choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
IBOU pale tuna bekiKusema ukweli ni kama confidence ya AB golini imepungua. Kelleher haya magoli aliyofungwa Allison recently ange save most of them.
Japo tuna lapse of concentration pale nyuma tukiwa under pressure. Defence yetu inakuwa very unexpectedly porous at times.
I hope Konate atarudi mapema labda ile solidity tuliyokuwa nayo itarejea na cleansheets zitarejea.
Watu hawataki kukubali ukweli kwamba Kelleher amekuwa na form nzuri kumzidi Allison.Kusema ukweli ni kama confidence ya AB golini imepungua. Kelleher haya magoli aliyofungwa Allison recently ange save most of them.
Japo tuna lapse of concentration pale nyuma tukiwa under pressure. Defence yetu inakuwa very unexpectedly porous at times.
I hope Konate atarudi mapema labda ile solidity tuliyokuwa nayo itarejea na cleansheets zitarejea.
Dooh 😅Watu hawataki kukubali ukweli kwamba Kelleher amekuwa na form nzuri kumzidi Allison.
Everton hawezi kutubeba hata iweje....alipo hizo sare anapigania roho yake. Aliko hana uhakika wa kubaki kwenye EPL ana hali si nzuri so anahitaji points sanaWakuu heri ya sikuku ya xmass.
Hongereni kwa ushindi mzuri wa jana usiku dhidi ya leicester city wa 3-1.
Eveton wamekuwa wakitubeba kiaina japo ni mahasimu wetu. Kwenye game zao 7 wamepoteza game 1dhidi ya United.
Wameshinda game 1 dhidi ya Wolve.
Game zilizobakia katoa sare dhidi ya westham united, Brentford, Arsenal, Chelsea na City jana.
Game yetu na wao iliahirishwa. Kwangu naona kama kwa upande wetu ilitulipa. Acha ibaki kama kiporo wakati tunaendelea kutoa adhabu kali kwa wengine.
City kwa sasa sio washindani wetu tena. Chelsea nao kumbe ni homa za mara kwa mara, hawana pumzi. Tuna kila kitu cha kutufanya kumaliza hii mission..
Next game ni vs Westham huko london
Mnashinda magoli sita mnafungwa magoli yote matatu!Dooh 😅
Msubirini mwanangu huyoMpigie simu aisee Kijana wako
Mwanao yupo nchi gani aisee?Msubirini mwanangu huyo
Atakuja mida ya saa6
Tanzania hapahapa mdogo wetu,Mwanao yupo nchi gani aisee?
Ndio kubwebwa kwenyewe kiana huko. Na pale juu nimesema japo ni mahasimu wetu.Everton hawezi kutubeba hata iweje....alipo hizo sare anapigania roho yake. Aliko hana uhakika wa kubaki kwenye EPL ana hali si nzuri so anahitaji points sana
Toka ajijue ni gwiji la chambuzi hapa jukwaaniSaint Anne mbona mdogo wako anatujeuria? Hataki tukavimbe kwenye ma group ya WhatsApp? 🤣🤣🤣
The MoNA uko wapo Mtaalam?
Walitukomoa msimu ambao tunawahitaji watubebe, wakampa City ushindi rahisi kweli kweli tukazidiwa point 1, wakati walitakiwa kukomaa na sare tu.Ndio kubwebwa kwenyewe kiana huko. Na pale juu nimesema japo ni mahasimu wetu.
Kuwasimamisha Arsenal, chelsea na city si ametusaidia lakini? Japo naye anajipambania?