Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Pharao kwenye game 16 amefunga na kuassist katika game 14

Huyu ni goat hapa anfield

Huyu angekuwa Muengereza angewekwa level kubwa zaidi ya Steven Gerrard lakini sema ndiyo hivyo hatokei nchini kwao.

Imagine Jordan Henderson kabla hajaleta shombo baada ya kuachwa na Klopp waingereza walitaka tuamini kuwa ni best Captain ever.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…