Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tupambane kushinda mechi tano zijazo zikiwemo ya Pep na Aterta Baada ya hapo tutakuwa na uhakika wa asilimia kubwa sana ya kunyanyua kwapa. Maana si kwa kupambana huko kusajili wachezaji hasa hasa yule prince wa Misri-Marmoush na Zubimendi, imeniuma sana kuishia njiani kuwafuata hawa
Yaani tumuombe msamaha kwa ujinga wake wa kushindwa kufunga magoli na wakati ndio kazi yake !
Liverpool in the Premier League this season;
▫️Most points [50]
▫️Most goals [50]
▫️Most wins [15]
▫️Fewest defeats [1]
▫️Highest GD [+30]
▫️Most clean sheets [9]
▫️PL top scorer [18 - Salah]
▫️PL most assists [13 - Salah]
League Leaders for a Reason 🔥💪🏻🤫
🤣🤣😂😂😂😂😂😂Mie nipo hapa ataku sapraizi tenaaaYaani tumuombe msamaha kwa ujinga wake wa kushindwa kufunga magoli na wakati ndio kazi yake !
🤣🤣😂😂😂😂😂😂Mie nipo hapa ataku sapraizi tenaaa
YNWA