King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,117
- 6,897
Saint Anne sijakuzoea kuwa kimya hivi naomba uchambuzi wako kwa Kellehar kwenye game ya juzi v/s Newcastle United
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na always hawa jamaa wametuzia kuchukua ubingwa
2014 wakaachia 3-0 kilaini vs City
2019 sare i think ukiacha Origi magic
2023. Wakatupiga 1
Zote hizo zimetukosesha ubingwa
+ jeraha la VVD la kutaka kuharibu career yao
Sikuangalia mechiSaint Anne sijakuzoea kuwa kimya hivi naomba uchambuzi wako kwa Kellehar kwenye game ya juzi v/s Newcastle United
Salah anatetea ugali wake kibishi sanaa yaaani anapambana uwanjani na media nako anaongea ya moyoni, mambo ni mawili tu nipeni pesa ama naaodoka nikiwa motoo🔥 🔥 na wahitaji ni wengi akisema hasaini dogo asubuhi tu biashara ishaisha.Ni aina za mechi unafungwa kwa passion,
Hahahah yaani mmewawin angle yote ila ubishi unaotona na passion, hamu ile ya tuwapunguze points hawa jamaa ama draw au tuwafunge” hiyo inakuwa headline jijini kwa weekend.
Dyche najua mpaka sasa anawaza 4-5-1, italigwa mid low block ya maana sana aisee,
But i see good win, Salah on a score sheet akiendelea kuwauliza FSG vipi mnatoa mkataba au bado, anajiondoa kwenye lawama pole pole.
Ynwa’
Kipara anapigana vijembe tu huko mtandaoni na MorinhoSalah anatetea ugali wake kibishi sanaa yaaani anapambana uwanjani na media nako anaongea ya moyoni, mambo ni mawili tu nipeni pesa ama naaodoka nikiwa motoo🔥 🔥 na wahitaji ni wengi akisema hasaini dogo asubuhi tu biashara ishaisha.
Lol Manchester City again haha hii EPL hii haya bado mapema sana kuchekelea lakini dalili ni kwamba kipara anateseka mno hajui afanye lipi kwa sasa amebaki ana beti...
YNWA
Na always hawa jamaa wametuzia kuchukua ubingwa
2014 wakaachia 3-0 kilaini vs City
2019 sare i think ukiacha Origi magic
2023. Wakatupiga 1
Zote hizo zimetukosesha ubingwa
+ jeraha la VVD la kutaka kuharibu career yao
Halafu mara nyingi mechi 5 au 6 za mwisho lazima either Everton or Worst man united na wanatuzuiaIt is their pride, na inakuwa kama Cup won kwao.
Hapo tumeongezekewa na ugumu wa jan - march, atachomekwa hapo katikati.
Anyway ku rest tutapata, na probably tutakuwa on fire majority watakuwa wamerudi, kama hatutakuwa na injuries.
Ynwa’
Salah anatetea ugali wake kibishi sanaa yaaani anapambana uwanjani na media nako anaongea ya moyoni, mambo ni mawili tu nipeni pesa ama naaodoka nikiwa motoo[emoji91] [emoji91] na wahitaji ni wengi akisema hasaini dogo asubuhi tu biashara ishaisha.
Lol Manchester City again haha hii EPL hii haya bado mapema sana kuchekelea lakini dalili ni kwamba kipara anateseka mno hajui afanye lipi kwa sasa amebaki ana beti...
YNWA
Halafu mara nyingi mechi 5 au 6 za mwisho lazima either Everton or Worst man united na wanatuzuia
Salah anataka kuvunja record zote pale liver ndomana anataka abak na sidhan hela anayo taka nikubwa sana kuliko atakayo pata kule uarabuniSalah anatetea ugali wake kibishi sanaa yaaani anapambana uwanjani na media nako anaongea ya moyoni, mambo ni mawili tu nipeni pesa ama naaodoka nikiwa motoo🔥 🔥 na wahitaji ni wengi akisema hasaini dogo asubuhi tu biashara ishaisha.
Lol Manchester City again haha hii EPL hii haya bado mapema sana kuchekelea lakini dalili ni kwamba kipara anateseka mno hajui afanye lipi kwa sasa amebaki ana beti...
YNWA
🤣🤣🤣 hali ya kipara naona ni mbaya kwake kwa sasa, mpaka kaanza vijembe 🤣Kipara anapigana vijembe tu huko mtandaoni na Morinho
Sikuangalia mechi
Salah anatetea ugali wake kibishi sanaa yaaani anapambana uwanjani na media nako anaongea ya moyoni, mambo ni mawili tu nipeni pesa ama naaodoka nikiwa motoo🔥 🔥 na wahitaji ni wengi akisema hasaini dogo asubuhi tu biashara ishaisha.
Lol Manchester City again haha hii EPL hii haya bado mapema sana kuchekelea lakini dalili ni kwamba kipara anateseka mno hajui afanye lipi kwa sasa amebaki ana beti...
YNWA
Sijasikia hataLake ni si ulipata kusikia habari zake? Haya naomba kusikia kwako hicho ulichokisikia amekifanya.