Wewe unapiga niniHizi draw mnapiga hizi
Huyo mchezaji sio potential, yupo kutuharibia tuuQuansah anapoteza confidence, muoga wa kufanya marking yenye nguvu ya kumvuruga mpinzani akiwa anashambulia.
Mpaka commentator kaliona hilo leo maana nilijua naliona mimi tu.
Aanze tuu kujifunza kiarabu, amechoka[emoji16][emoji16][emoji16].......DEAD PLAYER [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 3176732
Quansah kwa sasa hawezi kutusaidia aisee,kuna ile moja mpira wa juu kumrudishia tu goli kipa akatoa,Fulham wakapata konaQuansah anapoteza confidence, muoga wa kufanya marking yenye nguvu ya kumvuruga mpinzani akiwa anashambulia.
Mpaka commentator kaliona hilo leo maana nilijua naliona mimi tu.
Chelsea hatuna habari na ubingwa sisi tunashinda mechi zetu tu na tuna enjoy football kama bonanza ,msitutwishe majukumu mazito kwanza sisi tunataka kushiriki europa maana sasa tupo conferenceChelsea sasa ni tishio kwetu, kwa hizi sare sare za individual errors zitatukosesha ubingwa. Na ndio tunakosaga ubingwa kwa staili hizo za makosa binafsi
This man is talented.Gravenberch π₯π₯
Mkuu kwani ligi imeisha? Hata round ya kwanza haijaisha.Chelsea sasa ni tishio kwetu, kwa hizi sare sare za individual errors zitatukosesha ubingwa. Na ndio tunakosaga ubingwa kwa staili hizo za makosa binafsi
Mimi nilikuwa namuona CM MARA YUKO CB,This man is talented.
Kuna sehemu anapenya mpaka unajiuliza Henderson hivi vitu angeviwezea wapi .
Alikiwasha ajax ile iliyoitetemesha kina madrid na juve, kaitwa hadi national team, umaarufu ukapotea kiasiKuna Dogo anacheza Napoli anaitwa David Neres,, winger ya kushoto, huyu dogo anamwendo kama Sane,, kipara akimuona sidhani kama atamuacha.
Hata round ya kwanza hamjaimaliza unazungumzia ubingwa kweli?Chelsea hatuna habari na ubingwa sisi tunashinda mechi zetu tu na tuna enjoy football kama bonanza ,msitutwishe majukumu mazito kwanza sisi tunataka kushiriki europa maana sasa tupo conference
Dogo wamoto sana mwili wake na stamina haviendani, mwili mdogo stamina kubwa.Alikiwasha ajax ile iliyoitetemesha kina madrid na juve, kaitwa hadi national team, umaarufu ukapotea kiasi
Liverpool shida hii
Oya madogo hebu huu uchawi achaneni nao siku nyingi msirudie tena kuja kutuwaingia humu π€£π€£π€£Nikiwa kama shabiki wa Fulham, sijafurahishwa na uwezo wa wachezaji wangu wa Fulham π
Kesho tutawaonesha kuwa Brentford Ni mrahisi kutokana na ubora wetuChelsea sasa ni tishio kwetu, kwa hizi sare sare za individual errors zitatukosesha ubingwa. Na ndio tunakosaga ubingwa kwa staili hizo za makosa binafsi
πππππππ Liver jau kaka daaahOya madogo hebu huu uchawi achaneni nao siku nyingi msirudie tena kuja kutuwaingia humu π€£π€£π€£