Sasa tupambane kushinda mechi tano zijazo zikiwemo ya Pep na Aterta Baada ya hapo tutakuwa na uhakika wa asilimia kubwa sana ya kunyanyua kwapa. Maana si kwa kupambana huko kusajili wachezaji hasa hasa yule prince wa Misri-Marmoush na Zubimendi, imeniuma sana kuishia njiani kuwafuata hawa
Yaani tumuombe msamaha kwa ujinga wake wa kushindwa kufunga magoli na wakati ndio kazi yake !
Liverpool in the Premier League this season;
β«οΈMost points [50]
β«οΈMost goals [50]
β«οΈMost wins [15]
β«οΈFewest defeats [1]
β«οΈHighest GD [+30]
β«οΈMost clean sheets [9]
β«οΈPL top scorer [18 - Salah]
β«οΈPL most assists [13 - Salah]
League Leaders for a Reason π₯πͺπ»π€«
π€£π€£ππππππMie nipo hapa ataku sapraizi tenaaaYaani tumuombe msamaha kwa ujinga wake wa kushindwa kufunga magoli na wakati ndio kazi yake !
π€£π€£ππππππMie nipo hapa ataku sapraizi tenaaa
YNWA