Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu unataka kusema na kumaanisha bora tungebaki na point 56 kuliko 57 tulizonazo sasa?

Hii point mnayoitumia mara kwa mara kops wenzangu ya bora kufungwa kuliko ku draw huwa inanitatiza brain sana kimahesabu. Hesabu nilizofundishwa zinakataa kabisa hiyo sentensi. Sijui ni kwangu tu au lah.
 
Tulivyoonyesha Michael Oliver ni kichomi tukaambiwa Arsenal tunadeka.

Jana ilikua red card festival

Jones na violent conduct ya kijambazi kabisa amepata kadi ya njano ambayo ilikuwa ya pili tu ndiyo ikampa kadi nyekundu. Hakupewa hata kadi nyekundu moja kwa moja kwa upanya road alioufanya.

Angekuwa mchezaji wa Arsenal sasa...
 
Nadhani wanamaanisha
Mechi kama ni mbili
Ni heri kushinda Moja na kupoteza moja kuliko kudroo zote.
 
wako yupo nafasi ipi?
Na wetu yupo nafasi ipi?
Au umesahau kocha wenu mpendwa wenger alikuwa mpiga madumuu hodari?
Ya pili
Ya kwanza
Sijaelewa

Arsenal imeanza ikiwa na injuries na inaendelea ikiwa na injuries hatuna shida na mtu
 
Fair results.

FA cup out kiporo kimechacha wachezaji waliopumzishwa Leo wamekuwa wazito sijui wamechakata sana mbususu
Kwenye derby bhana sare ya jana japo inatuumiza ni na matokeo safi kwetu any day of the week.
Ishu ni kwamba naona tuki drop tena pointi maana wachezaji ni kama wameanza kuchoka aisee.

Mechi 5 zijazo zitatupa picha kamili ya hizi mbio za ubingwa.

YNWA
 
Hapa wanamaanisha nini?
Washabiki wa Everton Walishika hilo bango jana, wanadai bora Kabati lisilo na makombe ni vyepesi kulihamisha kwa miaka 30.
Dongo walilotupiga ni kwamba miaka 30 hatujabeba EPL tulikuwa tunabeba vikombe vya hovyo(vidogo) kwahyo bora wao ambao hawakubeba kabisa maana kabati lao ni jepesi kuliko sisi ambao tumebeba uchafu tukajaza kwenye kabati.
 
Nadhani wanamaanisha
Mechi kama ni mbili
Ni heri kushinda Moja na kupoteza moja kuliko kudroo zote.
Kwahiyo kwa maoni yako ungetamani matokeo ya jana tupoteze kabisa ili mechi ijayo tushinde? 😄,

Kiukweli mimi nasema ushindi kwanza ndo kipaumbele, ikishindikana basi hata sare ni bora zaidi kuliko kupoteza kabisa, haijalishi mechi ngapi.
 
Tuna kiu tofauti kabisa na wamiliki aisee yaani FSG wao kumaliza big 4 ni ushindi na achievement na kusogea zaidi kwenye UCL pia kwao ni ushindi.
Mashabiki sie tunalia na makombe yenye mvuto kama EPL na UCL.
Ajabu ni pale unaona opportunity hii hapa ya kuchukua ubingwa aafu inakuja dirisha la January wenye timu wanakua default mode hawana jipya wakitegemea miujiza wa makocha na wachezaji hii imetukuta mara kadhaa na FSG hawapati somo kwamba huu sasa ndio wakati wa kukumbatia fursa pale Manchester City na Arsenal wanayumba kimatokeo...
Kwa kweli tunahitaji msaada wa wengine wampige Arsenal ili kuzidi kujiimarisha maana ni dhahiri kabisa peke yetu hatuwezi haya mamboz...
Too bad na Arsenal nao Wanamilikiwa na ma Yankees kama sisi, yaani imagine ingekua hizi fursa anazipata Roman wa Chelsea miaka hiooo tungeongea mengine kabisa.

YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…