Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu The MoNA tunaomba gemu analysis

Bado watu hawafurahishwi na uchezaji wa Liverpool ila wakiangalia score board & table wanajikuta kutabasamu.

Thats football, kuna watu wanakwambia Madrid haileweki aina ya mpira wanaocheza, unaweza kuvaana nao vizuri ila wanaweza kupata goli from nowhere, pamoja na hayo imefanya wamekua giants kwa muda ndani na nje ya Hispania, ulaya na hadi duniani.

Al Ahly ya nchini Misri kwa miaka ya hivi karibuni wamekuwa na mfululizo wa matokeo mazuri ila ndani ya uwanja hawaoneshi soka la kuvutia lkn kwenye trophies wamo season in season out, hata moja la ndani watabeba, nadra sana kutoka kapa.

Ilikuwa hivyo kipi cha Sir Alex na utd yake. Na kinyume chake Mzee Wenger na soka lake lenye mvuto wa aina yake, ila kombe lake kubwa FA & Top Four, its a matter of Choice. Kwenye mpira performance ni ya wakati huo ila makombe ni ya muda wote. Ni sawa na ambao hatukumuona Pele, Maradona na wengine, ambao ni miongoni mwa magwiji wa soka, historia yao inaendana na mafanikio ndio maana inakuwa rahisi kutukuzwa kwenye mpira.

Leipzig vs Liverpool:
Mpira ulikuwa mzuri, hakuna kuogopana, njoo nikiupata nakuja, njoo mie nakusubiri nikiupata nakuja.

Kwenye muundo wa pressing 3-2-4-1 ndio ulitumika kuwakabili Leipzig, anaanza Nunez kufuata mpira ili kuwafanya Leipzig waanze mashambulizi kwenye third yao, baadae Macca anasogea mstari wa juu kuungana na Salah, Gakpo, Szobo wanatengeneza line ya watu wanne, nyuma yao Trent anasogea mbele kuungana na Gravern kwenye ile 2 na nyuma ni Vvd, Konate na Tsimi.

Leipzig hii ni kwa ajili ya kukaba spaces mapema zisiwafikie Haidara, Simon na Sesko ndio Silaha yao. Macca alicheza kwenye advance role zaidi ya tulivyozoea kumuona akicheza.

Thats how we try to grab all three points.
Kudos to Kelleher he had a good game 6 crucial saves superbly. Anapokea £10k per week. He deserves more MOTM.

Two offsides goal, with offside trick applied part of the game,

The problem with LFC apart from getting positive results, we are lacking killers upfront. Yaani inategemea na wameamkaje siku husika.

Nunez as ST na role ya kurudi chini kusaidia kuzuia, kidogo anaitendea haki kutoka game vs CFC


Slot anajaribu sana, ku manage wachezaji, mechi ni nyingi unawahitaji wachezaji wote wakiwa fit mpaka mwisho wa msimu.

Salah alinunua baada ya ile Sub lkn Slot alielewa utanuna but we need you coming matches we play as a team not individual, hizi individual zitakukutea humo humo kwenye team.

Gravern amekuwa top player ndani ya LFC, (ukiaminiwa aminika), Amekuwa tegemezi tayari. Its up to Jones aoneshe ukomavu wake.

Good defence with good defending abilities, wanaweza kukupa mataji but a well balance team inakupa muendelezo chanya.

Kati ya zile mechi ngumu mbili tayari with three points in the bag.

Chelsea[emoji736]
Leipzig [emoji736]
Arsenal…..[emoji2375]

Up reds
Up LiverpoolFc

Ynwa’
 
Mbona hapewi nafasi sasa ??

Kutopewa nafasi kwa mchezaji kuna mambo mawili:-

1. Ama kocha havutiwi na uchezaji wako
Au
2. Haujafikia level anazotaka kocha.

Remember last season ilimchukua karibu miezi miwili kuaminiwa na Klopp hapo ni baada ya kuumia Macca, alivyopata nafasi alionesha uwezo wake.

Sababu zote hizo sio dhambi ni kawaida kwenye Mpira. Kutokukuelewa kocha haimaanisha hauna uwezo huo, maana unaweza kuaminiwa ila pia uwezo ukawa mdogo.

Kwa case ya Endo ni mchezaji ambaye ana struggle kucheza na tight spaces, yes kwa sababu he is not a ball carrier mzuri, na kwa makocha wanaopenda Possession football wanapenda hata uwe DMF atleast uwe na mbinu mguuni, umepokea umetembea nao sekunde mbili, lakini mtazame Endo mara chache sana atafanya hivyo.

Unaweza kusema Endo is not enough kwenye Slot system (kwa mtazamo wa Slot na jopo lake) ni kama vile tulivyoona Gravern ni failure kwenye mfumo wa Klopp. Wachezaji wenye kuishi kwenye mfumo wowote ni wachache sana hasa kwenye MF, ndio maana kiswahili tunawaita viungo, kazi ya viungo kwenye mapishi tunajua ni nini.

Wakati anasajiliwa, watu waliuliza kama ni mzuri wa kiwango hicho, alikuwa wapi asizungumzwe na media na vilabu vikubwa vimuwanie mpaka aonekane na timu kubwa na kocha mkubwa kama Klopp at the age of 30? Na alikuwa hapo to Bundesliga ya Ujerumani akitokea Belgium.

Tuseme Slot anaogopa kujaribu combo nyingine ?? Loads of game to come may be he will shine again like City’s match at Anfield.

We will know why Slot hampi some mins that guy…!!! I myself wish to see him on the pitch again atleast 30-60 mins each match, Slot asisubiri injuries and suspension zimnyumbue, zinaweza kulipa na zisilipe.

Ynwa’
 
Hao wawili wa mwisho ni very ordinary

We are underestimating our Japanese guy
Mkuu ukipata muda kucheki mechi za Atlanta utaelewa huyu dogo Ederson sio ordinary as that....
Japanese guy yupo on th wrong side of 30 na alisajaliwa kwa mwendo kasi baada ya Fabinho kusepa na pia ni usajili wa squad player only that dogo yupo gifted aisee na sioni akibakia Liverpool muda mrefu sana... Wafaransa walimhitaji wakawa overpriced na Liverpool but kwa dakika anazopata kwa sasa naona hata yeye atafosi kusepa.

YNWA
 

Gabriel Agbonlahor:

“Mo Salah, where do you start? The way he was bullying the Chelsea defence, I want to know what Mo Salah eats. I want to know his workouts because he is so strong. He took his penalty very well – no-nonsense, no casual run-up, run up to it and put your foot through it. Goal.

“Also, his ball for Curtis Jones’ goal was outstanding. Not many players see that and he was making these sorts of balls and passes all game. His vision is out of this world.”
 
Wataru Endo's stance on quitting Liverpool as midfielder struggles under Arne Slot.

Wataru Endo has struggled for game time under Arne Slot in his second season at Liverpool.

Wataru Endo wants to stay and fight for his place at Liverpool although he has only played six minutes of Premier League football so far this season.
The defensive midfielder, who captains Japan, proved a major hit under Jurgen Klopp during his debut campaign at Anfield following a surprise £16.2million switch from Stuttgart last August.

But he isn't as suited to new boss Arne Slot's style and has only started one of Liverpool's 10 matches inacrossall competitions so far this season.
Yet the 31-year-old intends to stay and fight for his place on Merseyside. He has no plans to pursue a January exit.

Italian giants Inter Milan have been credited with an interest in the combative midfielder, who is confident his chance to break into Slot's starting XI will come in due course.

( He is one of the main back-up options to first-choice pairing Ryan Gravenberch and Alexis Mac Allister. )


Marseille also saw an £11.8m bid rejected for Endo in July before tying up a deal for Tottenham's Pierre-Emile Hojbjerg.

Slot recently declared Endo's all-action, five-minute cameo in the recent 1-0 win at Crystal Palace "says a lot about him as a person".
 

I wish to see Samurai once again akiwa uwanjani na ubora wake, tuongeze depth.
You have Gravern, Macca, Szobo, Jones, Endo, Elliot na wote wapo on peak, we can’t count atleast a trophy this season,

Ynwa’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…