Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Lazima tukubali matokeo ya mpira ni mchezo wa kikatili sana klop aliwahi panga chekea kama hivi first eleven ikiwa Qatar world club champion ilikuwa siku nzuri timu ikashinda elliot imekuwa ni bad luck kama siku siyo hata wangekuwa hao mahiri tungeondoka tu!
YWNA!
 

Yani no excuse kwenye uzembe wa jana.

This is the second mistake for Slot this season.
Ya kwanza ni against Forest ile ya Away.
Ya pili ni ya jana! Mistake yoyote ambayo inasababisha kupoteza kombe ni unacceptable.
 
Poleni title contenders wenzetu. Tuliwaaibisha sana kwa kufungwa na kutolewa na katimu tulikokazidi uwezo. Tukajua kuwa nyie hamuwezi kukutwa na noma hii. Tena kwa katimu cha daraja la mbali huko. Kumbe tumewaza sivyo...
Beauty of UK football pyramids.
One down, 3 to go.

YNWA
 
Yani no excuse kwenye uzembe wa jana.

This is the second mistake for Slot this season.
Ya kwanza ni against Forest ile ya Away.
Ya pili ni ya jana! Mistake yoyote ambayo inasababisha kupoteza kombe ni unacceptable.
Jamani. Si mlikuwa mnasema wenyewe humu kuwa Slot apewe muda, anajenga tu timu, makombe ni majaliwa....

Leo mnakuwa wakali baada ya kuona uwezo wa kushinda ni mkubwa hivyo hamstahili chini ya makombe manne?
 
Liverpool's physical metrics in the Premier League this season (per 90):

• Total distance covered: 20th

• Average speed: 15th

• High-speed running distance: 9th

• Sprinting distance: 3rd

The stats above point out to the fact that Liverpool's controlling games better these days and everything seems to drive towards efficiency. They sprint and run when it's needed!

Arsenal ranks 3rd for distance covered this season. This possibly points out to why they have more injuries than Liverpool. Under Klopp, Liverpool had lots of issues with injuries because of that high intensity football but Slot has turned the tide around.

BEN Football Theatre
 
Jamani. Si mlikuwa mnasema wenyewe humu kuwa Slot apewe muda, anajenga tu timu, makombe ni majaliwa....

Leo mnakuwa wakali baada ya kuona uwezo wa kushinda ni mkubwa hivyo hamstahili chini ya makombe manne?

Uwe unawatag waliosema.

Anayepewa Muda ni Amorim na Yule mwehu wa Chelsea kwasababu ndiyo wanaotengeneza Timu.

Lakini Arsenal na Liverpool hazipo kwenye building phase ni Timu ambazo zimeshatengenezwa hivyo Kocha anatakiwa kudeliver tu si venginevyo.

Makocha wa hizi hawana excuse yoyote kwenye kufeli kudeliver na wala si wa kustahamiliwa kwenye hili.

Sashivi hawatengenezi timu bali wanafanya adjustment tu kwa wachezaji.
 
Timu ambayo ikipoteza mchezo, mashabiki wake hawakosi sababu ya kwanini imefungwa, ni liverpool FC.
Hivi mnaona sisi tunaopoteza games tunapenda!

Ndiyo ujuwe kuwa mentality ya Liverpool ni tofauti na Timu nyengine.

Sisi Liverpool tuna winning mentality ndiyomana tunachukia sana kufungwa na tunahesabu kama ni jambo lisilokubalika.

Lakini nyinyi na Timu zenu muna Loser Mentality hivyo hakuna shida yoyote kwenu kufungwa na kujifariji kuwa Mpira una matokeo matatu.

Hapa sisi mpira una tokeo moja tu! Kushinda basi.

Usiposhinda hayo matokeo mengine wewe ni mwehu.
 
Timu ambayo ikipoteza mchezo, mashabiki wake hawakosi sababu ya kwanini imefungwa, ni liverpool FC.
Hivi mnaona sisi tunaopoteza games tunapenda!

Ndiyo ujuwe kuwa mentality ya Liverpool ni tofauti na Timu nyengine.

Sisi Liverpool tuna winning mentality ndiyomana tunachukia sana kufungwa na tunahesabu kama ni jambo lisilokubalika.

Lakini nyinyi na Timu zenu muna Loser Mentality hivyo hakuna shida yoyote kwenu kufungwa na kujifariji kuwa Mpira una matokeo matatu.

Hapa sisi mpira una tokeo moja tu! Kushinda basi.

Usiposhinda hayo matokeo mengine wewe ni mwehu.
 

Stats kama hizi ni useless hazina faida yoyote zaidi ya kuwapumbaza mashabiki.

Unakuta Mtu anapost "VVD never dribbled past kwenye michezo mitano iliyopita" na anaona ni bonge la Takwimu lakini unakuta kwenye hiyo michezo 5 anayoizungumzia Liverpool ina Cleansheet moja tu! Ebooo sasa hiyo takwimu ina faida gani? Ni useless 🚮🚮
 
Nadhani wewe ulikuwa mmoja wao. Nadhani kuna siku ulinipiga bonge la reply kwa lugha rasmi ya jukwaa la Liverpool (English) ukielezea jinsi ndiyo kwaanza Slot anajenga timu. Au sijui ulisema transition...?
 
Nadhani wewe ulikuwa mmoja wao. Nadhani kuna siku ulinipiga bonge la reply kwa lugha rasmi ya jukwaa la Liverpool (English) ukielezea jinsi ndiyo kwaanza Slot anajenga timu. Au sijui ulisema transition...?

Huyu aliyekujibu sio mimi, nadhani hata wewe unajua mimi post zangu si za kubishana au kujibu jibu watu ovyo.

Pia post zangu sio za kumuongelea Slot kwanza simjui kwa chochote huko alipotoka.

Pia Slot hatengenezi Timu bali anatumia Tumu iliyotengenezwa na Klopp! Ukiniambia anatengeneza mfumo wake mwenyewe wa uchezaji hapo nitakuelewa lakini sio kutengeneza Timu.

Msimu huu asingeshinda chochote kwa kuanza kuyumba tokea mwanzo wa msimu ningemuelewa kwasababu ni mpya wachezaji wanaingia kwenye mfumo mpya.

Lakini EPL anaongoza, Carabao yupo Fainali hivyo asiposhinda sasahivi basi hiyo ni bottling na atapaswa kuwajibika.
 
😛😛😛😛😛😛 Yanni jamaa unaongea kama vile mnamiliki mataji 13 ya ligi kuu tangu mwaka 1992 kumbe ni moja tu tena mlilipata wakati wa COVID 19. Sasa hiyo winning mentality huwa inawasaidia nini?

Tuwe wakweli kwa nafsi zetu, nafasi mliyopo kwa sasa hata ninyi hamkuitegemea bali imebebwa na form mbaya ya timu kama chelsea, man city na watoto wasiojua kushinda mataji arsenal!
Tofauti na hapo sioni maajabu ya maana sana toka kwa Slot ila narudia kusema ni zali tu limemkuta huyu jamaa.
 
You are right
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…