja sana na Mungu atubariki sote.
Chelsea wakikuona wewe ni black na una marasta basi wanakusajili.Marasta wanaruka na kukanyagana
Wote wamesimama
Wanaruka kinyama
Imagine mtu ni kolo
Afu ni marasta
Kumbe upoooo Mkuu. Long time. Pole kwa kipigo jana.Nani kakwambia tunajiona under dogs bali wakati ndio tupo bora sana na confidence ya juu labda unaizungumzia Chelsea ya Graham Potter
Bila shaka matokeo unayo. Mdogo mdogo Slot anachaja mbuga. Gemu 10 EPL amepotoeza 1 tu aisee haijawai kua bora namna hii.Mambo vip Kopps?
Kutoka pwani ya africa mashariki Naitakia LIVERPOOL ushindi mwema dhidi ya rent boys.
Nawapata vizuri hapo studio za Liverpool halisi Saint Anne Captain Marvelous Manyanza
zumbemkuu
Tupo pamoja sana na Mungu atubariki sote.
😂😂😂😂Atulie dakika 97+ alikua uwanjani akachemka.Enzo Maresca on Anfield:
“The only thing I can say that sometimes in this stadium some decisions are for the noise of the crowd.” (Sky)
🤣🤣🤣
Mbaga Jr msome hapa boss wenu
Asante mkuu ndio mpira ulivyo una furaha na huzuniKumbe upoooo Mkuu. Long time. Pole kwa kipigo jana.
YNWA
Dogo jana kanishangaza kabisa.
Bwana Kocha mmepata. Mpeni muda.Asante mkuu ndio mpira ulivyo una furaha na huzuni
Hata nyie mna kocha mzuri mngewapa muda Palmer na Madueke tungeongea mengine but kocha wenu akaja na plan ya kublock Palmer na kuweka watu wengi upande wa MaduekeBwana Kocha mmepata. Mpeni muda.
YNWA
Acha uongo bintiMechi dhidi ya Chelsii haijawahi kuwa rahisi siku zote
Ni Moja kati ya timu ambazo mechi zake natazama huku presha ipo juu sana
Ila bahati huwa upande wetu
YNWA[emoji1533]
Mkuu huoni Kama Szobo Akipunguza runs kuna shida tutapata???. Huyu nadhani ni workhouse wa Slot na anaifanya vyema kazi yake ya kwanza. Hii ya pili anahitaji utulivu tu akipata nafasi