Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na mimi kufukuzwa na asernal ndo kunanipa farajayaan kuna washabiki wa LFC wanaamini tutapoteza hili kombe kwa Arsenal?
Angekuwa Man City ningekuwa na hofu ila sio arsenal aise.
kwaiyo tusiombe kwasababu aston villa nao wanaomba mzee ahahahahahhKwani Villa hawaombi?
Tulikuwa wazembe kwenye dirisha la usajili litakalotokea na litokee tu, niko tayari kisaikolojia
yaan kuna washabiki wa LFC wanaamini tutapoteza hili kombe kwa Arsenal?
Angekuwa Man City ningekuwa na hofu ila sio arsenal aise.
Hakuna anayeamini kwa 100% kuwa tutapoteza hili kombe kwa Arsenal ila mimi ni katika wanaomini kuwa tunaweza kupoteza hili kombe kwa Arsenal iwapo wao wataendeleza Consistency waliyonayo ya sasahivi na sisi tutaendelea na Form hii ya sashivi ya kutokuwa na uhakika wa kushinda Away.
Mimi nishajiandaa kisaikolojia litakalotokea na litokee tuMechi mbili zinazofuata za Away versus Astonvilla & Man City zinaweza kutoa picha halisi wapi tunaelekea.
Mimi nishajiandaa kisaikolojia litakalotokea na litokee tu
Unavyoongea kama vile ushacheza umeshinda unatusubiri sisi sasa.Hzi mechi 2 mkijikanyaga na Arsenyau wakashinda za kwao....gepu litabaki dogo sana na hapo ndo Van dijk atakapoanza kuwakata mitama wenzake kwny dressing room maana yule ana hasira za karibu sana
Tatizo la hii timu ni sare nyingiMechi mbili zinazofuata za Away versus Astonvilla & Man City zinaweza kutoa picha halisi wapi tunaelekea.
Motivation speakers 🤣🤣🤣Tatizo la hii timu ni sare nyingi
Usijeshangaa leo tukatoa sare kisha van dijk na robertson wakaanza kuwa motivation speakers kama kawaida yao.
Liver wanatakiwa watulie wacheze mpira...hii biashara ya kutegemea counter attack itawa cost....kazeni majirani....mechi ijayo na kina Marmoush mnakutana nao leo mkiteleza hakyanani j2 mtakuwa na Hali ngumu sanaHii ngoma ngumu,aston villa wamechangamka sana na wapo sharp,ila sisi sasa kukaa na mpira kipengele.
Ngoja tuoneKuna dalili leo Liverpool tunapigwa 5
Mechi bado dk 45 nzima usikate tamaa !Kuna dalili leo Liverpool tunapigwa 5
Kocha amuamini Endo hii mechi, hii kucheza bila DM mianya mingi sana na AV wana playmaker wengi balaa .Kuna dalili leo Liverpool tunapigwa 5