Sasa mbona unamuambia aje kwetu wakati sisi ndio vinara wa ustaarabu? Hao wengine sawa, ila hapo kwetu umekosea.Huu uzi ni Wastaarabu sana Kijana, ukitaka sifa, Kiki za kijinga tembelea nyuzi za Man U, Arsenal au Chelsea.
Huwa watu hujadili football bila kejeli, matusi na lugha zisizo na staha.
Kwa kifupi humu huwa tunasambaziana upendo kwa kupeana taarifa na uchambuzi ulioshiba wala sio ujinga, kejeli na maneno yaliyokosa staha.
Sorry man πππSasa mbona unamuambia aje kwetu wakati sisi ndio vinara wa ustaarabu? Hao wengine sawa, ila hapo kwetu umekosea.
ππSasa mbona unamuambia aje kwetu wakati sisi ndio vinara wa ustaarabu? Hao wengine sawa, ila hapo kwetu umekosea.
Tena ana bahati sana umemjibu kwa kiswahili ili aelewe na aelimike japo kidogo. Ungekasirika umgemjibu kwa Kiingereza kama ilivyo kawaida ya jukwaa hili, akabaki anaduwaa tuSorry man πππ
Kuna vijana wa hovyo sana, mpira wa ulaya ni burudani lakini wao huja na ushabiki maandazi wa Simba na Yanga mpaka kwenye nyuzi kama hizi
HahahahaaaaaRefa amalize mpira tuu, watu wanaishi mbali
Unaendeleaje mkuu πHawa fulham walikua wanataka kutuadhirisha
Sasa ni kichapo tu
Tena huyo Brentford nuksi sanaFulham,watford,newcastle,notingham ,brentford hawajawahi kuwa wepesi
A hard working horse[emoji16][emoji16][emoji16].......DEAD PLAYER [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 3176732