Last season, team ilikuwa kwenye title-race, against City & Arsenal mpaka late April, na kilichotuangusha ni injuries, na quality ndogo ya eneo la katikati (DM), Endo did a very good job, but we needed more.
So, kuelekea msimu huu, wote tulikuwa tunajua Club/FSG wata-address suala ya DM, yes we tried kwa Zubimendi and failed, but that was it, so tulianza msimu tukijua Endo atakuwa our main DM, but luckly Gravenberch came into light, now we are 8 points clear with a MAKE-SHIFT DEFENSIVE MIDFIELDER, a 22 years-old Ryan, mtoto wa 2002, hajawahi kucheza at DM, but ndiyo engine ya team now at MF, kazi aliyoifanya kuanzia August mpaka mpaka now, ndiyo inafanya tunaongoza LEAGUE, nasema hivi, kwasababu, Grav experiment at DM couldve failed, and Endo at 32, asingeweza ku-keep up week in, week out kwenye most in-demand role katika league ya EPL, meaning kwamba Owners left us short again, but Coaches & players wame-step up MASSIVELY, on top of that dressing-room yote mpaka sasa haijui mustakabali wa kina Trent, Salah, VVD, Konate etc, lakini bado wanajitoa on the pitch as a group, sasa adversities zote hizi, bado mtu anatafuta room ya ku-moan, au kufananisha title-charges za Man City na LFC, clubs ambazo zina different trejectories.
Pep Guardiola collapsed bila Rodri, he had to spend £200m hii january ili tu ku-salvage huu msimu (a top 4 finish), situation kama ya City, ilishatutokeaga under Klopp, baada ya VVD kuwa injured, then Gomez & Matip, baadae Fabinho nae akaumia, FSG wakampa Klopp Ozan & Davies, Klopp had to make top four na kina Rhys & Nat, msimu uliopita Klopp challenged for the title akiwa na Endo at DM, dhidi ya Rodri & Rice at City & Arsenal, Pep is struggling with Gundogan & Kovacic, mpaka amemnunua Nico Gonzalez, msimu huu Slot yupo 8-points clear with Grav at DM, 8-points clear dhidi ya Rice & Partey, yeah, Arsenal are struggling with injuries upande wa attacking-line, but their MF-base is still better & strong than ours, & kama injuries zinaweza kutumika kama excuses, hakuna team kwenye title-race, iliyopata shida ya inhuries kama sisi last season.
Yes, sitaelewa excuses za Slot kama tuki-fail kuzifunga teams kama Southampton, Ipswich, Wolves, Westham, Leicester City, because these teams are having msimu m-baya sana, but kwenye msimamo wa league, kuanzia team ya pili mpaka ya 15, unakuwa na HOPE ukiwa home, but zote ni TOUGH away games, a season ago, game kama ya Bournemouth ilikuwa ni easy 3 points, but now unawaza kabla ya kukutana nao, utakuwa mjinga kama utakuwa una-expect easy 3 points kwa hii Bournemouth ya sasa, Crystal palace are at 15, but Selhurst Park bado ni one of the toughest grounds kwenye league, huwezi.kwenda SP, na matokeo mkononi, now, mtu ana-overreact kisa katoa draw at Villa Park, one of the toughest grounds in recent years, in hindsight, unaweza kumuelewa mtu aki-moan kutoa draw at Goodson Park, but Villa Park, ukizingatia ubora wa makocha na players wa teams zote mbili. Jana Slot decied to pile-up the MF in a 442, ili kum-contain Rogers, na bado ali-fail, nambie now, Rogers kuna team ya top six haanzi? City?, Arsenal? Chelsea?, Spurs?, Utd?, LFC? Curtis Jones starts mara kwa mara kwenye team yako, lakini ume-manage kuwa 8-points clear na bado una-moan, Curtis Jones anaanza wapi pale Villa? MF yetu na our attacking line ni nyepesi sana ukiwatoa Salah & Gakpo, na effect za MF kuwa nyepesi zimeanza kuonekana, as backline imeanza kuzidiwa, we are leaking goals for fun now, but ni kosa la players & Coach? tulikuwa na nafasi ya kuongeza nguvu kwenye kikosi hii january but tume-fail, so instead ya kulalamika kama wehu pale tunapo-drop points, ni bora kuendelea kui-back hii team & these players mpaka mwisho wa msimu.
League ni marathon, na kila mchezaji ana mchango wake, Nunez missed a chance jana, but ndiye aliyetupa 3 important points against Brentford, Jota missed a chance jana, but ndiye aliyetupa a very important point at The City Ground few weeks ago, Diaz alikuwa ana games 10 bila goals, but against Wolves, he scored and got a penalty for us, Endo hachezi mara kwa mara, but his 20 mins cameo against Wolves ndiyo ilisaidia kutupatia 3 important points.
Sasa inasikitisha kuona, tupo kwenye title-race, with a new coach, na bado tunaishi kwa kutafuta scapegoats, yaani mtu anaangalia mpira, akiombea mchezaji flani akose au afanye blunder ili apate kitu cha ku-prove a point, huo sio ushabiki, ni utoto, na ukizingatia team ipo kwenye title-race.
Hii inanikumbusha, kipindi kile cha Henderson, anaweza akacheza hovyo sana, but ikitokea Lovren kapiga hata a misplaced pass, shida yote inahamia kwa Lovren, au unakuta Henderson anacheza hovyo sana, but lawama zote zinaenda kwa Fabinho & Gini, tuache hizi mambo.